Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Jifikirie, wewe unabudu binaadam na sisi tunaoabudu Allah, muumba wetu ambae ndie Yesu alimuabudu, nani hapo wa kwenda Jahanam?

Jibu unalo.


QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI.


Quran. 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
 
We siku ukigrow up nadhani me nitakuwa nishagrow up mkuuu maana Jf ni akili mgando
Pole sana,maswali yako yanaonesha bado akili zako ni kitoto sana.
Uliza maswali kama mtu mwenye meno 32, mavyuuzz hadi ya kwenye "jicho"
Jiongeze kijana acha ubishi kwa wazazi wako.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI.


Quran. 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
Sasa tatizo lako nini? Unaipenda Qur'an tukufundishe?

Huyo shetani atakuwa kituko kuliko wewe. Kitabu pekee duniani ambacho kabla ya kukisoma kinakufundisha umlaani shetani ni Qur'an.

Jipime.
 
ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.

waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.

ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Uzi umeisha tufunge mjadala
 
Back
Top Bottom