Wakristo kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

Wakristo kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

We jamaa mbona unamtetea sana huyo nabii Lovy? Umeambiwa dressing code yake ina utata elewa hivyo. Hebu soma vizuri kuhusu mavazi na tafriri zake. Huyo nabii kaleta utata kwa muonekano wake si wa kimaadili ya kikristo, ni uvaaji wa kihuni. Sasa kama Mungu ameamua kutumia wahuni si ajabu maana anasema watu wake wasipopiga kelele mawe yatapiga kelele. Mnataka kuizoesha jamii ya kikristo kuona ni kawaida kujiingiza kwenye huduma za Mungu uwe kama ulivyo bila kuacha utu wa kale. Liko wapi badiliko la kuokoka? Hukumu ya Mungu inaanzia nyumbani kwake, acha huyo nabii ahukumiwe kwa muonekano wake
 
Unajua tukiacha kukemea dhambi itazoeleka ni kawaida kuvaa hovyohovyo na kwenda kwenye ibada. Ukute wanawake wamevaa min skirt, body tight matiti yanaonekana, matako yamefutiliwa kwa nguo za kubana kisa tu kuna uhuru wa kuvaa mitindo ya ajabuajabu hii haitakubalika kwa kweli. Mawakili wa Mungu tupo tutafanya kazi ya Mungu kwa kufuata neno lake katika Biblia. Manabii wote tutawapima kwa neno la Mungu kama wanaendana nalo. Nje na hapo tutawaona ni wahuni tu na mawakala wa shetani
 
Ukristo ulianzishwa karne ya 1 Islam ikaanzishwa karne ya 7,hizi ni dini moja, msomeni Constantine mtajua mengi huyu ndiye intelegency wa mambo yote ya kidini.
 
Ukiristo sio dini ni ukombozi
Usilamu ni dini ni sheria ndio maana kuna nchi kama sudan, UAE, saudia, Yemen zinaongozwa kws sheria ya kiislam
Lakini ukiristo hautumiki kutawala nchi yoyote kwa sheria za kikristo
Mtoa uzi umeeleza vyema
 
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo

Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.

1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)

2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..


3. Wakristu hawana dini ila wana imani.

4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.


Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?

Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.


Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?


Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.


Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba👇

Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.

Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.


Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema

1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.

2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...


BACK TO THE POINT

Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..

Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.


Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.

VIPI KUHUSU WAKRISTU?

Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.

Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.

Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.

Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.

Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .


Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.


Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.


Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.

Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.


Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.

Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
UNAUMIA NA YESU....SABABU AMEWAAMBIA UKWELI WAKRSTO KUA ALLAH NI SHETANI MKUU ALIYELAANIWA....
KWAHIYO WAMUACHE YESU WAO MWANA WA MUNGU WAO WAMFUATE MUDI MWARABU ALIYEWAKOPI WAYAHUDI NA WAKRSTO...
WAISLAMU MNAUMIA KWELI NA WAKRSTO NA IMANI YAO NA MADHEHEBU YAO NA MNAUMIA KWELI WAO KUMUABUDU MUNGU WA KIYAHUDI EL SHADAI BADALA YA MUNGU WENU WA KIARABU ALLAH
 
Waislamu na waarabu bhana mnaumia na imani za wayahudi na wakrsto...
Mnawalazimisha wakubaliane na mapokeo yenu ya kiarabu🤣🤣😂😂
Ila siwalaumu nyinyi,,,bali najua akili za kiislamu na kiarabu wapi waga zinaishia.
🤣🤣🤣🤣
 
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo

Na declare interest. Mimi ni mfuasi as dini za jadi za kiafrika.

1. Ukristo ni imani ila Uislamu ni dini( mfumo wa maisha)

2. Uislamu umekaa kisheria na kisayansi zaidi kuliko " imani" lakini Ukristo umekaa kiimani zaidi kuliko sayansi na sheria. Ndio maana waislamu husema hadi sayansi inaweza kuthibitisha kwamba Qur'aan Tukufu, lakini huwezi sikia wakristu wakisema Biblia inaweza kuthibitishwa kisayansi..


3. Wakristu hawana dini ila wana imani.

4. Waislamu wana dini lakini hawana imani.


Kwanini nasema wakristu hawana dini, ila waislamu ndio wana dini?

