Wakristo kimbieni upumbavu wa kuombewa

Wakristo kimbieni upumbavu wa kuombewa

Mkristo wa kweli au unayejiita umeokoka unaenda kutafuta huduma za maombezi. Eti umemwamini Mungu lakini mahitaji yako ni mpaka tena mtu mwingine akayapeleke kwa Mungu baba yako! Una akili timamu kweli wewe? Tuache upumbavu.
Maneno ya Mwaitege, "NJOO UOMBEWE. UKIOMBEWA TATIZO LAKO NI DOGO HILO
 
Hivi kwanini usitulie ukapambana na maisha yako na din yako wewe??!!eti unawashauri wakristo tangu lini🤣🤣😂😂 mbona husemi wale wanaobusu jiwe kule maka ungewashauri coz wanakufa kila leo kwa kukanyagana hebu tokaa hapa!!!

Ukristo unakoslewa sana kwa sababu hakuna mtu anayekutwa shingo kwa kukosoa au kupinga au kutukana ukristo.

Dini nyingine ulisema alkaaba ni jiwe la Komondo kilichodondoka karne nyingi kutoka angani wetu watakurangazia Fatwa. Zamani za giza jiwe lililoanguka kutoka angani lilionekana kama ni jambo la Kiimani ndio maana wa atu wa zama hizo za giza walikua wanaliabudu.
 
Wakristo wametajwa katika Quran kuwa ni watu waliopotea. Yaani wamepotezwa kwa makusudi na watu au viongozi wao kwa sababu wanazozijua wao.

Na ndio mana Principle namba moja ya wewe kuwa Mkristo mzuri ni usiulize maswali. Kwa sababu wanajua ukiuliza maswali utaona Ukristo haufai au una kasoro na kwa hivyo njia nzuri ni kuambiwa amini, ukiuliza unaambiwa wewe amini tu usiulize.

Wakristo wanaouliza maswali na wanaotumia akili hawabaki katika hiyo dini.
 
Waache hao nyumbu ujinga wao unafanya Mamba asilale njaa
 
Hivi kwanini usitulie ukapambana na maisha yako na din yako wewe??!!eti unawashauri wakristo tangu lini🤣🤣😂😂 mbona husemi wale wanaobusu jiwe kule maka ungewashauri coz wanakufa kila leo kwa kukanyagana hebu tokaa hapa!!!
Yanatokea wapi haya?

Anazo hoja za msingi watu wamekuwa wajinga sana inapokuja suala la imani waambiwe wabadilike
 
hata hii kitu wanaita kuungama kwa padri huwa najiuliza si rahisi sana kudunguliwa mana ni kama wanajipeleka wenyewe kuuza mchoro
 
inshu mafanikio kama unaomba jiwe maka huyu anaomba rozali huyu ana omba mafuta na wote mnapata mafanikio basi hakuna tatizo ila mwampossa asante maisha yangu yananyooka kwa ajili ya ibada zako.
 
Naona Mwamposa anawatoa jasho, kila akifanya mkutano mnakuja na vinyuzi visivyo namaana. Waache waliwe kwa ujinga wao
 
Mkristo wa kweli au unayejiita umeokoka unaenda kutafuta huduma za maombezi. Eti umemwamini Mungu lakini mahitaji yako ni mpaka tena mtu mwingine akayapeleke kwa Mungu baba yako! Una akili timamu kweli wewe? Tuache upumbavu.
Kuombewa kwa kulipia na watu wanalaghaika
 
inshu mafanikio kama unaomba jiwe maka huyu anaomba rozali huyu ana omba mafuta na wote mnapata mafanikio basi hakuna tatizo ila mwampossa asante maisha yangu yananyooka kwa ajili ya ibada zako.
Hayo ni mafanikio bandia hayatoki kwa Mungu. Miujiza hata wachawi wa Farao waliweza kufanya miujiza kama ya nabii Musa!!
 
Mkristo wa kweli au unayejiita umeokoka unaenda kutafuta huduma za maombezi. Eti umemwamini Mungu lakini mahitaji yako ni mpaka tena mtu mwingine akayapeleke kwa Mungu baba yako! Una akili timamu kweli wewe? Tuache upumbavu.
Ungesingeandika hayo maneno Mkristo wa kweli.
Moja ya takwa la mkristo ni kuombea wengine. Hivyo sio jambo la ajabu kusali kwa ajili ya wengine.
 
Ungesingeandika hayo maneno Mkristo wa kweli.
Moja ya takwa la mkristo ni kuombea wengine. Hivyo sio jambo la ajabu kusali kwa ajili ya wengine.
Kuombeana ni jambo la kibiblia lakini sasa kuna watu wameligeuza kuwa kitega uchumi na kichaka cha utapeli kwa hiyo limekosa maana yake halisi
 
Hahah wanaombewa labda midomo Zege, yani unashindwa kujiombea shida zako mwenyewe, mpaka uombewe na mtu mwingine? Huo ni Utaahira.

Halafu anakuombea kwa MUNGU ambaye hata yeye hamfahamu, hajawahi kumuona, nawe unaenda kuombewa. Mungu wetu sote, alafu eti shida zako anakuombea yeye.
 
Kuombeana ni jambo la kibiblia lakini sasa kuna watu wameligeuza kuwa kitega uchumi na kichaka cha utapeli kwa hiyo limekosa maana yake halisi
Sasa hapo ndio kunahitajika umakini swala ambalo ni changamoto pia. Dunia hii watu ni wagonjwa na ugonjwa wa akili ndio unawasumbua wengi.
 
Back
Top Bottom