kahawa ya njano
Member
- May 28, 2020
- 99
- 124
We umejuaje ni waislam wote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki iko wapi?Aisee kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislam na waislam ila hawatuwezi hata wasaidiwe na SHETANI MKUU.
Mwenyekiti NOMAA...Unauliza wakristo wanakosea wapi kwenye siasa Zanzibar mimi nauliza Wana CCM.wa dini zote wanakosea wapi Tanganyika kwenye Urais 2020?
Umewezaje kujua dini zao hao watia nia?Zanzibar imeshuhudia watia nia 23 wakichukua form ili kuteuliwa kuwa wagombea wa Uraisi Zanzibar..
Ila kilichonishangaza SIJAONA MKRISTO HATA MMOJA...
Kwani wakristo wa Zanzibar mnakwama wapi?
Ila Jecha kumbe ni mwana CCM yaani refa nae anatimu...!!!
#YNWA
Kwani nchi yetu ni nchi ya UDINI??In zanzibar christians CAN'T BREATH!!!
Serikali ya Mapinduzi Inaongozwa kiislam
Ova
Makanisa yapo kibaoo...Hakuna mzanzibar mkristo,ukiona yupo basi anatokea tanganyika
Acha urongoHakuna mzanzibar mkristo, ukiona yupo basi anatokea tanganyika
Usishangae huyo ndio malaika wao anayewaongozaChuki iko wapi?
Au kuuliza swali ni ubaya?
#YNWA
Makanisa yapo kibaoo...
#YNWA
Wewe sasa unataka wazanzibar wakuinukie!!!!Zanziba is not a sovereighn state
Uislamu gani huo usiotenda haki?Ya Wageni na Wahamiaji kutoka Tz Bars, na ndiyomana wapo Neutral kwa siasa za Zanzibar huwezi kuwakuta wakijiingiza kwenye CCM wala upinzani (CUF/ACT).
Lakini Mzanzibari halisi ni 99.99℅ ni Waislamu.
Kwani huko nako kuna mtawala? Urais Zanzibar ni kilemba cha ukoka Tu, mwisho wake Nungwi!!Uchaguzi tanzania!!!!
Mwenye tatizo ni yule atakayepanga foleni kupiga kura
Iangalie michango utaiona chuki.Chuki iko wapi?
Au kuuliza swali ni ubaya?
#YNWA
Uislamu gani huo usiotenda haki???
AhsanteeeUsishangae huyo ndio malaika wao anayewaongoza
a.k.a Maluhani
Hii yako sasa ni mbinu mpya ya kuihujumu ccm zanzibarZanzibar imeshuhudia watia nia 23 wakichukua form ili kuteuliwa kuwa wagombea wa Uraisi Zanzibar..
Ila kilichonishangaza SIJAONA MKRISTO HATA MMOJA...
Kwani wakristo wa Zanzibar mnakwama wapi?
Ila Jecha kumbe ni mwana CCM yaani refa nae anatimu...!!!
#YNWA
Mkuu it's un dispute kwamba sio nchiWewe sasa unataka wazanzibar wakuinukie!!!!
Kiaje?Hii yako sasa ni mbinu mpya ya kuihujumu ccm zanzibar