Dini ni mfumo wa maisha. Hakunaga mfumo wa maisha wa Kikristu. Ili uitwe mfumo lazima uwe unafanana kwa watu wote. Hili kwa wakristu halipo kwa sababu kila nchi kila dhehebu wana utaratibu wao wa maisha. Lakini waislamu utaratibu wao unafanana kuanzia China hadi Chile. Ukienda China adhana itasomwa vile vile na kwa muda ule ule kama itakavyo kuwa Chile. N.k.


Kwanini nasema wakristu wana imani lakini waislamu hawana imani?


Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia.


Kwa kuamini kuhusu Yesu, wakristu wanasema kwa vitendo kwamba[emoji116]

Mungu anaweza kufanya kila kitu ikiwemo kuzaliwa kama mwanadamu.

Ama kwa habari ya kuamini kwamba Mungu( Yesu) alisulubiwa na wanadamu ambao kwa Msingi wa imani ya Kikristo ni viumbe wake mwenyewe, tafsiri yake ni kwamba wakristu wanaamini kwamba Mungu anaweza kuwa kitu chochote kile kwa namna yoyote ile. Yeye ndio kaumba unyenyekevu jambo ambalo maana yake ni kwamba yeye ndio mnyenyekevu namba moja. Yeye ni mnyenyekevu kuliko kitu chochote kile. So kitendo cha Mungu kuja duniani na kuishi kama mwanadamu na kusulubiwa na wanadamu ambao kawaumba yeye mwenyewe kinathibitisha kwa vitendo unyenyekevu wa Mungu. Hakuna kiumbe wa kufanana na Mungu kwa namna yoyote ile. Na kwa habari ya unyenyekevu hakuna kiumbe anae weza kufanana na Mungu katika eneo hilo la unyenyekevu kwa sababu kiwango cha juu kabisa cha unyenyekevu ni pale Mungu alivyo shuka duniani yeye mwenyewe na kukaa ndani ya tumbo la kiumbe chake mwenyewe na kisha kusulubiwa na viumbe wake mwenyewe. Ndio maana Yesu mwenyewe alijisema kwamba yeye ni Mnyenyekevu wa moyo. Wakristu kuamini kuhusu mambo hayo hapo juu inathibitisha kwamba ni watu wenye imani ya hali ya juu sana.


Na waislamu wanapo kataa kuamini story ya Yesu kama ilivyo andikwa kwenye Biblia tafsiri yake ni kwamba wanasema

1. Mungu hawezi kufanya kila kitu.

2. Yapo mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya kabisa na mojawapo kati ya mambo ambayo Mungu hawezi kuyafanya ni pamoja na kuzaliwa kama mwanadamu na kuishi kama mwanadamu.na kuteswa na viumbe ambao amewaumba yeye mwenyewe . Jambo ambalo tafsiri yake ni kwamba waislamu hawana imani kwa Mungu. Hawaamini kama Mungu anaweza kuzaliwa kama mwanadamu wala kuvaa unyenyekevu na kuteswa na viumbe wake yeye mwenyewe. Wamemuwekea Mungu mipaka juu ya mambo ambayo anaweza kuyafanya na asio weza kuyafanya...


BACK TO THE POINT

Waislamu wanaongozwa na sheria na kanuni..

Muislamu mwenzao anapofanya hadharani jambo ambalo ni kinyume na sheria za kiislamu basi waislamu watamuhukumu mtu huyo hadharani accordingly. Kwa mfano mtu akionekana amevaa kanzu anaelekea msikitini ama anatoka msikitini huku akiwa amelewa pombe basi waislamu watampopoa mtu huyo hadharani kwamba kwanini anakwenda kwenye nyumba takatifu akiwa amelewa.


Ama kwa watu wasio kuwa waislamu ambao wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uislamu basi waislamu wamekuwa wakiwashukia vikali pia.

VIPI KUHUSU WAKRISTU?

Wakristu wao huongozwa zaidi na imani kuliko sheria kama walivyo fundishwa na Yesu. Na kwa miaka mingi wamekuwa wakiyaishi maisha hayo. Hawamjudge mtu anae enda kinyume na mafundisho yao awe mkristu asiwe mkristu.

Kwa mfano: Stand Up comedian wengi wa Kikristo wamekuwa wakifanya utani kuhusu characters wa kwenye bible including Jesus himself.

