Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kumbe kuwa na vijiduka kaliakoo ni Utajiri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ni ngumu sana kuutenga uisilamu na ujinga,
Kariakoo vile vijiduka!?
Okay let's talk about large scale businesses.
Nitajie Tajiri mkristo Tanzania kuliko hawa wafuatao;
1)Ghalib Said Mohammed(GSM).
2)Said Salim Bakhresa(Azam).
3)Mohammed Dewji(METL).
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Huyo kibunge tangu afike Korea hajabadli gauni lake hilo jeupe..
 
Mkuu achana naye. Hata Mimi ameniboa Sana. Uzi wa maana anataka kuharibu kwa kuleta issue za udini. Aiseeh!
Unajua udini sio jambo zuri kaka.
Binadamu sote tunaishi pamoja na tunashirikiana mambo mengi pamoja.
Ideology ya udini huzalisha chuki yenye upofu ambayo huleta athari pande zote.
Imagine mtu kama huyu ndio awe kiongozi,si atanyima fursa za watu fulani kisa ni wa dini fulani!??
 
Tupunguze nongwa.

Watanzania wanekwenda kujifunza Mambo mbalimbali Korea.

Ni lini walimu wakawa wengi kuliko wanafunzi?
 
Kariakoo vile vijiduka!?
Okay let's talk about large scale businesses.
Nitajie Tajiri mkristo Tanzania kuliko hawa wafuatao;
1)Ghalib Said Mohammed(GSM).
2)Said Salim Bakhresa(Azam).
3)Mohammed Dewji(METL).
We bwege hao wauza pipi unaona ndio matajiri??
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ndio maana nasema ni ngumu kuutenga uisilamu na ujinga
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini


Ndiyo tofauti ya wakopaji na wakopwaji.
 
Wewe idiot una utajiri gani wa kuwafikia hao?
Yani Said Salim Bakhresa anamiliki viwanda vya vyakula,anamiliki televisheni zaidi ya 5 na anamiliki speed boat zaidi ya 6 anakwambia muuza pipi.
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
UPIGAJI NDO SERA ZA CCM
 
Nawashauri tu hao wasaniii waliyoenda huko wakatembelee
Korean DMZ (demilitarised zone)
Itakuwa kumbukumbu yao nzuri

Ova
 
Hiyo mbona ipo hata huku. Kwani Tundu Lissu mmoja ni sawa na kina Babu Tale million ngapi?
Mbona steve nyerere anamtosha lisu. Alitoa statement moja laisu akakimbia ndumi mpaka leo lisu hajajibu hoja za steve nyerere. Lisu mna mu overrate tu hana analojua
 
Back
Top Bottom