Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Rafiki yangu(37) ni single father with 3 kids, ana mchumba wake mganda ambaye naye ni single mother(37 yrs) with one kid. Alikuwa rafiki yake wakati wakisoma chuo, wakaja kukutana tena miaka kadhaa baada ya ku graduate, jamaa anaishi Dar, mrembo anaishi Kampala wakaanzisha uhusiano.

Muda wa kwenda kutoa mahari ulikuwa mwezi uliopita. Nilikuwa mmoja katika ujumbe uliyoongozana na rafiki yangu na matchmaker(mshenga) wake. Wakati wa kunegotiate mahari wazazi wakaanza na 15 million Ugandan ambayo ni kama milioni 9 ya Tanzania(walitaja idadi ya ng'ombe then ikawa converted to cash).

Tukakomaa wakashusha mpaka milioni kumi ya Uganda. Tutakomaa tana wakashusha mpaka milioni tano ya Uganda. Mwisho kabisa wakakomea shilingi milioni nne na point kadhaa ya Uganda ambayo ni sawa na milioni tatu ya Tanzania.

Hapo wakasema haipungui hata mia. Tukaomba tupewe muda tukatafakari kisha tutatoa taarifa ni lini tutarejea tena ukweni kukamilisha hiyo mahari. Kumbuka hapo tumefikia hotelini. Basi tulipoenda kujadiliana tukamuuliza muoaji kama bajeti yake ina mruhusu kulipa milioni tatu cash akasema no way out hawezi kulipa mahari yote hiyo.

Akasema alitegemea wangesema milioni moja halafu yeye angetoa laki tano au saba huku akitoa ahadi ya kumalizia mahari iliyo baki(waganda hakunaga kubakiza mahari). Wakati hapa Tz kutokumalizia mahari ni heshima kubwa sana kwa wakwe, kwasababu kwanza, inaonyesha kwamba bibi harusi sio bidhaa unayo weza kuinunua dukani na kwamba wazazi wa bibi harusi wamekutunuku binti yao ukaanzishe nae familia. Lakini pili Inaonyesha kwamba wewe muoaji unampenda sana mkeo kiasi kwamba haupo tayari kusubiri mpaka upate mahari kamili.

Mshenga akamuuliza bwana harusi. Hauna alternative mahali kwingine, yaani hauna mchumba mwingine?
Jamaa akajibu nina mchumba mwingine yupo Tanzania ila yeye ni muislamu na kwao wanataka tufunge ndoa ya kiislamu(mshenga akajibu nilitaka kushangaa unakosaje alternative?!).

Kisha akamuuliza. Upo tayari kufunga ndoa ya kiislamu? Jamaa akajibu yupo tayari. Mshenga akajibu tunasubiri nini? Mshenga akaenda kutoa taarifa ukweni kwamba tunarudi Dar kujipanga na tutarejea tutakapo kuwa tayari.

Jamaa karudi Dar ndani ya hizo wiki mbili kavuta jiko na harusi ikafanyika kwa gharama ya kawaida sana, na mtoto mwenyewe mbichi kabisa ndiyo kwanza kamaliza form four(anaweza kuwa bado hajawa dis flowered).

Baada ya kuoa jamaa kamjulisha mchumba wake wa uganda kwamba hayupo tena interested na ndoa kwa sababu hizo gharama haziwezi na kwamba ameamua kuoa sehemu nyingine. Mwanamke wa kiganda kachanganyikiwa sasa hivi anawalaumu wazazi wake tu.

Wakristo hizo zama za wanaume kutoa mahari za mamilioni hazipo tena. Jifunzeni kwa waislamu, mnawakosesha binti zenu ndoa kwa sababu ambazo hazina msingi. Kwanza karne hii ukiona mtu "amepandwa na kichaa " cha kutaka kuoa unapaswa kumpa mke haraka kabla kichaa hakija toweka, ili kichaa kiondoke tayari akiwa na mke ndani ndiyo akumbuke 'kumbe mimi fala hivi'.

