mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
"Nyerere ndugu yetu tunamfahamu.."
MSITUPANGIE
MSITUPANGIE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alikuwa mwanamke?
Au huyu ni nani?
Kama wakisema inafanana na Nyerere si kweli.
View attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
Aisee, kumbe Ni sanamu? Mimi nilidhani Ni yeye mwenyewe wamemkausha.Wakati sanamu ni copyright na hayati Baba wa Taifa
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tuView attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
Naona umeamua kutuvunja mbavu leoView attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
Kwa sababu hata yeye mwenyewe alikuwa hapendi manguo mapana sanaMbona walimvalisha nguo za kubana sana
Mimi nimewaletea habari Ninyi wakosoaji msio na hojaNaona umeamua kutuvunja mbavu leo
We unaona sanamu inafanana na Nyerere hiyo??Kwa hiyo na wewe unakosoaa
Ndio.We unaona sanamu inafanana na Nyerere hiyo??
Si ndiye aliwaambia JKT wakimuona mtu yeyote kavaa suluali ya kubana kipimo kiwe chupa?Kwa sababu hata yeye mwenyewe alikuwa hapendi manguo mapana sana
Alisema wapi huko mlikokuwa mnapitisha hadi chupa kama kipimo😀😀Si ndiye aliwaambia JKT wakimuona mtu yeyote kavaa suluali ya kubana kipimo kiwe chupa?
Ikikubali kupenya basi hiyo ruksa. Lakini ikikataa ichanmwe chini na usiivae tena.
Tanganyika ilikuwa mwendo wa suluali za kubana mapaja na pana chini.
Ndio maana tukisema wewe bado mdogo usikatae.Alisema wapi huko mlikokuwa mnapitisha hadi chupa kama kipimo😀😀
Aliyeturoga, aliishazikwa, na, kaburi, wachina wamejenga mwendo kasi! Sasa, tunabishana kuhusu lisanamu! Why! Litusaidie ni ni! Haliongei, upuuzi, mtupuView attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
Wanapeana kazi kwa mchongo halafu wanalazimisha watu kuona mwalimu nyerere wakati sanamu haifanani na mwalimu Nyerere. Ni kazi mbaya ya msanii hata bakora tu kashindwa kuumba vizuri. Hilo sanamu ni baya wasilazimishe watu.View attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032