Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Wakristo, Hivi andiko gani limesema maiti azikwe akiwa kwenye Jeneza?

Kwamba hayapo majeneza. We unakipato gani kumzidi mwaarabu
Mwarabu kawa na kipato baada ya kuongezeka biashara ya mafuta karne ya 20. Kabla ya hapo alikua ombaomba. Naamini kwa sasa ivi wanatamani kuzikwa na majeneza sema tu walishajifunga na dini yao
 
1.Andiko Gani linalosema Tuwashe moto kwa kutumia Kiberiti ??

2.Andiko gani linalosema Tuvae Boksa ?

3. Andiko gani linalosema tumiliki simu,Laptop,Saa Nk....??

4.andiko gani linalosema Milima na mbuga zetu tuzigeuze ziwe utalii ?

Hiyo ni mifano michache tu nmekupa ya kkufungua akili Hebu kuwa mtu mzima basi Binadamu amepewa utashi na Akili ya kutatua changamoto kwahyo sio lazima kila ktu anachofanya kiwe kimeandikwa sehemu ndo akifanye.

Umenielewa ?? Au nikulipie Day care ukajifunze Kusoma,kuandika na kusikiliza kwa Makini.
 
ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.

waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.

ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Kobazi kwa ajili kukinga jua kali uarabuni,unashindwa kumalizia jibu simple hivyo bwana
 
ukipata jibu namimi nijibu imeandikwa wapi tusafiri kwa kutumia magari na wakati punda wapo.

waarabu walizikwa pasipo ya jeneza kutokana na uhaba wa mbao uko jangwani kwao, ikawa ni kama sehem ya utamaduni wa mwarabu, mara imeingizwa ktk dini yetu pendwa ya kukopi na kupesti utamaduni wa mwarabu.

ukute ata kuvaa kobazi nayo ni sunnah
Waarabu walikuwa wana Miti ya mitende waliweza kutengeneza majeneza lakini hawakutengeneza.

Kingine unatakiwa utofautishe kati ya jambo la kiibada na jambo la ada na desturi. Inajulikana wazi ya kuwa kizika ni jambo la kiibada, yaani ni jambo ambalo linataratibu zake maalumu za kidini. Huwezi kulinganisha na mambo ya ada na destruri, mambo ambayo hayahusiani na jambo la kiibada.

Yesu mnaemfata kama mnavyodai, aliishi na watu watu walikuwa, usahihi mlitakiwa mjue Yesu alizika vipi watu Kisha mfata mafundisho yake.
 
Kwani imeandikwa wapi maiti azikiwe bila jeneza? Masuala ya mazishi ni mila, desturi na tamaduni husika, ndio maana wengine hawaziki bali wanachoma moto, wengine wanazikwa baharini kama Usama bin Laden.

Vv
Mtume kwetu sisi ametufundisha mpaka adabu za kula na kuingia chooni, Bali mpaka adabu za kumuingilia mkeo. Kwa maadamu haya mambo hayafati ada na desturi za watu, sababu mila zilikuwa zimefisidika.

Katika Uislamu tumefundishwa mpaka kuzika tuzike vipi. High ndiyo dini Sasa.
 
Waarabu walikuwa wana Miti ya mitende waliweza kutengeneza majeneza lakini hawakutengeneza.
Nani asiyejua uarabuni ni jangwani. Mlitaka miti watoe wapi? Hivi mitende inatengeneza mbao kweli
Yesu mnaemfata kama mnavyodai, aliishi na watu watu walikuwa, usahihi mlitakiwa mjue Yesu alizika vipi watu Kisha mfata mafundisho yake.
Yesu alikuwa haziki, alikuja:
1. Kufufua wafu na kuleta uzima wa milele.
2. Kufufua mawazo mgando kuwa mapya
3. Kutoa uadui uliokuepo kati wanadamu na Mungu, kisha Mungu akaamua kukaa kwetu.
4. ...
 
Ipo siku utauliza kwanini watu wanavaa kondomu au pedi imeandikwa wapi kwenye biblia.
Mleta mada acha akili za kindezi grow up!!
 
Idd ikikaribia mwaanza kukufuru na kuona dini za wenzenu Takataka
 
Nani asiyejua uarabuni ni jangwani. Mlitaka miti watoe wapi? Hivi mitende inatengeneza mbao kweli
Naam, bila shaka hushangai minazi kutengeneza mbao.
Yesu alikuwa haziki, alikuja:
1. Kufufua wafu na kuleta uzima wa milele.
2. Kufufua mawazo mgando kuwa mapya
3. Kutoa uadui uliokuepo kati wanadamu na Mungu, kisha Mungu akaamua kukaa kwetu.
4. ...
Huu ujinga mwingine unaulete. Kwahiyo watu walipo kuwa wanakufa hakuwa akitoka maelekezo namna ya kuzika na yeye ni kiongozi ?

Kama hivyo ndivyo mnadhalilisha Yesu kwa kuja na ujumbe ambao si timilifu.
 
Back
Top Bottom