E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Jun 5, 2024 #281 Hahaha unabeba rundo la CHAWA wakusaidie ...
Hardbody JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 4,139 Reaction score 4,640 Jun 5, 2024 #282 Sawa hongera kwao
jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,329 Reaction score 25,263 Jun 5, 2024 #283 pilipili kichaa said: 80% ya walio hapo ukimchukua mmojammoja aeleze mkataba waliosaini ni ya aina gani, wallah nakuhakikishia hawajui lolote na wataongea vitu vya ajabu kabisa! Click to expand... Ndo hao kina ChoiceVariable
pilipili kichaa said: 80% ya walio hapo ukimchukua mmojammoja aeleze mkataba waliosaini ni ya aina gani, wallah nakuhakikishia hawajui lolote na wataongea vitu vya ajabu kabisa! Click to expand... Ndo hao kina ChoiceVariable
Idimi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,328 Reaction score 11,192 Jun 5, 2024 #284 Earthmover said: Hahaha unabeba rundo la CHAWA wakusaidie ... Click to expand... Hao chawa ndio watakuwa wapiga debe mwakani wakati wa kapmeni za uchaguzi mkuu, kwa hio wamebebwa kimkakati!
Earthmover said: Hahaha unabeba rundo la CHAWA wakusaidie ... Click to expand... Hao chawa ndio watakuwa wapiga debe mwakani wakati wa kapmeni za uchaguzi mkuu, kwa hio wamebebwa kimkakati!
M maramojatu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2012 Posts 1,749 Reaction score 2,319 Jun 7, 2024 #285 RRONDO said: Hao Watanzania 20 ni akina nani? Labda ukiwafahamu utajua kwanini wapo hapo. Click to expand... Hesabu inaonyesha wapo 30 au zaidi
RRONDO said: Hao Watanzania 20 ni akina nani? Labda ukiwafahamu utajua kwanini wapo hapo. Click to expand... Hesabu inaonyesha wapo 30 au zaidi
Zouzoutz JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 1,883 Reaction score 2,732 Jun 7, 2024 #286 magnifico said: Hiyo mbona ipo hata huku. Kwani Tundu Lissu mmoja ni sawa na kina Babu Tale million ngapi? Click to expand... Aahaaaaa
magnifico said: Hiyo mbona ipo hata huku. Kwani Tundu Lissu mmoja ni sawa na kina Babu Tale million ngapi? Click to expand... Aahaaaaa