Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
😆😆😆🙌🙌Kwaweli wana ukakakasi kama embe bichi.....au basi anyway hawakupendaðŸ¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆🙌🙌Kwaweli wana ukakakasi kama embe bichi.....au basi anyway hawakupendaðŸ¤
Kuna muda unatamani kumvua marehemu hivyo vitu khaaaa yani mtu anafukiwa na mipesaYaani mimi vya jeneza expensive ndo naelewa balaa...mimi nawazaga uzikwe na dhahabu..dah😌.soo painful
Hili swali lako halina mashiko. Hivi kila kitu unachokifanya katika maisha yako ya kila siku, kimeandikwa?Naomba muongozo.... kwanini maiti mnawaweka kwenye Jeneza ... ?View attachment 2595171
Mwarabu kawa na kipato baada ya kuongezeka biashara ya mafuta karne ya 20. Kabla ya hapo alikua ombaomba. Naamini kwa sasa ivi wanatamani kuzikwa na majeneza sema tu walishajifunga na dini yaoKwamba hayapo majeneza. We unakipato gani kumzidi mwaarabu
Kobazi kwa ajili kukinga jua kali uarabuni,unashindwa kumalizia jibu simple hivyo bwanaukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.
waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.
ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Waarabu walikuwa wana Miti ya mitende waliweza kutengeneza majeneza lakini hawakutengeneza.ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.
waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.
ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Tunazika tu, iwe kwenye mkeka au sanduku.Kwahiyo MILA zetu zinasemaje? Kwa afrika?
Umeanza kujichekaUjakosea ndo maana hata mbuzi amekuzidi uelewa . Mwanamke unamgeuza nyuma au mme mwenzako kwa kutumia kitabu gani . Mbona hujaoa kuku kwa sababu haijaandikwa kwa kitabu
Mtume kwetu sisi ametufundisha mpaka adabu za kula na kuingia chooni, Bali mpaka adabu za kumuingilia mkeo. Kwa maadamu haya mambo hayafati ada na desturi za watu, sababu mila zilikuwa zimefisidika.Kwani imeandikwa wapi maiti azikiwe bila jeneza? Masuala ya mazishi ni mila, desturi na tamaduni husika, ndio maana wengine hawaziki bali wanachoma moto, wengine wanazikwa baharini kama Usama bin Laden.
Vv
Mwongozo wa waarabu?Hata utende mema vip kama ufuati dini we motoni. Labda uwe ujaambiwa kuhusu mwongozo
Nani asiyejua uarabuni ni jangwani. Mlitaka miti watoe wapi? Hivi mitende inatengeneza mbao kweliWaarabu walikuwa wana Miti ya mitende waliweza kutengeneza majeneza lakini hawakutengeneza.
Yesu alikuwa haziki, alikuja:Yesu mnaemfata kama mnavyodai, aliishi na watu watu walikuwa, usahihi mlitakiwa mjue Yesu alizika vipi watu Kisha mfata mafundisho yake.
Nini kazi ya dini?Hata utende mema vip kama ufuati dini we motoni. Labda uwe ujaambiwa kuhusu mwongozo
Wapi umeambiwa kuvaa makobazi muda wote, badala ya viatu?Ndio
Naam, bila shaka hushangai minazi kutengeneza mbao.Nani asiyejua uarabuni ni jangwani. Mlitaka miti watoe wapi? Hivi mitende inatengeneza mbao kweli
Huu ujinga mwingine unaulete. Kwahiyo watu walipo kuwa wanakufa hakuwa akitoka maelekezo namna ya kuzika na yeye ni kiongozi ?Yesu alikuwa haziki, alikuja:
1. Kufufua wafu na kuleta uzima wa milele.
2. Kufufua mawazo mgando kuwa mapya
3. Kutoa uadui uliokuepo kati wanadamu na Mungu, kisha Mungu akaamua kukaa kwetu.
4. ...
Unavaa nini sasa, kama huvai kobazi?Nani anavaa kobazi