Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Hata hapa Kama mnawapa msaada mnaonekana mna matumizi mabaya ya pesa ambazo unakopeshwa
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Hapo ratio ni 1:30 hao wakorea watatu ni kwaajili ya dharura tu
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Akili kuvwa (,wakorea) inaongea na akili mfu (,watanzania) ili wauziwe bandari.
 
AKILI ZA MAKAMBA JUNIOR HIZI NA SIO ZAKE ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,SI MNAJUA BENDELA FATA UPEPO
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Tanzania ni nchi ya kiqumer sana. Wakimaliza kuuza bahari watauza binadamu. Tujiandae kuuzwa utumwani.
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Umaskini ni kitu kibaya sana.

Na hao walioenda na Rais ni wale First Class Economy in Tanzania imagine sisi wa huku chini.

😂😂😂
 
Hapo naona wasanii tupu,wanajadiliana namna ya kutengeneza movie ya kikorea colabo wabongo.

Ila sasa wakorea movie zao mapanga ni mengi sana wabongo wataweza kutumia mapanga kweli.

Ova
Mkuu hii comment yako imenichekesga sana🤣😂🤣😂
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Hadi Wenyeji wanashangaa.......Wafrika tunapenda Starehe sana.

Maskini anasafiri na Lundo la Marafiki zake huku anenda kupiga magoti kuomba mkopo?
 
average iq ya Korea (kusini) > 90 vs tanzagiza ~70 isitoshe Korea hakuna uislamu yaani ni O waislamu ukiondoa baadhi ya wanafunzi ktk nchi za kiislamu lkn kuna Christians wengi tu, Korean Christian Church ni moja kati ya Makanisa makubwa Duniani …

Kanisani Korea (Kusini)
View attachment 3008047
Mkuu hili ni jumba la sinema za kikorea. Waje watujengee huu mjengo hapa Dar tuigizie.
 
Ulichojibu ni irrelevant kabisa na nilichouliza.
Hiyo per capita inapatikanaje pasi na kuwa na GDP kubwa!?
Pia tambua kuna GNI na GDP viko tofauti.

Nimalize tu mjadala,usipende kuleta udini katika masuala ya maendeleo.

Falsafa ya dini na maendeleo ni kulwa na doto, Uchumi wa Dunia ya leo wote chimbuko lake Christian (western), hauwezi kuendelea bila ya kufwata Christian ( western) philosophy …
 
Yaan wamekula kila walichwekewa mpaka maji wamemalliza🤣🤣🤣 halafu wana angalia kwa makini ivyo vyakula ambavyo havijaliwa 🤭🤭 ila mbona kama mother hawajamuwekea chakula chochote 🤔
Hahaha! Ila wabongo wana mineno sana aisee😂🤣😂🤣
 
Mama ashauriwe vizuri Hali ya usalama ya S Korea na North Korea ni tete. Kwa siku nyingi. Mkutano kama huu unaweza ukafanyika sehemu nyingine nzuri isiyo na vitisho vy usalama wake.
Mara hapo ndani kikatokea kitu toka Kwa kiduku vuuuuuu!
 
Falsafa ya dini na maendeleo ni kulwa na doto, Uchumi wa Dunia ya leo wote chimbuko lake Christian (western), hauwezi kuendelea bila ya kufwata Christian ( western) philosophy …
Unaweza kuthibitisha hilo!?
Maana Uturuki akati inaendelea haikufata hizo falsafa za kikristu.
Hata hao Persians kipindi wanavumbua vitu hawakufuata hizo falsafa za kikristo.
Akili yako inaonekana imelishwa vitu vingi sana na wewe ukavipokea kama vilivyo pasi na kuvichanganua.
 
Ukiusoma ule mkataba wa DP world utajifunza mengi wao hata kiongozi wao mkuu hakuwa na saini yake mle.

Halafu kuna sehemu alitakiwa mtu kusaini wa Dubai ila pako wazi na mazuzu yakaupitisha na bandari ikaenda hivyo!
 
Tutegemee movie kali sana

Ova
Shika adabu yako. Watu hapo wanajadiliana masuala nyeti ya uwekezaji kwenye bahari zetu wewe unaleta madihara? Humuoni Lulu hapo ambaye ameshawahi kuogelea Mara mbili na Ni mjuzi wa Mambo ya bahari. Acha utani wewe. Huyu wa mwanzo bonge kwenye maigizo hujawahi kumuona akila samaki? Yaani hapo Ni wataalam fulu.
Hapo hawajaanza kipengele muhimu Cha night allowance na kwenda kununua simu za Samsung og.
Wasomi Kama wewe mrangi hamsomagi mikataba ndio maana wameachwa maprofesa wanakwenda hata ambao fomfoo zao Zina angalau D moja.
 
Kwa jinsi walivyo, nimekumbuka zile tuition za Mchikichini miaka hiyo.
Nature defend itself!
 
Back
Top Bottom