EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Swali la kipumbavu sana kwani wewe imeandikwa wapi ukinya utawaze, si unatumia tu akili kutambua usipotawaza utakuwa unatembea na dampo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani ,naomba unionyeshe sura na aya kutoka katika Quran inayoonyesha jinsi utaratibu mzima wa mazishi kwa maiti ya kiislamu.Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Hata utende mema vip kama ufuati dini we motoni. Labda uwe ujaambiwa kuhusu mwongozo
Dini imekuja kutugawanya kuliko kutuunganisha hadi sometimes unaweza kushangaa inawezekanaje mtu hata apate roho ya kuuza binadamu au muafrika mwenzake kwa sababu ya dini..Sijui waafrika ni lini tutaamka. Tunawaza kupingana sisi kwa sisi, huku tukisahau kuwa asilimia 90 hatuwezi kuafford milo mitatu kwa siku
Akili finyu tena.. we ndo huyo upendo hata kauli huna. Mungu akusameheKwa akili zako finyu unajua mwongozo ni hizo sheria zenu... La hasha, Mwongozo ni Upendo(Mungu) aliyeko ndani ya roho yako.
Amka ndugu yangu mwislam
KuzikwaKudhikwa ndo nini boss
Naelewa sana wakati wa rutthu hapakuwa na ukristo au uislamu, japo uislamu kielimu ulikuwepo kabla ya mtume Mohammad, kulikuwa na Mwongozo. Dini ni jina tuWewe unaijua akili au hukumu ya Mungu inavyofanya kazi ???....
Hivi ulivyosoma biblia toka kipindi cha ruthu, watu waliokuwa wakipendwa ni wale walokuwa na dini flani au wenye kumcha Mungu kwa imani na kimatendo yao..
Na usichanganye kuwa na imani na kuwa na dini.. Hivyo ni vitu vinaweza vikakaa au visikae pamoja kutokana na mtu
Naam mimi ndiyeAkili finyu tena.. we ndo huyo upendo hata kauli huna. Mungu akusamehe
Naelewa sana wakati wa rutthu hapakuwa na ukristo au uislamu, japo uislamu kielimu ulikuwepo kabla ya mtume Mohammad, kulikuwa na Mwongozo. Dini ni jina tu
... ni andiko lipi linakataza kuzika kwenye jeneza? Kisichokatazwa sio dhambi wala kosa.Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
ushawai kubadili dini kwa kuwa hiyo dini umeikuta na kuirithi?Misingi mingi ya dini imejengwa kwenye utu kwa hiyo hata kibinadamu ukizisoma amri za Mungu, nyingi zimekataza kufanya ubaya.
Hata katika dini za mababu zetu, haukukubalika wizi wala uzinifu kwa hiyo binadamu kama mfano wa Mungu ana uwezo wa kuyajua haya.. Ndio maana hata bila dini binadamu wa kawaida anaweza kuishi katika njia inayompendeza Mungu ila dini inaweka system na sheria ili kuwaongoza wote collectively pasipo mtu mmoja mmoja kufanya lile analoliona bora kwake na hivyo kuwa na jamii iliyo balanced..
Jibu swali kwanza... ni andiko lipi linakataza kuzika kwenye jeneza? Kisichokatazwa sio dhambi wala kosa.
... watakuambia deen haijaacha kitu; ni mwongozo kamili wa maisha imeeleza hata namna ya kumwingilia mkeo! Ha ha ha; pasua kichwa kwa kweli.Swali la kipumbavu sana kwani wewe imeandikwa wapi ukinya utawaze, si unatumia tu akili kutambua usipotawaza utakuwa unatembea na dampo
Wakristo wanatumia tishu... USAFI kwenye ukristo kipengere... watakuambia deen haijaacha kitu; ni mwongozo kamili wa maisha imeeleza hata namna ya kumwingilia mkeo! Ha ha ha; pasua kichwa kwa kweli.
... kama tungeishi yale tu yanayoelezwa na dini mbona tungeacha vingi sana; hata hiyo simu ya mkononi uliyo nayo ungeitupilia mbali maana ingekuwa kufuru kuwasiliana na mtu usiyemwona!Jibu swali kwanza
... si bora tishu kuliko udongo!Wakristo wanatumia tishu... USAFI kwenye ukristo kipengere