Refer utani wa Tina Rogat kuhusu Yesu alioutoa kwenye video ambayo kwenye You Tube ipo titled " WANAUME WANAO TUMA NAULI" or something.

Angekuwa muislamu huyo halafu afanye utani kuhusu Mtume kwa namna hiyo sasa hivi angekuwa mkimbizi kama Salman Rushdie.

Huko Nigeria, stand up comedian wa Kikristo wanafikiaga hadi hatua ya kumuita Yesu " Jay" .


Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake.


Nowadays wakristu mmeanza kuwaiga waislamu. Na nyinyi eti mmeanza kuwa mna wajudge watu kwa mambo ya mwilini.


Mnamjudge Mtumishi wa Mungu Prophet Lovy kwa sababu ya mavazi yake.

Imani yenu imekwenda wapi enyi wakristu? Kama mnaamini kwamba Mungu aliweza kuja duniani na akazaliwa kama mwanadamu na akateswa na wanadamu ambao amewaumba yeye mwenyewe, ni kitu gani hicho kinacho wafanya mshindwe kuamini kwamba Mungu huyo huyo anaweza kumtumia Prophet Lovy ambae ninyi mna muhukumu utafikiri ninyi ndio Mungu.


Mmeanza lini kuhukumu watu? Yesu akawaambia na asie na dhambi kati yenu basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.

Silaha kubwa mliyonayo wakristu ni maombi kama mnaamini Prophet Lovy hayupo mnavyo taka awe ninyi basi muombeeni awe mkamilifu kama nyie.
Mkuu pole sana,unaongea mambo usiyoyajua.
 
Katika watu wanao amini uwepo wa mungu , wewe ni kati ya watu wenye upeo wa juu sana

Una jua kujenga hoja sna , kadri mda unavyokwenda ipo siku utakuja kusema watu wa dhibitishe uwepo wa Mungu.

Nimekaa pale[emoji2309][emoji2309]
 
YESU katika kitabu cha Mathayo 7:16 na kuendelea, aliwatahadharisha watu kuwa siku za mwisho watakuja manabii wengi wa uongo, watawadanganya wengi na wengi watadanganyika.

Wakamuuliza tutawatambiaje, akajibu, mtawatambua kwa matendo Yao.

Hao wanaom judge Huyo Nabii unayemtaja hapa, Wameshamtambua kwa matendo yake.
Sasa usilazimishe watu waone kama unavyoona wewe maana katika Bibilia imeandikwa nanyi mtaona Lakini hamtatambua, mtasikia Lakini hamtaelewa
LIKUD soma hapa! Umeshajibiwa hoja yako
 
[emoji23][emoji23][emoji23] uislamu umekuja after ukristu uislam umekopi vitu vingi kwenye ukristu angalia vitu vya kuongea
 
Hizo definition umezitoa wapi mleta mada ?
Dini ni utaratibu
Imani ni kubali hata bila ushahidi.
Ukisha kubali unaanza kuishi kwa maamrisho na makatazo.
Mifano
Usiiibe usizini, mpende jirani.
Huu tayari ni mfumo wa maisha kwa hio ni dini.
Hata upagani ni imani za kale hivyo nayo ni dini.
Yaani ulicho andika hakipo.
Ukristo wenyewe na uislamu wenyewe chiimbuko lao ni moja .
Ungelifananisha ukristo na Uhindu walau ningekuelewa. Uislamu na ukristo unazungumzia watu wale wale. Mfano Adam, hawa, Musa.
Vitu vinazungumzia watu wale wale vinakuwaje tofauti?
 
Dini sio mfumo wa maisha, Dini ni mfumo wa Imani ya kuabudu. Mfumo wa maisha unaletwa na Mila na Desturi zinazotoka kwenye Tamaduni. Ambapo mchanganyiko wa Tamaduni za Makabila, Dini na hali ya mazingira ya eneo mtu alilopo ndio upelekea kuibuka kwa mfumo wa maisha. Dini pekee sio mfumo wa maisha. Ndio maana kuna Waislamu wa madhehebu tofauti Shia, Sunni na wengine na kila hilo dhehebu lina mtindo wake wa kiimani japo wote ni waislamu, ila wanatofautiana. Sasa kama Uislamu ni Mfumo mmoja, mbona kuna madhehebu ya Shia, Sunni na wengineo.



