Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Sema wakorea wanne na machawa kibao
 
ukweli ni ukweli na ukweli wala siyo chuki, kuukimbia na kukataa ukweli hautatui tatizo isitoshe hakuna niliposema kwamba aondolewe yoyote popote pale bali nimesema ukweli kwamba uchumi unaoongoza Dunia ya leo chimbuko lake ni Christian (western) philosophy or civilization if will na yoyote anayetaka kuendelea leo hii ni lazima ajifunze ktk kwa Christian (western) Countries hakuna njia nyingine, sasa huo ni ukweli na siyo chuki.

hawa wakorea tunaowaomba omba wamejifunza huko walikuwa masikini kama sisi wakajifunza ktk kwa Christian Western Countries how to build a nation, hata Wajapani walijifunza pia ktk western countries leo hii ni global powers, China pia anakuja na anajifunza kutoka kwa Christian nations how to build nation na uchumi all these are facts na siyo chuki …
Mawazo yako ni potofu, ni lazima nikueleze hivyo.
"Chstian" has nothing to do with economic systems. You're lurching into bigotry for your own reasons.

Hata hujui kwamba hiyo unayoiita western kwamba maendeleo yao mengi yametokana na wizi, siyo wa raslimali pekee, kama utumwa, bali wizi wa vumbuzi maeneo mbalimbali duniani?

Sikiliza, huu ni mjadala tofauti kabisa na haya yanayojadiliwa kwenye mada hii; na sielewi kwa nini wewe umeamua tu ku-insert' kitu kisicho husiana kabisa na mada yenyewe.

Mara zote naamini,' generalization' za aina yako hii ni za kipuuzi na kijinga kabisa.

Najuwa utataka kuendelea kujibishana nami juu ya hili. Sina muda wa kupoteza na 'bigot' aliye wazi kama wewe.

Lakini..., huenda tukakutana siku nyingine humu JF, kwa sababu sina simile kabisa na watu wa aina yako.

Mwisho: usnihusishe na hiyo dini unayo-'disparage', hapa. Hainihusu.
 
Mawazo yako ni potofu, ni lazima nikueleze hivyo.
"Chstian" has nothing to do with economic systems. You're lurching into bigotry for your own reasons.

Hata hujui kwamba hiyo unayoiita western kwamba maendeleo yao mengi yametokana na wizi, siyo wa raslimali pekee, kama utumwa, bali wizi wa vumbuzi maeneo mbalimbali duniani?

Sikiliza, huu ni mjadala tofauti kabisa na haya yanayojadiliwa kwenye mada hii; na sielewi kwa nini wewe umeamua tu ku-insert' kitu kisicho husiana kabisa na mada yenyewe.

Mara zote naamini,' generalization' za aina yako hii ni za kipuuzi na kijinga kabisa.

Najuwa utataka kuendelea kujibishana nami juu ya hili. Sina muda wa kupoteza na 'bigot' aliye wazi kama wewe.

Lakini..., huenda tukakutana siku nyingine humu JF, kwa sababu sina simile kabisa na watu wa aina yako.

Mwisho: usnihusishe na hiyo dini unayo-'disparage', hapa. Hainihusu.

basi kuna mengi hauelewi kuhusu economic system inyoongoza Dunia ya leo, labda nikuulize kwa nini zinaitwa western countries (Japan ikiwemo) ? anzia hapo kama unaweza kutenganisha Christianity na Western Civilization basi kuna mengi hauelewi …
 
basi kuna mengi hauelewi kuhusu economic system inyoongoza Dunia ya leo, labda nikuulize kwa nini zinaitwa western countries (Japan ikiwemo) ? anzia hapo kama unaweza kutenganisha Christianity na Western Civilization basi kuna mengi hauelewi …
Mkuu 'Kijakazi', mimi nilishapita hatua hii uliyomo wewe muda kitambo sana Ni kipi cha kujivunia hapo tena!
.
Nimekwisha kueleza, hili tuliachie hapa kwa leo. Kama utapenda mjadala juu yake, tutakutana siku nyingine.
Hivi hata huoni unavyobadili hii mada na kuingiza mambo yasiyohusiana nayo kabisa?
Sasa unatoka kwenye ukristu/uislam, unabadilika na kufanya 'western' versus what, Islam, Buddism or whatever?

Na hata haikuhangaishi akili yako kabisa kwamba hiyo 'western' unayoizungumzia is in decline?

Bila shaka maana yako ya 'western' unayolenga ni "capitalism", au siyo? Sasa piga akili yako vizuri utazame ni nchi gani duniani inayo-practice' pure capitalism.
Hapana, usinieleze mimi kwa leo, kwa sababu sitakujibu tena hapa.
 
Kweli kabisa,wewe shule ulienda kusomea ujinga hakika.
Unawezaje kuona ufahari binadamu kupigiwa goti na binadamu mwenzake!!??
Utumwa wa kiakili.
Utumwa wa kidini.
Utumwa wa "uarabu".
Unafahamu maana ya "serikali ina mkono mrefu"?

Kama huelewi Kiswahili ni tatizo lako siyo langu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Yalikua mashindano ya IQ?
 
0652627771 Athumani hutumia fursa hizo kuchangisha watu pesa kwa kisingizio cha kuwafanyia watu mipango wasafiri nje, wajanja janja wameanza kujipenyeza huko wawe makini na safari hizo
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Ila mdau wa thread. ETI WAKOREA WANNE TU WAMECHUKUWA BAHARI YETU DHIDI YA WADANGANYIKA 20! Hahahaha...
 
Back
Top Bottom