Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mwongozo wa niniDini ni mwongozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwongozo wa niniDini ni mwongozo
Jifikirie, wewe unabudu binaadam na sisi tunaoabudu Allah, muumba wetu ambae ndie Yesu alimuabudu, nani hapo wa kwenda Jahanam?
Jibu unalo.
Pole sana,maswali yako yanaonesha bado akili zako ni kitoto sana.We siku ukigrow up nadhani me nitakuwa nishagrow up mkuuu maana Jf ni akili mgando
Sasa tatizo lako nini? Unaipenda Qur'an tukufundishe?QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI.
Quran. 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
Tunaangamia kwa kukosa maarifaNchi hii..!?
Uzikwe na jeneza kwamba huwez kuoza au?
Wazo la kimaskini hili.... au ndo kujifariji kwenyeweUzikwe na jeneza kwamba huwez kuoza au?
Uzi umeisha tufunge mjadalaukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.
waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.
ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah