Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

taratibu za kufunga ndoa ya kikristu wa si ngumu,ugumu unawekwa na wana ndoa wenyewe
 
Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu,
Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
Wewe bado mtoto, hakuna kiongozi wa kanisa anahusika na swala la mahari, labda kwenye hizi NGO zenu mnazoziita kanisa na hata huko jambo la mahari ni la kifamilia.
 
Jua tofauti Kati ya kubadili dini kuwa muislamu na kutunga ndoa ya kiislamu, ni vitu viwili tofauti.

Jamaa anataka mke wa kumuangalizia watoto wake.

Kaoa mtoto wa form 4 ili amuangalizie watoto wake watatu!

Mtoto analea watoto. Huu ni ubakaji. But to each their own.
 
Nadaiwa 2m na wazazi wa kikristo mpaka Leo sijalipa hata mia na mtoto wao nimeshaa naye naishi naye pika pakua wazazi wake wamekaza hawakanyagi kwangu na mie siendi kwao mpaka ntapolipa izo m2
 
Walokole mna mambo mengi sio kila mkristo anafata hatua zenu. kiongozi wa kanisa hana mamlaka ya kukupangia masuala ya posa,Mchungaji kazi yake kufungiaha ndoa tu.Haya ya posa mahari hayawahusu
Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu,
Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
 
Kwani kusilimu sh ngapi mkuu? Kusilimu sio sawa na kutafuta cheti cha kuzaliwa. Kusilimu ni dakika sifuri tu.
 
Me nasemea za uswahilini kwetu
 
Ndoa zinazoongoza kuachika ni ukristo why zile Mali kubwa zinauma pale unapokumbuka hata ulikopa bank halafu mwanamke analeta jeuri

NB: mabinti wa kiislamu wanabusara sana kuliko hawa wa kikristo wanajiona ni watawala ndani ya nyumba zetu ...
 
Kuna siku tulikuwa tunaozesha
Mshenga akasema hawana koti LA mjomba, basi mjomba kusikia hivyo kakomaa lazima apate koti nikaamua kama kaka nikampa mjomba koti mambo yakaendelea ........koti LA mjomba linanunuliwa ufaransa hatari sana...
 
Wanawake wetu wa kikristo


Dodoma. Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, imeshtushwa na kasi ya kuvunjika kwa ndoa nchini chanzo kikubwa kikiwa ni kumomonyoka kwa maadili huku Mkoa wa Dar es Salaam pekee ndoa ni zaidi ya 300 zikivunjika kwa mwezi
 
Wht I know kanisa nililokua nasali mahari sio kigezo cha ndoa...

Halafu ratio ya wanawake wasioolewa kwa wakristo na waislam naona kama ipo sawa tu japo waswaha wanaoa hata 4 wives. Kuoa ni too general term! Kila mtu ale majani yaliyo jirani yake...
 
Ndio ndoa za vodafasta hizi
 
Upumbavu
 
Mahari inaweza kua hata kuku
 
Hizo mbwembwe tu hata kuku anaweza kua mahari tu chamuhimu ndoa iwe bora tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…