Wakristo tuisusie Azam TV, wanatutenga Krismasi

Wakristo tuisusie Azam TV, wanatutenga Krismasi

Sikujibu ila jua ww ni mpumbavu tena wa hali ya juu. Hata sihangaiki kukujibu ila fikiria tena kwa makini uzi wako huu.
 
wewe ni Jew??Haya umeyajulia wapi?Ulishawahi hata kufika Israel?(PS:Mimi tayari)
Huhitaji kufika Israel kujua Imani za Wayahudi
Soma Jerusalem Watch ,Algameiner, United With Israel nk mtandaoni kuwajua Mayahudi.
Kwa taarifa yako miezi miwili kituo kimoja cha Tv based in Jerusalem kimefungiwa kwa kuhubiri habari za Yesu
Soma sana upate maarifa,ujuzi na ufahamu wa mambo mbali mbali.
 
Huhitaji kufika Israel kujua Imani za Wayahudi
Soma Jerusalem Watch ,Algameiner, United With Israel nk mtandaoni kuwajua Mayahudi.
Kwa taarifa yako miezi miwili kituo kimoja cha Tv based in Jerusalem kimefungiwa kwa kuhubiri habari za Yesu
Soma sana upate maarifa,ujuzi na ufahamu wa mambo mbali mbali.
Kwahyo nawewe unasema jews hawamjui Yesu na wanasema hakuzaliwa wala kuishi au kufa Israel?
 
Si umeona kwa miaka 4 maji, mindege, $hule bure, barabara, ufisadi kwisha.je angetawala mika 30 si nikila mtu angepewa bodaboda yake.
 
Kitu kama hukihitaji ni bora ukasepa kimya kimya tu nafkiri ndo njia nzuri kuliko kuleta propaganda za ajabu mana ukizungumzia hilo kuna mengine nayo yatagusiwa kwahiyo itakuwa ni mvurugano tu na upuuzi wa kiwango cha juu
 
Kwaiyo bwashee mimi kukataa kuachana na king'amuzi cha Azam ndo iwe sababu ya mimi kuikana imani yangu?

Ao wanaotuma misaada uku kwetu ndo wenye dini zao,kwao awana time na dini.
Nchi za E.U ndo zinaongoza kuwapa uraia watu wanaotoka kwenye nchi za kiislam.
LOL! uraia ama asylum?
Huna taarifa sahihi
 
Hizo Dini za kigeni zime wapumbaza akili kama ningekua na uwezo basi hizi dini mbili ukiristo na uislamu ningezifutilia mbali, watu turudi kwenye dini zetu za asili
Dini ya asili Ni ipi? Kuabudu Ng'o mbe, jua, makaburini, mizimu, Miti au mwezi?
 
Kwani Channel ni Azam tu. Agalia zinazoonyesha mambo ya Xmas
Na ni nyingi zaidi pamoja na hizi zinazoitwa za kitaifa kwa jasho la watanzania wote..Azam ni moja tu na bado imekukaa moyoni.
Kama hujui hata sisi waislamu hatumuamini Bakhresa kama ni muislamu mwenzetu kwani anaweka mambo ya kikristo mengi kuliko ya kiislamu. Mpira na michezo ya kituruki inatupotezea muda wetu bure kufanya ibada.
 
Na ni nyingi zaidi pamoja na hizi zinazoitwa za kitaifa kwa jasho la watanzania wote..Azam ni moja tu na bado imekukaa moyoni.
Kama hujui hata sisi waislamu hatumuamini Bakhresa kama ni muislamu mwenzetu kwani anaweka mambo ya kikristo mengi kuliko ya kiislamu. Mpira na michezo ya kituruki inatupotezea muda wetu bure kufanya ibada.
Kauli yako kuhusu Bakhresa imenisikitisha sana. Mbaya zaidi umetuhusisha Waislam wote kuwa tuna msimamo huo juu ya Bakhresa.
 
Daudi this has nothing to do with his/her age. It has everything to do with his/her hatred against Islam
inshu hapo siyo uislam wala hajasema anauchukia ....yeye anataka bakhresa aiweke kitu cha kuashiria krismass.....however channel zipo nyingi anaweza kuweka kitu kingine pia taasisi hinaweza kujipambambanua kufanya mambo fulani hatjui usajili wake
 
Na ni nyingi zaidi pamoja na hizi zinazoitwa za kitaifa kwa jasho la watanzania wote..Azam ni moja tu na bado imekukaa moyoni.
Kama hujui hata sisi waislamu hatumuamini Bakhresa kama ni muislamu mwenzetu kwani anaweka mambo ya kikristo mengi kuliko ya kiislamu. Mpira na michezo ya kituruki inatupotezea muda wetu bure kufanya ibada.
Ami hapo mtapoteana bakheresa anafanya biashara anaweza kuwa na imani yake binafsi lakini kibiashara anafanya vile anavyoona anapata faida mbona wapo watu wa kila imani wana magesti....mi nafkiri msilamumu saaaana tuendelee kunywa azam energy ambazo mi nafkri hata yeye bakhresa hanywi ahahaaaaaaaaaaa
 
People tukiendeleza hiii mijadala ndo huwa baadaye inazidi kupelekea chuki zaidi.....kongole kwa waliotoa karipia kali kwa mtoa mada....Tanzania huwa tunvumiliaa kwa mambo mengi.....ktk magari tunyopanda unakuta unatoka Dar mpaka mwanza ni kwaya za kikristu tuuuu unafkir wengine wanapenda NO.....Ukienda zanzibar boti ni mafundisho ya Sheikh Kipooozeo tuuu hahahahahahahah wengine pia hawapendi tuvumiliane tuuuuu ndiyo maishaaaaaaaaaaaaa
 
Acha udini boss,Kama wameamua hivyo,sie halituhusu,unaposema tuisusie,vipi kuhusu waajiriwa ambao ni wakristo,waache kazi?
Sio busara,tusipende kila kitu kukihusisha na dini.

Ukipanda boti yeyote inayoenda Zenj,vipindi vyote vinavyooneshwa kwenye Tv ndani ya boti,vina maudhui ya islam,lakini haimaniishi kwamba wanawasharau wakristo,inawezekana sababu ni kwamba asilimia kubwa ya wasafiri ni Islam,
Ukipanda Basi lolote linalotoka Mwanza kwenda Moshi,au Dar kwenda Arusha,nyimbo nyingi zinazopigwa ni za kikristo,lakini haimaniishi abiria wote ni wakristo,
na mim nilitaka kusema kwa mabasi ya kwenda huko.kaskazin.ni kwaya mwanzo mwisho.lakin kama unaona hupendi unalaza siti unalala zako au unachkua gazeti unasoma.
 
Back
Top Bottom