Wakristo kazi mnayo aisee...

🙄🙄🙄
 
Asante mkuu..kweli ni chumvi ya ulimwengu. Sisi tumekuwa wezi wa ulimwengu
 
Leo umeamka na upako wa mahubiri
 
Juzi alikuwa na kikao cha dakika 45 na Mkurugenzi wa shirika la Jesuit wakiujadili ushoga. Tutege sikio tusikie mtikisiko mkubwa unaokuja
Mimi sifichi namna simpendi Huyu mama Benedict,,HE IS EVIL,,PAPA YOHANA aliepita hakupata mrithi na Huwa najiuliza Huyu kimeo alipataje hio nafasi?
 
Shetani Hana mamlaka Tena anaendesha mambo yake kwa uzoefu,,Yesu alimnyang'anya ufunguo wa mauti na kuzimu(mamlaka) na akaketi mkono wa kuume kwenye kiti(Cha enzi)mamlaka nyengine kiutawala kwa hio ibilisi anategemea project ambazo alikuwa amezianzisha tu Hana jipya.
 
DINI YOYOTE NI UBATILI, WANAKUFA WATU 19 ILI MAJALIWA AINULIWE!!!
 
DINI YOYOTE NI UBATILI, WANAKUFA WATU 19 ILI MAJALIWA AINULIWE!!!
Dini gani iliyo angusha ndege? Hivi unajua JF na pombe za bei rahisi ni maadui wakubwa? Siku jifunge mkanda, nunua Moet, kinywa halafu njoo u comment. Utatema madini kichizi
 
Mnaongea mambo magumu
 
Dini gani iliyo angusha ndege? Hivi unajua JF na pombe za bei rahisi ni maadui wakubwa? Siku jifunge mkanda, nunua Moet, kinywa halafu njoo u comment. Utatema madini kichizi
Kelele, nyie mnaosema majaliwa kainuliwe baada ya ajali ya ndege mnamaanisha Nini?
 
Wewe mshamba kabisa wewe ndo ujui kwamba uchumi wa vetecan unamilikiwa na pope au Air Italian share 70 ni za pope, pumbavu kibisa mnajificha uko vijijini amjui world economy
ficha ujinga wako basi unajidhalilisha,hilo povu lote ni kwakuwa nimekwambia uthibitishe unachokisema na umeshindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…