Wakristo mnatakiwa kuungana na waislamu kwenye hii vita

Wakristo mnatakiwa kuungana na waislamu kwenye hii vita

Vipi Kuhusu Dar Es salaam wapo Kibao Kila sehemu Wapo
Hapo Hazungumzii Waislamu wa Zanzibar Anazungumza Uislamu Kukataza Ushoga Swala ambalo wote Tunalishudia,
Huku watu Wote Wanaosupport Ushoga Wakitoka Katika dini Ya Ukristo
Yule jamaa wa zanzibar(swala tano) kawaaibisha sana wafia dini,MUNGU na unafiki ni vitu viwili tofauti.
 
Kwenye ishu sensitive kama hizi we ni mweupe sana,makanisa yanafungisha ndoa za midume kwa midume tunaona kila leo ni biblia imewaruhusu?ushawahi ona huu upuuzi misikitini?yaan kabisa kiongozi wa dini ndani ya nyumba mnayoiita ya MUNGU anafungisha ndoa ya aina hii na nyinyi mnafurahi??
Kila nchi ina sheria na utaratibu wao waliojiwekea hili jambo umeliona wapi kwa Tanzania.

Wanaofanya hivyo ni huko Ulaya mimi na wewe hayatuhusu.
Wameamua wao wenyewe, tena kisheria, kwa hiyo unataka huku Tanzania tuandamane kwa mambo ya nchi nyingine hilo haliwezekani.

Hayo ni mambo yao, tumeshindwa kuzuia mambo ya msingi kama wizi, rushwa na ufisadi hatutaweza mambo ya ushoga.

Hayo mwachie Mungu na serikali japo na yenyewe imeshindwa mtaweza nyie raia.

La msingi jilinde wewe na familia yako mengine yaache kama yalivyo.

Usidhani kusema hivyo ndio umelibomoa
Kanisa huko ni kujidanganya tunajibomoa wenyewe mlengwa mkuu ni mimi na wewe Mwafrika.

Hizi dini Uislamu na Ukristo ni njia ya kupitishia mambo yao ili wawachanganye wenye akili kama zako.
 
Sisi tuko busy, vita ni nyingi sana,vita ya rushwa vita ya njaa,vita ya umaskini,nyie endeleeni na hiyo vita, hapo hakuna mnachofatuta zaidi ya kutaka kumwaga damu tu,sisi hatuezi bwana,kila mtu na maisha yake,makelele hatujazoea kabsaaaaaa
 
Numbers don't lie tukianza na kulinganisha mataifa ya kiislamu na kikristo yanayijihusisha na ushoga

Hakuna mataifa yanayongozwa na DINI ya kikristo.

Ila zipo nchi zenye wakristo wengi na DINI zingine zina uhuru wa kufuata Imani yao
 
Kwenye ishu sensitive kama hizi we ni mweupe sana,makanisa yanafungisha ndoa za midume kwa midume tunaona kila leo ni biblia imewaruhusu?ushawahi ona huu upuuzi misikitini?yaan kabisa kiongozi wa dini ndani ya nyumba mnayoiita ya MUNGU anafungisha ndoa ya aina hii na nyinyi mnafurahi??

Mbona zipo mpaka misiki ya mashoga mkuu.
 
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245:

"maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.

Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake.


Ukienda.
Zanzibar.
Tanga.
Mombasa.
Pemba.
LAMU.

HUKU KUNA WIMBI KUBWA LA USHOGA
 
Wakristo mnatakiwa kutambua kuwa hamna nafasi ya kushinda propaganda za LGBTQ isipokuwa kwakufanya muungano na Waislamu katika kupigana vita na Hawa wapotovu, Bibilia Iko wazi kwenye suala la ushoga kwamba ni laana na dhambi kubwa lakini Kuna baadhi ya viongozi wenu wanajaribu kupindisha mambo kutoka kwenye ukweli wake.

Wanaisalimisha dini yenu kwenye mfumo wa kidunia kwa kufaanya nao maafikiano na kile wanachokiita haki za binadamu sijui uhuru, ushoga haiwezi kuwa haki za binadamu kwanza haki za binadamu ni sambamba na Kulinda jinsia yako Ili uwe na Haki ni muhimu kwanza kuheshimu jinsia yako

Uislamu ndio dini pekee ambayo kwa sasa ambayo imesimama katika njia yake Dini zingine zote zimejisalimisha kwenye mfumo wao kwa kufanya maafikiano.Lengo lao , kuwafanya Waislamu wanyenyekee.Lakini Alhamdulillah, tunaona fahari kwamba dini yetu haifanyi hivyo
View attachment 2649308
The concept of Halal and Haram will never change. InshaAllah we'll never compromise with those Behayayi(Immodesty)

Waislamu tumeruhusiwa kufanya ushirika na wasio waislamu katika mambo kadhaa ikiwemo ya kijamii ,kielimu na kijeshi(ulinzi) isipokuwa ibada.

