Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Wakristo mnatakiwa kutambua kuwa hamna nafasi ya kushinda propaganda za LGBTQ isipokuwa kwakufanya muungano na Waislamu katika kupigana vita na Hawa wapotovu, Bibilia Iko wazi kwenye suala la ushoga kwamba ni laana na dhambi kubwa lakini Kuna baadhi ya viongozi wenu wanajaribu kupindisha mambo kutoka kwenye ukweli wake.
Wanaisalimisha dini yenu kwenye mfumo wa kidunia kwa kufaanya nao maafikiano na kile wanachokiita haki za binadamu sijui uhuru, ushoga haiwezi kuwa haki za binadamu kwanza haki za binadamu ni sambamba na Kulinda jinsia yako Ili uwe na Haki ni muhimu kwanza kuheshimu jinsia yako
Uislamu ndio dini pekee ambayo kwa sasa ambayo imesimama katika njia yake Dini zingine zote zimejisalimisha kwenye mfumo wao kwa kufanya maafikiano.Lengo lao , kuwafanya Waislamu wanyenyekee.Lakini Alhamdulillah, tunaona fahari kwamba dini yetu haifanyi hivyo
The concept of Halal and Haram will never change. InshaAllah we'll never compromise with those Behayayi(Immodesty)
Waislamu tumeruhusiwa kufanya ushirika na wasio waislamu katika mambo kadhaa ikiwemo ya kijamii ,kielimu na kijeshi(ulinzi) isipokuwa ibada.
Tulinde heshima zetu za kiume,tuwafundishe watoto wetu kuwa wanaume kabla Dunia haijawafanya wanawake Hawa watu hawana nia njema na jamii yetu tuungane pamoja kupambana nao.
Islamophobia won't take you too far.
Wanaisalimisha dini yenu kwenye mfumo wa kidunia kwa kufaanya nao maafikiano na kile wanachokiita haki za binadamu sijui uhuru, ushoga haiwezi kuwa haki za binadamu kwanza haki za binadamu ni sambamba na Kulinda jinsia yako Ili uwe na Haki ni muhimu kwanza kuheshimu jinsia yako
Uislamu ndio dini pekee ambayo kwa sasa ambayo imesimama katika njia yake Dini zingine zote zimejisalimisha kwenye mfumo wao kwa kufanya maafikiano.Lengo lao , kuwafanya Waislamu wanyenyekee.Lakini Alhamdulillah, tunaona fahari kwamba dini yetu haifanyi hivyo
The concept of Halal and Haram will never change. InshaAllah we'll never compromise with those Behayayi(Immodesty)
Waislamu tumeruhusiwa kufanya ushirika na wasio waislamu katika mambo kadhaa ikiwemo ya kijamii ,kielimu na kijeshi(ulinzi) isipokuwa ibada.
Tulinde heshima zetu za kiume,tuwafundishe watoto wetu kuwa wanaume kabla Dunia haijawafanya wanawake Hawa watu hawana nia njema na jamii yetu tuungane pamoja kupambana nao.
Islamophobia won't take you too far.