Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno haya ya Paul yana madaraka yapi ya kubadili sheria za Mungu, ni wapi kapewa kibali kutengua sheria za vyakula safi na najisi ?Soma vifungu hivyo vya Biblia kamakweli una nia ya kujifunza la sivyo kabishane huko Facebook ndio level zako.Kwa kifupi Biblia haikatazi kula vyakula aina fulani vyote vinaruhusiwa kwa Mkristo isopokua Biblia imeweka uhuru kulingana na utamaduni wa jamii husika.Kwa mfano wachina wanakula Punda lakini Tanzania inaonekana sio utamaduni wala Mila zetu
⚖️Mungu hawezi kamwe kushughulika na vitu vidogo vya kumpangia binaadamu nini Cha kula na nini usile.![]()
Huwa nashangaa sana ni vipi kila kiumbe ambacho Mungu alituruhusu kula huwa kinalika bila tatizo na ni salama kwetu lakini linapokuja suala la viumbe ambavyo alivikataza huwa kuna ubaguzi, mfano viumbe kama nzi, nyau, punda, mjusi na panya watu wanabagua lakini kwa wakati huo huo wanakula vingine vilivyokatazwa kama nguruwe na nyau, ni kwanini ?
Wanyama safi na halali kuliwa ni wenye sifa hizi zote : kwato katika miguu yake + mwenye miguu ya kupasuka kati + mwenye kucheua,.... wanyama kama sungura, nguruwe na paka hawaruhusiwi
Samaki walio halali kuliwa na watu ni lazima awe na mapezi + magamba
Ndege wote wanafaa kasoro - tai, furukombe, kipungu, mwewe, kozi, kunguru, mbuni, kirukanjia, dudumizi, kipanga, bundi, mnandi, bundi, mumbi, mwari, mderi, korongo, koikoi, hudihudi, popo.
Wadudu halali kwetu ni wale wenye miguu mirefu maalum kwajili ya kuruka juu na chini kama panzi, senene na nzige
Reptiles wote hawafai : chura, nyoka, vinyonga, kenge, n.k.
Kikubwa hapo naona ni siasa za kijamii tu na mapokeo..... Kama hufi na hakiathiri afya yako we peleka motooNi madhehebu machache yanafuata hizo sheria, Ni mambo ambayo ukitumia akili ya kawaida kabisa unaona ni wazi ni heri kula vyakula vilivyoruhiswa na Mungu tu
Nilijua tu msabato huwezi kujificha kwenye kichaka cha Usabato😀😀....kama hukubaliani na mafundisho ya Mtume Paulo basi fanya kunyofoa vifungu hivyo vyote vya Biblia nadhani utakua kwenye nafasi nzuri zaidi🤣🤣Paul haya maneno alikuwa anayaongea kwa madaraka yapi ?
Maneno haya ya Paul yana madaraka yapi ya kubadili sheria za Mungu ?
Unaposoma biblia jiongeze, ukiisoma kichwa kichwa utaamini kwamba hata yesu alisafisha vyakula vyote wakati yeye mwenyewe alishasema hajaja kubadili sheria zozote za baba yake, hata yale mabano ya lwa kusema hivi alitakasa vyakula vyote ni mawazo ya watu wengine wala Yesu hahusiki.Nilijua tu msabato huwezi kujificha kwenye kichaka cha Usabato😀😀....kama hukubaliani na mafundisho ya Mtume Paulo basi fanya kunyofoa vifungu hivyo vyote vya Biblia nadhani utakua kwenye nafasi nzuri zaidi🤣🤣
Wasabato kila siku unaanzisha UziUnaposoma biblia jiongeze, ukiisoma kichwa kichwa utaamini kwamba hata yesu alisafisha vyakula vyote wakati yeye mwenyewe alishasema hajaja kubadili sheria zozote za baba yake, hata yale mabano ya lwa kusema hivi alitakasa vyakula vyote ni mawazo ya watu wengine wala Yesu hahusiki.
Biblia sio story ya kusoma ama shairi la kukariri, ni kitabu cha kukisoma kwa kuelewa.
Utazunguka weee ila tunarudi pale pale
ni kwanini kila chakula ambacho kiliruhusiwa na Mungu kinaliwa bia tatizo lakini si kila kilichokatazwa kinaliwa ?
Wewe unaweza kula nzi za chooni ?
