Wapi kwenye BIBLIA panaposema MUNGU ni mnyenyekevu
LIKUD Mkuu sio kila kitu uzungumzie hata usivyo na elimu navyo, waislamu hawana imani?! kwani imani ni kuamini tu kuwa mungu anaweza kuzaliwa duniani? yaani hiyo ndiyo imani pekee? kwa mujibu wa maarifa yapi na umeyapata wapi.
Kwa ufupi mkubwa, uislamu umeelekeza kidogo kuhusu sifa za allah aliyetukuka na majina yake matukufu pia baadhi, hatujui kuhusu yeye isipokuwa kile alichotufundisha.
"alif-laam-miym, hiki ni kitabu kisicho na shaka ndani yake, hali ya kuwa ni muongozo kwa wachamungu.
Ambao wanaamini mambo yaliyofichikana, na wanasimamisha swala na katika vile tulivyowaruzuku wanatoa{sadaka}.
Na wale ambao wanaamini yale yaliyoteremshwa kwako, na yale yaliyoteremshwa kabla yako, na kuhusu akherah wana yaqini.
Hao ndio wako juu ya muongozo kutoka kwa mola wao, na hao ndio wenye kufaulu.
Qur'an 2:1-5
Ni muhali dini iliyoweka mfumo kamili wa maisha ya mtu tangu akiwa tumboni mpaka anaingia kaburini na baada ya kutoka kaburini, ikose kuwa na imani, na hakuna dini bila imani.
"Ameamini mtume yale yaliyoteremshwa kwake kutoka kwa mola wake, na waumini vilevile, wote wamemuamini Allah na malaika wake na vitabu vyake na mitume wake, hatutofautishi baina ya yeyote katika mitume wake, na wakasema: tumesikia na tumetii, tunakuomba msamaha mola wetu! na kwako tu ndio marejeo."
Qur'an 2:285
Halafu unasema uislamu hauna nini?! kanawe uso upige mswaki unywe chai mkuu, siku nyingine ukizungumzia imani usifupizike tu kwenye jambo la nabii issa amani iwe juu yake, sisi waislamu hatumsifu allah kwa sifa za viumbe bali yeye yuko juu ya arshi yake tukufu juu ya mbingu saba, na amekizunguka kila kitu kwa elimu yake, na wala hivyo havimchoshi kuvihifadhi naye ndiye aliye juu aliye mkuu.
LIKUD Mkuu sio kila kitu uzungumzie hata usivyo na elimu navyo, waislamu hawana imani?! kwani imani ni kuamini tu kuwa mungu anaweza kuzaliwa duniani? yaani hiyo ndiyo imani pekee? kwa mujibu wa maarifa yapi na umeyapata wapi.
Kwa ufupi mkubwa, uislamu umeelekeza kidogo kuhusu sifa za allah aliyetukuka na majina yake matukufu pia baadhi, hatujui kuhusu yeye isipokuwa kile alichotufundisha.
"alif-laam-miym, hiki ni kitabu kisicho na shaka ndani yake, hali ya kuwa ni muongozo kwa wachamungu.
Ambao wanaamini mambo yaliyofichikana, na wanasimamisha swala na katika vile tulivyowaruzuku wanatoa{sadaka}.
Na wale ambao wanaamini yale yaliyoteremshwa kwako, na yale yaliyoteremshwa kabla yako, na kuhusu akherah wana yaqini.
Hao ndio wako juu ya muongozo kutoka kwa mola wao, na hao ndio wenye kufaulu.
Qur'an 2:1-5
Ni muhali dini iliyoweka mfumo kamili wa maisha ya mtu tangu akiwa tumboni mpaka anaingia kaburini na baada ya kutoka kaburini, ikose kuwa na imani, na hakuna dini bila imani.
"Ameamini mtume yale yaliyoteremshwa kwake kutoka kwa mola wake, na waumini vilevile, wote wamemuamini Allah na malaika wake na vitabu vyake na mitume wake, hatutofautishi baina ya yeyote katika mitume wake, na wakasema: tumesikia na tumetii, tunakuomba msamaha mola wetu! na kwako tu ndio marejeo."