NB: Kwa sababu ya complications zake, familia nyingi za kikristo huwa zina experience ndoa chache sana ikilinganishwa na familia za kiislamu. Dini ya kiislamu imerahisisha sana suala la ndoa. Matokeo yake familia nyingi za kikristo huwa hazifahamu saikolojia siasa za waoaji.

Ni hivi muoaji anapo kuja kwenye familia yako, usifikiri hajaona mwanamke mwingine au hana option nyingine. Most of the time muoaji anapofikia hatua ya kuja kujitambulisha nyumbani kwenu tayari anakuwa na option zingine kama mbili, tatu au hata nne.

Nikija kwenye familia yako kuchumbia, halafu ukaniletea complications ngumu, mimi nitakacho kifanya nita kuachia binti yako nitaenda kwenye familia ambayo haitaniwekea complications ngumu.

Ninapokuja kwenye familia yako usinichukulie kwanza kama mtu ambae ninataka kumuoa binti yako, nichukulie kama mtu ambae nimekuja kutazama kama familia yako ina complications au la!
Kwa taarifa yako ukristo haujaweka mahari bali kila kabila lina viwango vyake vya mahari!

Jielimishe!
 
Nilikupa hoja zangu ukakimbia... Kwakuwa Una Uhai,ridhiki yako unapata na unaendesha Maisha unapata kiburi kuwa Mungu hayupo...Ila mungu hapa duniani awapa watu wote ridhiki Yao iwe wachawi,wasio amini mungu kama wewe,majambazi nakadhalika...

Ukifa mkuu jeuri yko itajilikana...let's wait kaka
Umenipa hoja zako wapi? Post namba ngapi? Thread ipi? Nitajuaje wewe si muongo tu?

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Rafiki yangu(37) ni single father with 3 kids, ana mchumba wake mganda ambaye naye ni single mother(37 yrs) with one kid. Alikuwa rafiki yake wakati wakisoma chuo, wakaja kukutana tena miaka kadhaa baada ya ku graduate, jamaa anaishi Dar, mrembo anaishi Kampala wakaanzisha uhusiano.

Muda wa kwenda kutoa mahari ulikuwa mwezi uliopita. Nilikuwa mmoja katika ujumbe uliyoongozana na rafiki yangu na matchmaker(mshenga) wake. Wakati wa kunegotiate mahari wazazi wakaanza na 15 million Ugandan ambayo ni kama milioni 9 ya Tanzania(walitaja idadi ya ng'ombe then ikawa converted to cash).

Tukakomaa wakashusha mpaka milioni kumi ya Uganda. Tutakomaa tana wakashusha mpaka milioni tano ya Uganda. Mwisho kabisa wakakomea shilingi milioni nne na point kadhaa ya Uganda ambayo ni sawa na milioni tatu ya Tanzania.

Hapo wakasema haipungui hata mia. Tukaomba tupewe muda tukatafakari kisha tutatoa taarifa ni lini tutarejea tena ukweni kukamilisha hiyo mahari. Kumbuka hapo tumefikia hotelini. Basi tulipoenda kujadiliana tukamuuliza muoaji kama bajeti yake ina mruhusu kulipa milioni tatu cash akasema no way out hawezi kulipa mahari yote hiyo.

Akasema alitegemea wangesema milioni moja halafu yeye angetoa laki tano au saba huku akitoa ahadi ya kumalizia mahari iliyo baki(waganda hakunaga kubakiza mahari). Wakati hapa Tz kutokumalizia mahari ni heshima kubwa sana kwa wakwe, kwasababu kwanza, inaonyesha kwamba bibi harusi sio bidhaa unayo weza kuinunua dukani na kwamba wazazi wa bibi harusi wamekutunuku binti yao ukaanzishe nae familia. Lakini pili Inaonyesha kwamba wewe muoaji unampenda sana mkeo kiasi kwamba haupo tayari kusubiri mpaka upate mahari kamili.

Mshenga akamuuliza bwana harusi. Hauna alternative mahali kwingine, yaani hauna mchumba mwingine?
Jamaa akajibu nina mchumba mwingine yupo Tanzania ila yeye ni muislamu na kwao wanataka tufunge ndoa ya kiislamu(mshenga akajibu nilitaka kushangaa unakosaje alternative?!).

