Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio maana walichukuliwa, waende Korea kujifunza Mapanga. Wakirudi bongo watawafundisha Wasanii wenzao.Hapo naona wasanii tupu,wanajadiliana namna ya kutengeneza movie ya kikorea colabo wabongo.
Ila sasa wakorea movie zao mapanga ni mengi sana wabongo wataweza kutumia mapanga kweli.
Ova
Kwa kiwango cha elimu Steve Nyerere na Lissu nani yuko juu!??Lisu ana heshima gani zaodi ya ku overarte tu ten achadema tu. Sisi huku ground tunamuona hana akili na hana busara yoyote
We kiwango cha elimi ya mtu unakipimaje? Kwa makaratasi ya darasani? Majukqaani? Au kuongea ongea na kujigamba gamba kama afanyavyo lisuKwa kiwango cha elimu Steve Nyerere na Lissu nani yuko juu!??
Pia sijai ona Steve Nyerere akazungumza jambo la maana.
Mdogo wangu wa mwisho aliye form 3 ana uwezo wa kujenga hoja zenye mantiki kuliko STEVE NYERERE.
Muda mwingine mtu akikunyamazia si kwamba kakimbia kujibu hoja zako bali ameunyamazia upumbavu ulioutapika ili kulinda hadhi yake.
Naona unamtetea huyo mama mishavu.Watanzania sisi na wajuaji sana mfano ni huyo mtoa mada.
Umeifuatilia vizuri mijadala ya Lissu toka akiwa mbunge kipindi cha Magufuli!??We kiwango cha elimi ya mtu unakipimaje? Kwa makaratasi ya darasani? Majukqaani? Au kuongea ongea na kujigamba gamba kama afanyavyo lisu
Huyu wa mwanzo mbona anachezea simu
Isome vizuri hiyo picha mkuu 'Kinyungu", utapata mengi zaidi ya hayo unayozungumza hapa.Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.
Hapana.average iq ya Korea (kusini) > 90 vs tanzagiza ~70 isitoshe Korea hakuna uislamu yaani ni O waislamu ukiondoa baadhi ya wanafunzi ktk nchi za kiislamu lkn kuna Christians wengi tu, Korean Christian Church ni moja kati ya Makanisa makubwa Duniani …
Kanisani Korea (Kusini)
View attachment 3008047
Hapana.
Nimejitahidi sana kujizuia kuacha maneno kwenye bandiko lako hili, lakini nimeshindwa.
Sitatumia lugha nzito kwako, lakini elewa tu kuwa wewe hujengi, unabomoa. Maswala kama haya hayatusaidii kitu chochote Tanzania hii. Hatuwezi kuwa kama hao waKorea kesho, leo hii tukiwaondoa hao waTanzania wenye imani tofauti na yako.
Natumaini utanielewa vizuri mkuu 'Kijakazi'.
What about Qatar, AbuDhabi Dubai na Saudia? Au unamaanisha waislam weusi wa Africa?Angalia sehemu ambazo uisilamu umetawala ndizo sehemu zenye umasikini na ujinga
Vip kuhusu sudan somalia mali, gambiaWhat about Qatar, AbuDhabi Dubai na Saudia? Au unamaanisha waislam weusi wa Africa?
Kweli kabisa,wewe shule ulienda kusomea ujinga hakika.Kama huelewi Kiswahili ni tatizo lako siyo langu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
ukweli ni ukweli na ukweli wala siyo chuki, kuukimbia na kukataa ukweli hautatui tatizo isitoshe hakuna niliposema kwamba aondolewe yoyote popote pale bali nimesema ukweli kwamba uchumi unaoongoza Dunia ya leo chimbuko lake ni Christian (western) philosophy or civilization if will na yoyote anayetaka kuendelea leo hii ni lazima ajifunze ktk kwa Christian (western) Countries hakuna njia nyingine, sasa huo ni ukweli na siyo chuki.
hawa wakorea tunaowaomba omba wamejifunza huko walikuwa masikini kama sisi wakajifunza ktk kwa Christian Western Countries how to bui⁶ld a nation, hata Wajapani walijifunza pia ktk western countries leo hii ni global powers, China pia anakuja na anajifunza kutoka kwa Christian nations how to build nation na uchumi all these are facts na siyo chuki …