Qur'an 2:285
Halafu unasema uislamu hauna nini?! kanawe uso upige mswaki unywe chai mkuu, siku nyingine ukizungumzia imani usifupizike tu kwenye jambo la nabii issa amani iwe juu yake, sisi waislamu hatumsifu allah kwa sifa za viumbe bali yeye yuko juu ya arshi yake tukufu juu ya mbingu saba, na amekizunguka kila kitu kwa elimu yake, na wala hivyo havimchoshi kuvihifadhi naye ndiye aliye juu aliye mkuu.
Afrika sio nchi ila ndani ya Afrika kuna nchi nyingi, ukristo sio dini ila ndani ya ukristo zipo dini (thehebu ) tofauti tofauti . Zingatia kuwa ukatoliki sio usabato , wala upentecoste sio ukkt...hawa wote kila mtu ana namna na taratibu z/yake ya kuabudu ...but wote ni wakristo!Dini ni njia. Utasemaje Ukristu siyo dini?
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo
Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.
1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)
2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..
3. Wakristu hawana dini ila wana imani.
4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.
Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?
Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.
Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?
Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.
Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba👇
Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.
Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.
Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema
1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.
2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...
BACK TO THE POINT
Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..
Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.
Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.
VIPI KUHUSU WAKRISTU?
Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.
Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.
Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.
Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.
Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .
Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.
Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.
Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.
Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.
Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.
Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
Wewe unasoma Biblia juu juu tu...Kwanza soma Tito 2:13 utoe wenge then usome maneno ya Yesu kwenye Mathayo 11:29 akisema " Jitieni nira yangu, mjifunze toka kwangu kwa kuwa Mimi ni mpole na MNYENYEKEVU wa moyo,nanyi mtapata raha nafsini mwenu
Matendo gani ameyafanya?YESU katika kitabu cha Mathayo 7:16 na kuendelea, aliwatahadharisha watu kuwa siku za mwisho watakuja manabii wengi wa uongo, watawadanganya wengi na wengi watadanganyika.
Wakamuuliza tutawatambiaje, akajibu, mtawatambua kwa matendo Yao.
Hao wanaom judge Huyo Nabii unayemtaja hapa, Wameshamtambua kwa matendo yake.
Sasa usilazimishe watu waone kama unavyoona wewe maana katika Bibilia imeandikwa nanyi mtaona Lakini hamtatambua, mtasikia Lakini hamtaelewa.
Dini hapo ni Ukristo, hayo Mengine kama wasabato, wakatoliki, walutheri, na wengineo ni Madhehebu tu...Afrika sio nchi ila ndani ya Afrika kuna nchi nyingi, ukristo sio dini ila ndani ya ukristo zipo dini (thehebu ) tofauti tofauti . Zingatia kuwa ukatoliki sio usabato , wala upentecoste sio ukkt...hawa wote kila mtu ana namna na taratibu z/yake ya kuabudu ...but wote ni wakristo!
Huyu alibakisha kuoa tu angekuwa anat*mber kama binadamu wafanyavyo."Mt 11:29 SUV
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu".
Huyu ni Mungu,aliuvaa mwili,akala chakula,akanya,akapata kiu etc.
Wewe unasoma Biblia juu juu tu...
Tito 2:13 katika Agano Jipya linasema, "tukitarajia tumaini lenye baraka, yaani, kufunuliwa kwa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Wapi hapo kwa Tito kuna neno MUNGU
ananyeyekea, hapo kwa TITO wanazungumzia nafsi mbili tofauti yani MUNGU MKUU na YESU KRISTO, wote wawili.
Mathayo 11:29 katika Injili ya Mathayo inasema, "Jifungeni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu."
hapo Katika kitabu cha mathayo, anayezungumza ni YESU, kwamba tujifunze kutoka kwake kwa sababu yeye ni mpole na mnyenyekevu. Hapo hazungumzi MUNGU MKUU, kwa sababu yeye hana wa kumnyenyekea. YESU ndio mnyenyekevu mbele za MUNGU.
BIBLIA sio ya kuivalijia Msuli, Biblia unatakiwa ukae usome na kuelewa neno kwa neno
Dhehebu ni nini!?Dini hapo ni Ukristo, hayo Mengine kama wasabato, wakatoliki, walutheri, na wengineo ni Madhehebu tu...
Acha kupotosha watu
Sasa mbona kuna mahali Yesu anatambulika ndiye Mungu Mkuu?Wewe unasoma Biblia juu juu tu...
