Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Weka picha kuchoma moto king'amuzi chao kama sio wivu na roho ya "kaa" kwa mafanikio yao ⁉️ Mbadala wako ni kipi❓Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Hongera wadini sana mi hata sijawah kinunua.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Upo sahihi lakini tabia ya kulialia mambo madogo hivyo sio ya kwetu wakristu. Kuna mambo ya maana zaidi ya hayo..hatupo weak kihivyo.Kuhusu kususia inaweza isiwe sawa sana ika Azam wana udini sana, hiko liko wazi. Ukiqmua kufanya biashara fanya kwa jamii yote. Sikukuu zao huweka hadhi tamthilia zenye maudhui yao ilihali watanzamaji ni wa dini zote, na tena huweka kwenye chaneli isiyo ya dini, wanaweka kwenye Sinema zetu. Acheni kum attack mtoa uzi as if kaongea ujinga
Kuna baadhi ya mabasi ya mikoani safari nzima wanaweka nyimbo za injili ya kikristu na mengine nyimbo na mawaidha ya kiislamu na wao tuwazungumzie vipi.Uko sahihi, wanamu attack mtoa uzi as if kaongea uongo. Azamtv ikifika wakati wa sherehe za dini za Kiisalam wanatuwekea hadi tamthilia zenye maudhui yao kwenye Channel za kuangaliwa na watu wote (Sinema zetu). Kama wameamua kuweka maudhui yao waweke kwenye chaneli za dini na sio chaneli za jumla, kama wameamua kuonesha kuwa hii ni sikukuu hii iwe neutral.
EATV JE mbona hawaweki mambo ya waislamu na star tv mbona hamlalamikiKuhusu kususia inaweza isiwe sawa sana ika Azam wana udini sana, hiko liko wazi. Ukiqmua kufanya biashara fanya kwa jamii yote. Sikukuu zao huweka hadhi tamthilia zenye maudhui yao ilihali watanzamaji ni wa dini zote, na tena huweka kwenye chaneli isiyo ya dini, wanaweka kwenye Sinema zetu. Acheni kum attack mtoa uzi as if kaongea ujinga
Huijui ile familia vizuri kwenye mambo ya imani.Mimi sina shida na imani ya mzee Backhresa,minachotaka ni huduma bora.
Pole sana hii inaitwa ignorance!Waliotuletea izi dini wala awana muda mchafu wa kupoteza kwenye mambo ya dini,ila sisi waswahili viherehere ndo tunashupaa mishipa ya shingo.
Interest zake kwenye mambo ya kiimani?mzee bakharesa
Wacha ujinga usio na akili, nani alikuambia utizame Azam TV? Msipende kujipa ujinga kwa kujiaminisha upuuzi vichwani mwenu, nani aliyekuambia Yesu alizaliwa mwezi huu, soma upate kujuwa ukweli. Hizi dini ni usanii tu.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Kwaiyo bwashee mimi kukataa kuachana na king'amuzi cha Azam ndo iwe sababu ya mimi kuikana imani yangu?Huijui ile familia vizuri kwenye mambo ya imani.
Pole sana hii inaitwa ignorance!
Yani kisa umeikana imani yako basi unajiona umekuwa mkamilifu na hakuna lolote linalokuweza.
Walioleta hizi dini muda wanao tena mkubwa sana kuliko unavyofikiri tatizo ni hujishughulishi kujua.
Kanisa la Anglikana linapokea fedha nyingi tu kutoka kwa taasisi mbalimbali za kiingereza kwa kuwa England ndio muasisi wa hilo Kanisa na wanatoa hadi pesa kwa ajili ya vyuo vya kanisa.
AIC pia kutoka Finland.
Lutheran kutoka Ujerumani hawa hutoa pesa kwa ajili ya taasisi mbalimbali za Kanisa na vyuo vyake.
Catholic hapa ndio mwisho wa reli Kanisa linaendeshwa na Vatican kwa 100% na fedha za ujenzi wa mahekalu hutoka kwao plus mataasisi mengine makubwa makubwa ya kanisa.
Kwa upande wa uislamu ndio kabisa wanajenga waarabu kila siku miskiti huku alafu useme hawana muda.
Jaribu kumrudia Mungu wako huko kuikana imani yako iko siku utaukumbuka huu muda
Mawazo finyu haya mkuu. Sio lazima wao kufanya hivyo, ni matakwa binafsi. Kama hupendezwi nao hama tu kimya kimya hakuna haja ya kushawishi wengine kuleta udini kwenye mambo yasiyo na msingi.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Hivi king'amuzi cha Azam chanel za kikristu na za kiislam zipi nyingi? Tuanzie hapo kwanzamimi binafsi yangu nimemuelewa lakini habari za azam zipo daily na ukweli tu ni kuwa Bakhresa ni mfanyabiashara lakini anaendesha biashara zake kwa msingi wa imani yake.
Kitu ambacho si kibaya lakini kama mfanyabiashara ambaye unahudumia soko lenye balance kubwa ya kidini pasipo kuisimamisha Tv yake kama ya kidini. Alitakiwa kubalance kama wengine wanavyofanya