Kisha akamuuliza. Upo tayari kufunga ndoa ya kiislamu? Jamaa akajibu yupo tayari. Mshenga akajibu tunasubiri nini? Mshenga akaenda kutoa taarifa ukweni kwamba tunarudi Dar kujipanga na tutarejea tutakapo kuwa tayari.

Jamaa karudi Dar ndani ya hizo wiki mbili kavuta jiko na harusi ikafanyika kwa gharama ya kawaida sana, na mtoto mwenyewe mbichi kabisa ndiyo kwanza kamaliza form four(anaweza kuwa bado hajawa dis flowered).

Baada ya kuoa jamaa kamjulisha mchumba wake wa uganda kwamba hayupo tena interested na ndoa kwa sababu hizo gharama haziwezi na kwamba ameamua kuoa sehemu nyingine. Mwanamke wa kiganda kachanganyikiwa sasa hivi anawalaumu wazazi wake tu.

Wakristo hizo zama za wanaume kutoa mahari za mamilioni hazipo tena. Jifunzeni kwa waislamu, mnawakosesha binti zenu ndoa kwa sababu ambazo hazina msingi. Kwanza karne hii ukiona mtu "amepandwa na kichaa " cha kutaka kuoa unapaswa kumpa mke haraka kabla kichaa hakija toweka, ili kichaa kiondoke tayari akiwa na mke ndani ndiyo akumbuke 'kumbe mimi fala hivi'.

NB: Kwa sababu ya complications zake, familia nyingi za kikristo huwa zina experience ndoa chache sana ikilinganishwa na familia za kiislamu. Dini ya kiislamu imerahisisha sana suala la ndoa. Matokeo yake familia nyingi za kikristo huwa hazifahamu saikolojia siasa za waoaji.

Ni hivi muoaji anapo kuja kwenye familia yako, usifikiri hajaona mwanamke mwingine au hana option nyingine. Most of the time muoaji anapofikia hatua ya kuja kujitambulisha nyumbani kwenu tayari anakuwa na option zingine kama mbili, tatu au hata nne.

Nikija kwenye familia yako kuchumbia, halafu ukaniletea complications ngumu, mimi nitakacho kifanya nita kuachia binti yako nitaenda kwenye familia ambayo haitaniwekea complications ngumu.

Ninapokuja kwenye familia yako usinichukulie kwanza kama mtu ambae ninataka kumuoa binti yako, nichukulie kama mtu ambae nimekuja kutazama kama familia yako ina complications au la!
Unakosea kuingiza ukristo kwenye mahari. Kwenye ndoa za kikristo mahali huwa ni issue ya kimila, tena Mila za kabila la bibi harusi mtarajiwa. Wakimalizana ndo wanaenda kanisani kutangaza ndoa issue ya mahari haiwi topic tena na wala haiuliziwi kanisani.
 
Rafiki yangu(37) ni single father with 3 kids, ana mchumba wake mganda ambaye naye ni single mother(37 yrs) with one kid. Alikuwa rafiki yake wakati wakisoma chuo, wakaja kukutana tena miaka kadhaa baada ya ku graduate, jamaa anaishi Dar, mrembo anaishi Kampala wakaanzisha uhusiano.

Muda wa kwenda kutoa mahari ulikuwa mwezi uliopita. Nilikuwa mmoja katika ujumbe uliyoongozana na rafiki yangu na matchmaker(mshenga) wake. Wakati wa kunegotiate mahari wazazi wakaanza na 15 million Ugandan ambayo ni kama milioni 9 ya Tanzania(walitaja idadi ya ng'ombe then ikawa converted to cash).

Tukakomaa wakashusha mpaka milioni kumi ya Uganda. Tutakomaa tana wakashusha mpaka milioni tano ya Uganda. Mwisho kabisa wakakomea shilingi milioni nne na point kadhaa ya Uganda ambayo ni sawa na milioni tatu ya Tanzania.

