Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Huyo hawezi lurlewa mku, ngoja nisisemem mengi nisije nikaonekana mbayaTUMEMPA MISTARI YA BIBLIA BADO HAELEWI.
26 Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.
Mwanzo 50:26