Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

uturuki ina watu zaidi ya milioni 85 vs Korea Kusini milioni 52, hivyo uturuki ina watu milioni 30 zaidi ya Korea Kusini lkn bado imeachwa mbali sana na Korea Kusini kiuchumi, Korea Kusini ina uchumi mkubwa klk uturuki ingawaje ina 30 milioni less people …
😂😂😂😂Aiseeee!
Mkuu katika rank hao wapo kwenye rank moja ya uchumi.
Tulitarajia kwasababu Uturuki ni nchi ya waislam wengi basi ingekua masikini.
Ila iko katika rank moja na Korea ambapo Korea ya 14 na Uturuki ya 17.
Sasa nijibu hapo imekuaje!!??
Pia katika richest nations kuna Qatar na Brunei kwenye top list Korea haipo,je hilo unalizungumziaje??
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Mama ashauriwe vizuri Hali ya usalama ya S Korea na North Korea ni tete. Kwa siku nyingi. Mkutano kama huu unaweza ukafanyika sehemu nyingine nzuri isiyo na vitisho vy usalama wake.
 
Hizi ni richest countries na siyo developed countries. Jifunze hiyo tofauti.

Itakusaidia usipost tena mambo madogo madogo yaliyobayana kama haya
Huwezi ukawa richest country kama hujawa developed country.
Ndio maana top ten richest countries USA ipo nafasi ya 8 kama sijakosea.
Na katika category ya developed countries kuna matabaka vile vile.
Qatar kwa maendeleo ya miundombinu na maendeleo mengine utasema sio taifa lililoendelea!!??
 
😂😂😂😂Aiseeee!
Mkuu katika rank hao wapo kwenye rank moja ya uchumi.
Tulitarajia kwasababu Uturuki ni nchi ya waislam wengi basi ingekua masikini.
Ila iko katika rank moja na Korea ambapo Korea ya 14 na Uturuki ya 17.
Sasa nijibu hapo imekuaje!!??
Pia katika richest nations kuna Qatar na Brunei kwenye top list Korea haipo,je hilo unalizungumziaje??

per capital income (pato la mtu mmoja mmoja) ya uturuki ni 12 000 usd vs Korea Kusini > 34 000 usd ( chanzo wiki) …
 
per capital income (pato la mtu mmoja mmoja) ya uturuki ni 12 000 usd vs Korea Kusini > 34 000 …
Mkuu una kichwa kigumu sana.
Ngojea nirejelee mara ya mwisho.
Kwa hivyo vigezo Uturuki ipo tabaka moja la kiuchumi na Korea kusini,Korea ikiwa nafasi ya 14 na Uturuki ikiwa nafasi ya 17,je imekuaje taifa la waislam likawa tabaka moja kiuchumi na Korea kusini!?
Tulitarajia Uturuki kwasababu waislam wengi ingekua hata Low income country,ila hapana ni upper income kama Korea kusini.
Je DINI hapo ime apply chochote??
 
Watu wanawaza wapate nafasi waanze kula mema ya nchi hakuna kiongozi anayeongea lolote saivi bila kusema Asante mama blablabla
Sasa usiposema mwenzio akasema siutamukuta mbali????
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
wanatujua kuwa kesi zina tushinda. wait K.O
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
WAZIRI WA TAMADUNI WA KOREA, NAIBU WAKE, AFISA UTAMADUNI FILAMU NA MICHEZO, SASA WENYENONGWA WALITAKA TUJIFUNZAJE?, AU DARASA LA WATOTO 45 HUWA NA WALIMU WANGAPI?, TUACHE NONGWA.
 
Hata kama hamumpendi Mama, ogopeni tu dhambi ya uzushi. Yaani wakina Lulu ndio wakajadiliane na Korea kuhusu bandari zetu? Acheni hizo. Ungetafiti kwanza hicho kikao kilihusu Nini?
 
Mkuu una kichwa kigumu sana.
Ngojea nirejelee mara ya mwisho.
Kwa hivyo vigezo Uturuki ipo tabaka moja la kiuchumi na Korea kusini,Korea ikiwa nafasi ya 14 na Uturuki ikiwa nafasi ya 17,je imekuaje taifa la waislam likawa tabaka moja kiuchumi na Korea kusini!?
Tulitarajia Uturuki kwasababu waislam wengi ingekua hata Low income country,ila hapana ni upper income kama Korea kusini.
Je DINI hapo ime apply chochote??

uturuki has 30 million more people, hivyo usiangalie gdp ambayo inaonyesha ukubwa wa uchumi angalia per capital income au pato la mtu mmoja mmoja hiyo ndiyo husema how rich a country is, hiyo gdp nyingine inatemeana na idadi ya watu lkn haisemi how rich the country is, mfano india ina uchumi mkubwa klk sweden au nchi yoyote ile ya EU ukiondoa Ujerumani lkn unafikiri india ni tajiri klk Sweden au labda Norway au hata Canada, angalia na per capital income au pato la mtu mmoja mmoja hiyo ndiyo itakwambia how rich a society …
 
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.

Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.


Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.

Pia soma:

- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Kumbuka huenda wamo na wale wa bongomuvi na wengine walioomba kwenda kutembea.
Huyu binti wakwanza kulia amechuchumaa kakosa kiti, na mlangoni yupo aliyekosa kiti na nyuma kushoto wapo waliosimama kwa kukosa viti.
 
uturuki has 30 million more people, hivyo usiangalie gdp ambayo inaonyesha ukubwa wa uchumi angalia per capital income au pato la mtu mmoja mmoja hiyo ndiyo husema how rich a country is, hiyo gdp nyingine inatemeana na idadi ya watu lkn haisemi how rich the country is, mfano india ina uchumi mkubwa klk sweden au nchi yoyote ile ya EU ukiondoa Ujerumani lkn unafikiri india ni tajiri klk Sweden au labda Norway au hata Canada, angalia na per capital income au pato la mtu mmoja mmoja hiyo ndiyo itakwambia how rich a society …
Ulichojibu ni irrelevant kabisa na nilichouliza.
Hiyo per capita inapatikanaje pasi na kuwa na GDP kubwa!?
Pia tambua kuna GNI na GDP viko tofauti.

Nimalize tu mjadala,usipende kuleta udini katika masuala ya maendeleo.
 
Back
Top Bottom