Hapo wakasema haipungui hata mia. Tukaomba tupewe muda tukatafakari kisha tutatoa taarifa ni lini tutarejea tena ukweni kukamilisha hiyo mahari. Kumbuka hapo tumefikia hotelini. Basi tulipoenda kujadiliana tukamuuliza muoaji kama bajeti yake ina mruhusu kulipa milioni tatu cash akasema no way out hawezi kulipa mahari yote hiyo.

Akasema alitegemea wangesema milioni moja halafu yeye angetoa laki tano au saba huku akitoa ahadi ya kumalizia mahari iliyo baki(waganda hakunaga kubakiza mahari). Wakati hapa Tz kutokumalizia mahari ni heshima kubwa sana kwa wakwe, kwasababu kwanza, inaonyesha kwamba bibi harusi sio bidhaa unayo weza kuinunua dukani na kwamba wazazi wa bibi harusi wamekutunuku binti yao ukaanzishe nae familia. Lakini pili Inaonyesha kwamba wewe muoaji unampenda sana mkeo kiasi kwamba haupo tayari kusubiri mpaka upate mahari kamili.

Mshenga akamuuliza bwana harusi. Hauna alternative mahali kwingine, yaani hauna mchumba mwingine?
Jamaa akajibu nina mchumba mwingine yupo Tanzania ila yeye ni muislamu na kwao wanataka tufunge ndoa ya kiislamu(mshenga akajibu nilitaka kushangaa unakosaje alternative?!).

Kisha akamuuliza. Upo tayari kufunga ndoa ya kiislamu? Jamaa akajibu yupo tayari. Mshenga akajibu tunasubiri nini? Mshenga akaenda kutoa taarifa ukweni kwamba tunarudi Dar kujipanga na tutarejea tutakapo kuwa tayari.

Jamaa karudi Dar ndani ya hizo wiki mbili kavuta jiko na harusi ikafanyika kwa gharama ya kawaida sana, na mtoto mwenyewe mbichi kabisa ndiyo kwanza kamaliza form four(anaweza kuwa bado hajawa dis flowered).

Baada ya kuoa jamaa kamjulisha mchumba wake wa uganda kwamba hayupo tena interested na ndoa kwa sababu hizo gharama haziwezi na kwamba ameamua kuoa sehemu nyingine. Mwanamke wa kiganda kachanganyikiwa sasa hivi anawalaumu wazazi wake tu.

Wakristo hizo zama za wanaume kutoa mahari za mamilioni hazipo tena. Jifunzeni kwa waislamu, mnawakosesha binti zenu ndoa kwa sababu ambazo hazina msingi. Kwanza karne hii ukiona mtu "amepandwa na kichaa " cha kutaka kuoa unapaswa kumpa mke haraka kabla kichaa hakija toweka, ili kichaa kiondoke tayari akiwa na mke ndani ndiyo akumbuke 'kumbe mimi fala hivi'.

NB: Kwa sababu ya complications zake, familia nyingi za kikristo huwa zina experience ndoa chache sana ikilinganishwa na familia za kiislamu. Dini ya kiislamu imerahisisha sana suala la ndoa. Matokeo yake familia nyingi za kikristo huwa hazifahamu saikolojia siasa za waoaji.

Ni hivi muoaji anapo kuja kwenye familia yako, usifikiri hajaona mwanamke mwingine au hana option nyingine. Most of the time muoaji anapofikia hatua ya kuja kujitambulisha nyumbani kwenu tayari anakuwa na option zingine kama mbili, tatu au hata nne.

Nikija kwenye familia yako kuchumbia, halafu ukaniletea complications ngumu, mimi nitakacho kifanya nita kuachia binti yako nitaenda kwenye familia ambayo haitaniwekea complications ngumu.

