sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Navyoona ukristo haukuwahi kudhania kama dunia itakuja kufikia zama za sasa, leo hii inawezekana kabisa mwanaume alie marekani kusafirishia mbegu za kutunga mimba kwa mwanmke alie Tanzania.
Pengine Mungu alikataza watoto wa nje kurithi mali huko dini nyingine kwa kujua tutafikia zama hizi za teknolojia za kutunga mimba kisasa.
Mtu una pesa zako na familia yako, anatokea tapeli huko kunyonya mbegu zako kwa teknolojia za kisasa, mimba inatungwa ghafla unapewa taarifa una mtoto,,, hii sio sawa kabisa, watoto wako halali wanakosa mgao wao stahiki wa mali zako, mke wako hamtaelewana atadhani ulichepuka
Pia tapeli akiona kuna mtoto tayari mwenye haki za kurithi mali zako anaweza kutuma majambazi wakuue ili mali zipigwe pasu fasta, na hata huyo mtoto anaweza kuuawa ili tapeli achukue mgao wote.
Kuna huyu tapeli alijidunga mimba kwa kutumia kondom iliyotumika na bilionea, kila mwezi bilionea anampa mkwanja kumtunza mtoto na mtoto atakuja kurithi mabilioni
www.vanguardngr.com
Pengine Mungu alikataza watoto wa nje kurithi mali huko dini nyingine kwa kujua tutafikia zama hizi za teknolojia za kutunga mimba kisasa.
Mtu una pesa zako na familia yako, anatokea tapeli huko kunyonya mbegu zako kwa teknolojia za kisasa, mimba inatungwa ghafla unapewa taarifa una mtoto,,, hii sio sawa kabisa, watoto wako halali wanakosa mgao wao stahiki wa mali zako, mke wako hamtaelewana atadhani ulichepuka
Pia tapeli akiona kuna mtoto tayari mwenye haki za kurithi mali zako anaweza kutuma majambazi wakuue ili mali zipigwe pasu fasta, na hata huyo mtoto anaweza kuuawa ili tapeli achukue mgao wote.
Kuna huyu tapeli alijidunga mimba kwa kutumia kondom iliyotumika na bilionea, kila mwezi bilionea anampa mkwanja kumtunza mtoto na mtoto atakuja kurithi mabilioni
Woman who impregnated self with stolen semen from billionaire wins child support battle
A 40-year-old Las Vegas hotel cleaner won a child support battle against a 28-year-old millionaire who she never slept with.