Tulinde heshima zetu za kiume,tuwafundishe watoto wetu kuwa wanaume kabla Dunia haijawafanya wanawake Hawa watu hawana nia njema na jamii yetu tuungane pamoja kupambana nao.

Islamophobia won't take you too far.
img_20230607_115035-jpg.2649310
Ni wachache sana tuliokuelewa. Lengo lako ni kufanya tu promotion. Sijaona kabisa logic ya kuuhudisha ukristo na huo ushoga wako.
 
Wakristo mnatakiwa kutambua kuwa hamna nafasi ya kushinda propaganda za LGBTQ isipokuwa kwakufanya muungano na Waislamu katika kupigana vita na Hawa wapotovu, Bibilia Iko wazi kwenye suala la ushoga kwamba ni laana na dhambi kubwa lakini Kuna baadhi ya viongozi wenu wanajaribu kupindisha mambo kutoka kwenye ukweli wake.

Wanaisalimisha dini yenu kwenye mfumo wa kidunia kwa kufaanya nao maafikiano na kile wanachokiita haki za binadamu sijui uhuru, ushoga haiwezi kuwa haki za binadamu kwanza haki za binadamu ni sambamba na Kulinda jinsia yako Ili uwe na Haki ni muhimu kwanza kuheshimu jinsia yako

Uislamu ndio dini pekee ambayo kwa sasa ambayo imesimama katika njia yake Dini zingine zote zimejisalimisha kwenye mfumo wao kwa kufanya maafikiano.Lengo lao , kuwafanya Waislamu wanyenyekee.Lakini Alhamdulillah, tunaona fahari kwamba dini yetu haifanyi hivyo
View attachment 2649308
The concept of Halal and Haram will never change. InshaAllah we'll never compromise with those Behayayi(Immodesty)

Waislamu tumeruhusiwa kufanya ushirika na wasio waislamu katika mambo kadhaa ikiwemo ya kijamii ,kielimu na kijeshi(ulinzi) isipokuwa ibada.

Tulinde heshima zetu za kiume,tuwafundishe watoto wetu kuwa wanaume kabla Dunia haijawafanya wanawake Hawa watu hawana nia njema na jamii yetu tuungane pamoja kupambana nao.

Islamophobia won't take you too far.
img_20230607_115035-jpg.2649310
Uislamu ndio wachafu zaidi kati waovu wa duniani.
 
Wakristo mnatakiwa kutambua kuwa hamna nafasi ya kushinda propaganda za LGBTQ isipokuwa kwakufanya muungano na Waislamu katika kupigana vita na Hawa wapotovu, Bibilia Iko wazi kwenye suala la ushoga kwamba ni laana na dhambi kubwa lakini Kuna baadhi ya viongozi wenu wanajaribu kupindisha mambo kutoka kwenye ukweli wake.

Wanaisalimisha dini yenu kwenye mfumo wa kidunia kwa kufaanya nao maafikiano na kile wanachokiita haki za binadamu sijui uhuru, ushoga haiwezi kuwa haki za binadamu kwanza haki za binadamu ni sambamba na Kulinda jinsia yako Ili uwe na Haki ni muhimu kwanza kuheshimu jinsia yako

Uislamu ndio dini pekee ambayo kwa sasa ambayo imesimama katika njia yake Dini zingine zote zimejisalimisha kwenye mfumo wao kwa kufanya maafikiano.Lengo lao , kuwafanya Waislamu wanyenyekee.Lakini Alhamdulillah, tunaona fahari kwamba dini yetu haifanyi hivyo
View attachment 2649308
The concept of Halal and Haram will never change. InshaAllah we'll never compromise with those Behayayi(Immodesty)

Waislamu tumeruhusiwa kufanya ushirika na wasio waislamu katika mambo kadhaa ikiwemo ya kijamii ,kielimu na kijeshi(ulinzi) isipokuwa ibada.

Tulinde heshima zetu za kiume,tuwafundishe watoto wetu kuwa wanaume kabla Dunia haijawafanya wanawake Hawa watu hawana nia njema na jamii yetu tuungane pamoja kupambana nao.

Islamophobia won't take you too far.
img_20230607_115035-jpg.2649310

Mdogo wangu usidanganywe na hizi picha na vibonzo vinavyotupiwa na walevi wa dini ya kiislamu.
Wanaohisi kuna jinamizi ndani ya chumba kisha wanajificha kwa kujifunika shuka.

Ushoga uko kwenye jamii zetu humu,tofauti yako wewe na mkristo,wewe ukigundua Ally analiwa unasema huyu sio muislam[emoji28][emoji28],unakataa tatizo,wakati sisi tunalipokea na kuangalia namna ya kuliondoa.

Ndio sababu ukiangalia rate ya ushoga visiwani na mwambao ni kubwa sana,hata mashoga kwa majina walioko huku bara ni waislam,sisi hatushutumu uislam bali tunaisikitikia jamii,na kuangalia namna ya kupambana na tatizo.
 
Back
Top Bottom