Ninapokuja kwenye familia yako usinichukulie kwanza kama mtu ambae ninataka kumuoa binti yako, nichukulie kama mtu ambae nimekuja kutazama kama familia yako ina complications au la!
mkuu nikili kwamba ulicho ongea ni ukweli mtupu, mwaka 2017 nilitaka kuoa na nilikuwa na mahusiano na binti fulani hivi ambaye alitoka kijijini alipo fija mjini nikambrashi na mitoko,pamba hata pesa, maana nilikuwa na kijiajira, baada ya kwenda kuuliza mahari kwa tetesi tu bila ya mshenga nikaambiwa milioni 1.8.
Basi nikapotezea hapo binti kashanawili uno snura wana wakaanza mtamani mara wakapita naye me nikajiweka kando.
Mwaka jana nilitokea kumpenda mdada mwingine nikasema round hii siwekezi kwa binti basi kumudokezea muhusika swala la posa kuuliza wazazi walizi na sio wa kumzaa wakamwambia bila milion 2.3 asisubutu kusogea hapa tutamuaibisha, harafu demu fundi nguo tu, aisee ilinibidi ninyooshe mikono,
Ukweli wakristo batmdo tunashida ya tamaa inayotusumbua
 
Unakosea kuingiza ukristo kwenye mahari. Kwenye ndoa za kikristo mahali huwa ni issue ya kimila, tena Mila za kalila la bibi mtarajiwa. Wakimalizana ndo wanaenda kanisani kutangaza ndoa issue ya mahari haiwi topic tena na wala haiuliziwi kanisani.
Sio kweli mkuu, mimi ni mkrosto na unapozungumzia mahari kwa sehemu moja au nyingine lazima uongozi wa kanisa uhusike na uthibitishe
 
Hivi wakristo mahali wanapanga wazazi au anaeolewa ndo anataja mahari??
Hakuna mahari Kwa Wakristo, Bali makabila na mila zao, inatokea Sasa mkristo ndio anaolewa mahari inapangwa na familia Kwa mujibu wa mila na desturi zao, mkaja wa mama ni mama mwenyewe ndio anatakamka anataka how much vyote vinaorodheshwa kwenye barua ya majibu ya poss anapewa Mshenga mkajipange.

Unapokwenda kutowa mahari maana yake umekubaliana na yaliyoandikwa kwenye barua ya majibu.
 
Huwezi lipa mahari uwezo huna usioe nenda kawe padri wa katoliki

Lofa hatakiwi kuoa atasumbua watu na mke kwa ulofa wake

Kipimo cha kuonyesha mwanaume.yuko fit sio tu ule mkuki wake ulioko ndani katikati ya suruali yake ndani ni uwezo wa kulipa mahari
Huo uwezo ndo kias gan? Unahisi kiasi gani kinatosha na kwa kuzingatia kipimo kipi?
Uwezo wa kulipa maharj au kupangia mtu mahari unatakiwa uangaliwe kwa pande zote mbili, muozeshaji na muoaji. Kwa family zingine zilizostaarabika binti ndo huwa anawapa mwanga wazazi wake juu ya uwezo au hali ya mchumba wake pale wanapotaka kupanga mahari.
 
Suala la mahari sio la ukristo ni la kifamilia au kitamaduni, umesema binti alikuwa wa Uganda. Maana yake huo ni utaratibu wao, na Tanzania bado familia au kabila nyingi zinafanana katika suala la mahari.
Kuoa au kuolewa na mtu wa imani tofauti sio suala la kujivunia sana, linaweza kuwaletea shida kiasi kwamba wakachukia ndoa yao.
Vizuri kuwa wazi, ilikuwa haina haja kudanganya, angeweka wazi pale pale kuwa hawezi ili ampe uhuru binti wa kufanya maamuzi.
Kaka hapa nakazia aisee kuoana na mtu wa dini tofauti ni shida kidogo. Issue inakuja kwa wazazi na kwa wanandugu. Imetutokea kwa familia yetu baada ya kaka kuchumbia binti wa kiisilamu kutoka kigoma. Imekua issue sana mpaka wakaamua k7zaa tu waendelee kuishi.
 
