Wewe Lucas Mwasha-Mbwa, the headless chicken hebu linganisha hicho kinyago chako na hiki uone jinsi sisi watanzania tulivyo mazoba! Hiki ukimwangalia tu unajua kabisa ni nani, lakini hicho cha kwako mpaka ujiulize mara mbili mbili hivi namwangalia Lucas Mashamba au Mwashambwa?View attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
AsanteWewe Lucas Mwasha-Mbwa, the headless chicken hebu linganisha hicho kinyago chako na hiki uone jinsi sisi watanzania tulivyo mazoba! Hiki ukimwangalia tu unajua kabisa ni nani, lakini hicho cha kwako mpaka ujiulize mara mbili mbili hivi namwangalia Lucas Mashamba au Mwashambwa?
View attachment 3116228
Hakunaga rangi yamaji ya kunde,ni eithe black or whiteNyerere hakuwa mweusi Bali alikuwa maji ya kunde!
Hii sio sanamunya Nyerere baba wa taifa, ni sanamu ya Panga La Shaba baba yake ufuduView attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
Mimi ninaamini kwamba kuna jambo linatakakupotoshwa. Mwl Nyerere alifariki akiwa mzee. Kizazi hiki na wazee wa mwisho mwisho waliiona sura yake ya uzeeni kabla haja3nda St Thomas London. Sura hiyo ndiyo tunaotaka iwe kila sehemu hapa Tanganyika/ Tanzania. Huwezi kutuletea Nyerere akiwa Chekechea.View attachment 3116031hii hapa chini ndio Sanamu inayokosolewa👎View attachment 3116032
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Aisee, kumbe Ni sanamu? Mimi nilidhani Ni yeye mwenyewe wamemkausha.
Angalau hiki unaweza kumwona Nyerere!
HapanaSiyo maji ya kunde