Wakristo huyu msanii wa injili ayeimba yesu ninyandue mbona anaachwa? Na wala hatujasikia kauli kutoka kwa viongozi

Yesu ninyandue!!?????
 
Unajuaje kama Mungu amekasirika au amechukizwa?

Kukasirika kisa mtu amemsema Mungu wako ni akili matope
 
Nimesema ngoqja niingie you tube search. Naandika yesu tu.mzigo huo
 

Attachments

  • Screenshot_20240324_192841_YouTube.jpg
    185.7 KB · Views: 1
Hukumu ni kazi ya Mungu.
 
Huo wimbo uko wapi mkuu? Acha upotoshaji chwara.
 
Mtu anayeacha ukristo na kwenda uislam kwa sababu dhaifu kama hizo ni wa kumhurumia tu,hata waislam wenyewe wanatakiwa wamuogope.
Ni kama mke anayekimbia mume wake aje kwako kisa anafokewa akirudi kachelewa home.

Papa ni kiongozi,mwenye ubinaadam anawezakuwa na ujinga wowote tu kama binaadam mwingine,sasa kama unadhani ndiye Yesu huyo hatuna cha kukusaidia.
 
Papa kama papa,ni taasisi,,hawezi kutoa tamko bila kukaa na washauri wake,wajadili ndo wapitishe,,,so kuniambia kwamba papa kama binadamu,huo ni uongo....huwezi kukaa ndani ya choo alaf ukafurahia chakula,,,,,,lazima usikie kinyaa,,,kwamsasa kanisa katoliki linatia kinyaa!!!
 
wewe endelea kusikia kinyaa,wenzako wanajua hajuna taasisi yoyote duniani ambayo kiongozi anayeisimamia hana mamlaka.
 
Muachie Yesu mwenyewe adeal naye, au hamuamini Mungu wako na maamuzi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