Sawa, kaoa huyo wa mahari elfu 40 ila moyo wake uko Uganda.
Wanaume hatuna huu utaratibu, akili mbele hisia nyuma. Upendo unatengenezwa na hata huyu wa 40 nikampenda vile vile na ukiangalia uyo mwengine ni fimbo ya mbali ndo kabisaaaa
 
Kaka hapa nakazia aisee kuoana na mtu wa dini tofauti ni shida kidogo. Issue inakuja kwa wazazi na kwa wanandugu. Imetutokea kwa familia yetu baada ya kaka kuchumbia binti wa kiisilamu kutoka kigoma. Imekua issue sana mpaka wakaamua k7zaa tu waendelee kuishi.
Tanzania makabila mengi,hasa ya Pwani,wamechanganya dini.Unaweza ukaona ukoo mmoja,mjomba mkristo,mama muislamu,baba mkubwa mkristo,baba mdogo muislamu.Na watoto wa ukoo huo huo wamo waislamu na wapo wakristo.Wapo majirani niliishi nao hivyo,ni ndugu,hawa wanakwenda kanisani,wale wanakwenda msikitini.Na wapo wengi tu.
 
Thamani ya mwanamke haulimwi kwa idadi ya watoto aliozaa.Mtoto wa kike wa bakhresa hata awe na watoto Kumi.akitaka kuolewa huwezi skatolewa kwa bei ya kutupwa

Thamani yake inakuwa determined pia na familia anayotokea

Kusema akizaa eti kidume chochote kikitokea sawa tu nyooo.Hakuna kwanza kama unajiona kina thamani kubwa si kiende kikaoe wasichana wasio na watoto

Kuuza mtu kuna hadhi sio kila bwege anaozeshwa
Hapana bhana, hata Bakhresa asingependa binti yake azalie nyumbani kwa namna yoyote ile na hapa ndipo thamani ya mwanamke inapopimwa na hapa ndipo hiyo unayoita bei ya kutupa inapoingia
 
Kwamba jamaa yako kabadilishwa dini na mbususu tena ya form four aiseee na unakuja kujisifia hapa. Si angebadili tu tangu mwanzo kuliko kutaka kujibebesha mganda asiyemuweza.
Hapa mkuu tunaweza kusema hakuna ndoa kwa wale tunaojua! najaribu kutafuta lugha ya kusema ambayo haitagusa maumivu kwa muoaji siioni lakini kwa kifupi ajitafakari uamuzi aliofanya:-
  1. alitakiwa kumpa taarifa tena ingewezekana official kupitia mshenga kwa familia kuwa kwa mahali hiyo hatutakuwa tayari kuoa na familia itafakari upya. vinginevyo hakumpenda toka mwanzo.
  2. maamuzi ya kuoa mke mwingine na kwa muda uliotaja umetumia zaidi mission na si vision kwa lugha rahisi maamuzi yaliangalia hitaji la sasa na kufanya maamuzi. akili ilitumika zaidi kuliko busara.
  3. mwanaume hana maamuzi na msimamo anayumba mazingira ya ndoa kufa ni makubwa sana vinginevyo ajipange sukari na pressure siku zijazo
 
Hakuna mahari Kwa Wakristo, Bali makabila na mila zao, inatokea Sasa mkristo ndio anaolewa mahari inapangwa na familia Kwa mujibu wa mila na desturi zao, mkaja wa mama ni mama mwenyewe ndio anatakamka anataka how much vyote vinaorodheshwa kwenye barua ya majibu ya poss anapewa Mshenga mkajipange.

Unapokwenda kutowa mahari maana yake umekubaliana na yaliyoandikwa kwenye barua ya majibu.
Ooh sawa
 
Jiko la kiislamu ni cheap kuanzia mahari mpka harusi lakini unakuta harusi za kikristo ndiyo zinaongoza kwa kuchangishana michango ya harusi unakuta harusi inagharimu milioni 10+ afu wakitoka apo wanapanga chumba kimoja na sebule jumla kodi 100k kwa mwezi na zawadi zao za mabeseni na vijiko walivyopata siku ya harusi [emoji23][emoji23][emoji23]mimi nefa nefa kufanya hivyo japo home ni wakristo ndani nje
Juzi nilikuwa kwenye "wedding reception" ya wanandoa wa kiislam. Bajeti ilikuwa zaidi ya 50M na maharusi waliweka na mabango ya picha zao katikati ya mji. Harusi ndogo au kubwa ni utashi wa mtu binafsi na sio dini.
 
Back
Top Bottom