Dah uyo pig kimdomo chake is so sexy[emoji8]
Kuna Hali ya kupindisha maagizo ya Mwenyezi Mungu Ili watu waweze kuishi vile wanavyotaka mfano,hata katika biblia imeelezwa mwanamke kufunika nywele zake means kichwa chake lakin hatuyafuati hayo imekua kama ni namna ya kumtofautisha muisilam na mkristo...Leo hii ukienda kanisani utachoka uvaaji imekua mbovu sana,watu wanavaa mavazi hayana sitara,kiasi kwamba inaweza mtoa mtu mwingine kwenye uwepo wa ibada,simu ikiita mtu anatoka nje kupokea ama apokee hapohapo....Aiseee eniwei![]()
Huwa nashangaa sana ni vipi kila kiumbe ambacho Mungu alituruhusu kula huwa kinalika bila tatizo na ni salama kwetu lakini linapokuja suala la viumbe ambavyo alivikataza huwa kuna ubaguzi, mfano viumbe kama nzi, nyau, punda, mjusi na panya watu wanabagua lakini kwa wakati huo huo wanakula vingine vilivyokatazwa kama nguruwe na nyau, ni kwanini ?
Wanyama safi na halali kuliwa ni wenye sifa hizi zote : kwato katika miguu yake + mwenye miguu ya kupasuka kati + mwenye kucheua,.... wanyama kama sungura, nguruwe na paka hawaruhusiwi
"Sifa za viumbe wengine"
Samaki walio halali kuliwa na watu ni lazima awe na mapezi + magamba
Ndege wote wanafaa kasoro tai, furukombe, kipungu, mwewe, kozi, kunguru, mbuni, kirukanjia, dudumizi, kipanga, bundi, mnandi, bundi, mumbi, mwari, mderi, korongo, koikoi, hudihudi, popo.
Wadudu halali kwetu ni wale wenye miguu mirefu maalum kwajili ya kuruka juu na chini kama panzi, senene na nzige
Reptiles wote hawafai : chura, nyoka, vinyonga, kenge, n.k.
Naona mnabishana wenyew kwa wenyew. Haliyakuwa wote mnatumia kitabu kimoja.Unachekesha sana wewe msabato ....nani kwakwambia kitimoto ni najisi😀😀
Mathayo 15:11
kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni kile kitokacho kinywani mwake.”
Mambo mengi hua mnajionea wenyew, lkn mnashindwa kutafakari na kuwaza na kutumia akili.Kuna Hali ya kupindisha maagizo ya Mwenyezi Mungu Ili watu waweze kuishi vile wanavyotaka mfano,hata katika biblia imeelezwa mwanamke kufunika nywele zake means kichwa chake lakin hatuyafuati hayo imekua kama ni namna ya kumtofautisha muisilam na mkristo...Leo hii ukienda kanisani utachoka uvaaji imekua mbovu sana,watu wanavaa mavazi hayana sitara,kiasi kwamba inaweza mtoa mtu mwingine kwenye uwepo wa ibada,simu ikiita mtu anatoka nje kupokea ama apokee hapohapo....Aiseee eniwei
Sawa sawa mzeeKwani nguruwe kawakosea nin, mim nimeanza kula NGURUWE tangu niote meno adi sasa ivi naitwa baba sijawai kuiona iyo dhambi Physically wala impact yoyote juu ya iyo nyama.
ata ivyo nimetoa oda ya nusu kilo na viazi vya 2000 muda huu nipo nasubiri nishushie na Kvant.
nakeleka sana na izi mada za kumuhusu uyu mpendwa wetu. izo dhambi mbona hatuzioni zinavyotukumba tulapo,
........Maneno haya ya Paul yana madaraka yapi ya kubadili sheria za Mungu, ni wapi kapewa kibali kutengua sheria za vyakula safi na najisi ?
Au sababu tu umeona kimendikwa nawe unapita nacho tu bila kukichuja kwenye ubongo, kweli kabisa umeona Paul ndo wakubatilisha sheria za Mungu, you cant be serious !!
Nikupe formula rahisi tu, Sheria za Mungu hazibadiliki na hata Yesu aliweka wazi hajaja kuzibadili. ukiona sehemu zilibadilishwa bila kibali cha aliezitengeneza jua kuna viulizo hivyo ni vema uendelee kuzifuata za Mungu,