Tito 2:13 katika Agano Jipya linasema, "tukitarajia tumaini lenye baraka, yaani, kufunuliwa kwa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Wapi hapo kwa Tito kuna neno MUNGU
ananyeyekea, hapo kwa TITO wanazungumzia nafsi mbili tofauti yani MUNGU MKUU na YESU KRISTO, wote wawili.
Mathayo 11:29 katika Injili ya Mathayo inasema, "Jifungeni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu."
hapo Katika kitabu cha mathayo, anayezungumza ni YESU, kwamba tujifunze kutoka kwake kwa sababu yeye ni mpole na mnyenyekevu. Hapo hazungumzi MUNGU MKUU, kwa sababu yeye hana wa kumnyenyekea. YESU ndio mnyenyekevu mbele za MUNGU.
BIBLIA sio ya kuivalijia Msuli, Biblia unatakiwa ukae usome na kuelewa neno kwa neno
🤣🤣🤣🤣🤣 kama inakuja halafu inakataa vile sio?
Umeitwist mkuuWewe unasoma Biblia juu juu tu...
Tito 2:13 katika Agano Jipya linasema, "tukitarajia tumaini lenye baraka, yaani, kufunuliwa kwa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Wapi hapo kwa Tito kuna neno MUNGU
ananyeyekea, hapo kwa TITO wanazungumzia nafsi mbili tofauti yani MUNGU MKUU na YESU KRISTO, wote wawili.
Mathayo 11:29 katika Injili ya Mathayo inasema, "Jifungeni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu."
hapo Katika kitabu cha mathayo, anayezungumza ni YESU, kwamba tujifunze kutoka kwake kwa sababu yeye ni mpole na mnyenyekevu. Hapo hazungumzi MUNGU MKUU, kwa sababu yeye hana wa kumnyenyekea. YESU ndio mnyenyekevu mbele za MUNGU.
BIBLIA sio ya kuivalijia Msuli, Biblia unatakiwa ukae usome na kuelewa neno kwa neno
Warumi 9:5Wewe unasoma Biblia juu juu tu...
Tito 2:13 katika Agano Jipya linasema, "tukitarajia tumaini lenye baraka, yaani, kufunuliwa kwa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Wapi hapo kwa Tito kuna neno MUNGU
ananyeyekea, hapo kwa TITO wanazungumzia nafsi mbili tofauti yani MUNGU MKUU na YESU KRISTO, wote wawili.
Mathayo 11:29 katika Injili ya Mathayo inasema, "Jifungeni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu."
hapo Katika kitabu cha mathayo, anayezungumza ni YESU, kwamba tujifunze kutoka kwake kwa sababu yeye ni mpole na mnyenyekevu. Hapo hazungumzi MUNGU MKUU, kwa sababu yeye hana wa kumnyenyekea. YESU ndio mnyenyekevu mbele za MUNGU.
BIBLIA sio ya kuivalijia Msuli, Biblia unatakiwa ukae usome na kuelewa neno kwa neno
Amefanunua vizuri kupata mwanga ni somo kubwa ukitafuta kufahamu hakika utaelewaMmh!!! Wa christu wana Iman ila hawana Dini ila waislamu wana Dini ila hawana Iman, its confusing to understand fafanua zaidi
Hakuna njia isiyo na kanuni ya kuzifuata. Labda mnahangaishwa na swala la Utamadunisho, hivyo mkatamani dini inayofuata utamaduni wa watu fulani huku waumini wake wakitakiwa kuufuata utamaduni wa nchi fulani.Dini ni njia. Njia ina sheria na amri zake.
Ukristo sio njia kwa sababu hauna sheria wala Amri.
Ukristo ni kama wewe utokee kumuamini Gwajima alafu muitwe Wagwajima, yaani wafuasi Wagwajima
Elimu nzuri sanaModerator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo
Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.
1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)
2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..
3. Wakristu hawana dini ila wana imani.
4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.
Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?
Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.
Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?
Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.
Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba👇
Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.
Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.
Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema
1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.
2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...
BACK TO THE POINT
Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..
Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.
Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.
VIPI KUHUSU WAKRISTU?
Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.
Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.
Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.
Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.
Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .
Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.
Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.
Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.
Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.
Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.
Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
Huyu jamaa bana!!Una maneno mengi wewe,khaa! Hujawahi tulia kabisa