Kabla ya kusema Wakristo hawana Dini, unatakiwa ujue Tafsiri ya neno Dini;
Dini ni mfumo wa imani na ibada unaoongoza maisha ya kiroho wa watu au jamii.
Kila mwenye Imani na Ibada basi huyo ana Dini. Haijalishi unaabudu nini, utofauti unakuja kwenye mitazamo. Mwingine haamini Jehanamu, mwingine anaamini kuna Jehanamu na kadharika. Hivyo uwezi kusema watu fulani hawana Dini kisa tu hawafanani na wewe kwenye kuabudu.

MUNGU MKUU (The Almighty) hawezi kuzaliwa wala kuzaa, yeye katuumba sisi. Aliyezaliwa ni YESU, ambae ni Mwana wa MUNGU, kila kiumbe kilichoumbwa kwa mfano wa MUNGU tunakiita mwana wa MUNGU. Sisi wote ni watoto wake MUNGU kwa sababu yeye ni BABA yetu kiuumbaji. MUNGU hayuko peke yake huko MBINGUNI, kuna viumbe wengine, nae YESU alikuwa katikati ya hao viumbe, na akatumwa na MUNGU (THE ALMIGHTY) kuja kututoa katika dhambi. Na akaja kwa njia ya kuzaliwa hili iwe rahisi kuketi miongoni mwa binadamu na kumuamini, ndio maana YESU ndio binadamu pekee aliyezaliwa bila ya kuwepo Baba binadamu, YESU alizaliwa kwa uwezo wa roho na si damu.


Wapi kwenye BIBLIA panaposema MUNGU ni mnyenyekevu, MUNGU anamnyeyekea nani? Yeye ndio Alpha na Omega, yani mwanzo na mwisho. Sasa amnyenyekee nani... Acha kuandika story za vijiweni, lete maandiko

Ukiwa unaleta mada za wakristo, hakikusha unaleta na nukuu za Biblia... Sio story za wakristo wasioelewa Dini
Siungani na mtoa mada juu ya yote aliyoandika ila nakusaidia hayo maandiko uliyoyataka ayaweke

ni vizuri sana hata sisi kabla ya kucomment chochote tuwe tuna utaratibu wa kusoma Biblia maana wakati mwingne Huwa tunaweza fikiri tumemkosoa mtu Kwa upana
kumbe Kuna kitu kweli kipo kwenye Biblia ila hata yeye hajakielewa kiliandikwa kumaanisha nini ila maandiko yanayoonyesha huo unyenyekevu aliouzungumzia Yapo ni haya hapa chini nimekuwekea

Mathayo 11:29
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;

Philipi 2:6-8
6 Ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 Bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;

8Tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
 
Ha ha ha .....nmecheka mpk Basi[emoji28][emoji116]

Kitendo cha wakristu kuamini kwamba Mungu anaweza kuacha enzi yake huko mbinguni akaja duniani akaingia kwenye tumbo la kiumbe alie muumba yeye mwenyewe akakaa humo kwa miezi tisa akazaliwa kisha akaja kusulubiwa na watu wake alio waumba yeye mwenyewe, ni kiwango cha juu kabisa cha ki imani kwa Mungu kuwahi kutokea tangu kuumba kwa dunia
 
Ha ha ha. ....[emoji28][emoji116]

Wewe stand up comedian muislamu jaribu kumuita Prophet Muhammmad ( PBUH) just " Mudy" uone balaa lake
 
Naomba ufafanuzi, UKRISTO na UKRISTU ni kitu kimoja au tofauti.?
Hayo maneno mawili yote yana maana moja ni lugha tu zilizotumika yaani Greece&Latin

Neno Kristo limetoka katika lugha ya kigiriki (Khristos) ambalo likitafsiriwa katika Kiswahili linatamkika kama KRISTO.

Lakini Neno hili hili, kwa lugha ya kilatini (Christus), likitafsiriwa katika Kiswahili linatamkika kama KRISTU.
 
Kwa maelezo ya mtoa mada,

Wakristo Wayahudi Wanayo dini maana wanaaabudu ktk injili ya mussa,ina Sheria kali sn na imenyooka , haina Kona kona

Wakristo wa Roma na kwingineko hawana dini, maana ata juzi papa kahalalisha mashoga kutobughudhiwa na waruhusiwe kusimamia ubatizo. Akidai maisha yamebadilika,biblia iendane na wakati
 
Back
Top Bottom