Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Rwetembula Hassan Jumah

Senior Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
140
Reaction score
188
Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?
images.jpeg
 
ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.

waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.

ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
 
"Kabla ya kutoa kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio toa kwanza boriti iliyo ndani ya jicho lako"

Kabla ya kuanza kuhoji hilo ulilohoji je yale yaliyoandika kwenye kitabu cha dini unayoamini yote umeyatekeleza? Tukikuuliza mara ya mwisho umeenda lini kuwasaidia wajane na yatima hata haukumbuki!

Halafu ukitaka kila kitu anachofanya mwanadamu kiwe kwenye maandiko basi hata simu unayotumia saivi hutakiwi kuwanayo maana haipo kwenye maandiko.
 
Mwisho mtatukataza tusivae miwani kwa sababu haikuandikwa kwenye Bible 😁

Ndugu sangu msiendekeze sana kuzifafanua sheria kuliko kuenenda katika roho na kweli

Yesu alishawaambia imani bila matendo imekufa na matendo safi ni kuwa na upendo. Mpende Mungu wako kwa moyo na akili zako zote lakini mpende na jirani yako kama nafsi yako

Ukitimiza haya ni hatua kubwa kuliko kuwa obsessed na jeneza wakati kuna mamilioni ya watu wanakufa pasipo hata maziko duniani kwa sababu ya vita
 
ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.

waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.

ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Afrika watu walidhikwa vipi? Kabla ya dini kuja Afrika?
 
"Kabla ya kutoa kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio toa kwanza boriti iliyo ndani ya jicho lako"

Kabla ya kuanza kuhoji hilo ulilohoji je yale yaliyoandika kwenye kitabu cha dini unayoamini yote umeyatekeleza? Tukikuuliza mara ya mwisho umeenda lini kuwasaidia wajane na yatima hata haukumbuki!

Halafu ukitaka kila kitu anachofanya mwanadamu kiwe kwenye maandiko basi hata simu unayotumia saivi hutakiwi kuwanayo maana haipo kwenye maandiko.
Una uhakika simu haipo kwenye maandiko? Dunia itakuwa kigajani ina maana gani? Kwamba kila kitu utakiona bila kificho.

Kitu nilichouliza. Tuliza akili ndo ujibu
 
Mwisho mtatukataza tusivae miwani kwa sababu haikuandikwa kwenye Bible 😁

Ndugu sangu msiendekeze sana kuzifafanua sheria kuliko kuenenda katika roho na kweli

Yesu alishawaambia imani bila matendo imekufa na matendo safi ni kuwa na upendo. Mpende Mungu wako kwa moyo na akili zako zote lakini mpende na jirani yako kama nafsi yako

Ukitimiza haya ni hatua kubwa kuliko kuwa obsessed na jeneza wakati kuna mamilioni ya watu wanakufa pasipo hata maziko duniani kwa sababu ya vita
Hata utende mema vip kama ufuati dini we motoni. Labda uwe ujaambiwa kuhusu mwongozo
 
Mwisho mtatukataza tusivae miwani kwa sababu haikuandikwa kwenye Bible 😁

Ndugu sangu msiendekeze sana kuzifafanua sheria kuliko kuenenda katika roho na kweli

Yesu alishawaambia imani bila matendo imekufa na matendo safi ni kuwa na upendo. Mpende Mungu wako kwa moyo na akili zako zote lakini mpende na jirani yako kama nafsi yako

Ukitimiza haya ni hatua kubwa kuliko kuwa obsessed na jeneza wakati kuna mamilioni ya watu wanakufa pasipo hata maziko duniani kwa sababu ya vita
Sijui waafrika ni lini tutaamka. Tunawaza kupingana sisi kwa sisi, huku tukisahau kuwa asilimia 90 hatuwezi kuafford milo mitatu kwa siku
 
Back
Top Bottom