Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nchi ina matumizi makubwa ya hovyo haswaTanzania bila mikopo inawezekana ndugai alikuwa sahihi ipo siku nchi itapigwa mnada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ina matumizi makubwa ya hovyo haswaTanzania bila mikopo inawezekana ndugai alikuwa sahihi ipo siku nchi itapigwa mnada
KabisaHao wakorea sio wanafunzi wa Vyuo kweli?
Inasikitisha sana mkuuNchi ina matumizi makubwa ya hovyo haswa
KabisaHao wakorea sio wanafunzi wa Vyuo kweli?
nina wasiwasi baada ya kikao kuisha tukawa gumzo kwaoKabisa
Hatari snnina wasiwasi baada ya kikao kuisha tukawa gumzo kwao
Kulikua hakuna haja ya kumention uislam zaidi ya Ismophobia tuh,na hakuna nchi duniani hapa ukose muislam,au waislam... waislam wapo hadi Vatican sembuse hapo Korea?unawewesekwa na uislam why.average iq ya Korea (kusini) > 90 vs tanzagiza ~70 isitoshe Korea hakuna uislamu yaani ni O waislamu ukiondoa baadhi ya wanafunzi ktk nchi za kiislamu lkn kuna Christians wengi tu, Korean Christian Church ni moja kati ya Makanisa makubwa Duniani …
Kanisani Korea (Kusini)
View attachment 3008047
Wewe umesahau tuh,drama hizo zimeanza enzi za mwendazake,kinachofanyika ni muendelezo tuh,so vumilia.Watu wanawaza wapate nafasi waanze kula mema ya nchi hakuna kiongozi anayeongea lolote saivi bila kusema Asante mama blablabla
Bongo movie kama 10 na watumishi wa umma 18Hao Watanzania 20 ni akina nani? Labda ukiwafahamu utajua kwanini wapo hapo.
Hao watakuwa ni diaspora sababu wengi ni vibinti vimenyoa kihunihuni tu.halafu mbona meza upande wa wakorea zote zina vinywaji wkt hamna watu hapo.kipotokali imekaaje?
Kazi na Bata 👁Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.
Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.
Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6
- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Hao wanne washikilia njaa yetu ya watu milioni 60Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.
Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.
Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.
Pia soma:
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6
- VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
Haya mataifa ya kiislamu yana utajiri wa mafuta hakuna jingine! Hawana technologia halafu mafuta haya yanachimbwa na Total na Shell za Ulaya! Kwa nini Somalia, Yemeni ni ni nchi za Kirabu na hamna mandeleo yoyote? Pamoja na vita hizi nchi hazina mafuta. Kama sii mafuta nchi za kiarabu zingekuwa maskini sana1)Turkiye.
2)Qatar.
3)Kuwait.
4)Indonesia.
5)Malaysia.
6)Saudi Arabia
7)Oman
8)Brunei
9)UAE.
10)Bahrain
VIPI HAYA MATAIFA MASIKINI NA YANA UJINGA??
😂😂😂😂😂Mkuu una uhakika na unachoongea!?Hayab mataifa ya kiislamu yana utajiri wa mafuta hakuna jingine! Hawana technologia halafu mafuta haya yanachimbwa na Toatal na Shell za Ulaya? Kwa nini Somalia, Yemeni ni ni nchi za Kirabu na hanona mandeleo yoyote? Pamoja na vita hizi nchi hazina mafuta. Kama sii mafuta nchi za kiarabu zingekuwa maskini sana
Uache uongo ewe mwanadamu. Hebu weka hapa chanzo cha hii data unachodai Yemen GDP ni sawa na Tanzania.Lakini still GDP yao inalingana na TANZANIA taifa lililo na uhuru 60+ years na lisilo na vurugu yeyote na taifa lenye maliasili tele
Tanzania na Yemeni zipo katika list ya poorest nations au hazipo!?Uache uongo ewe mwanadamu. Hebu weka hapa chanzo cha hii data unachodai Yemen GDP ni sawa na Tanzania.
Tanzania
GDP nominal ni $84Bil; per capital $1,326
GDP (PPP) ni $227Bil; per capital $3,595
Yemen
GDP nominal ni $21Bil; per capital $617
GDP (PPP) ni $69Bil; per capital $2,053
Chanzo
![]()
Tanzania - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
![]()
Yemen - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Unakuwa na mahaba hadi unaleta taqiyya kwenye mambo ya uchumi? Siyo poa.
Badilika
Unachekesha. We ni mzima kweli?Tanzania na Yemeni zipo katika list ya poorest nations au hazipo!?
Nijibu hapo kwanza.
Na hapo ukae uelewe uliojumlishwa GDP yake ni upande wa Yemeni ambayo authority yake inatambulika kimataifa ule upande wa Houthi territory haujajumlishwa kabisa.
Naona nabishana na kichaa asiyejielewa.Unachekesha. We ni mzima kweli?