Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jerusalem islael
Ni memba humu ila sijamtag wataniban...Hii ID yangu ya nne, tatu zote wameban nimebakiza hii tu.Who is cocastic..?
Binafsi Mimi sio mpenzi wa TV ,
Ila kama wahusika wa hiyo Azam TV wanashindwa kuwapatia wateja wao wanachohitaji
Hayo ni makosa, wajirekebishe.
Kuweka mambo ya Christmas kwenye TV ambayo mmiliki ni wa imani nyingine haimfanyi mmiliki kuwa wa imani hiyo.
Awape tu wateja wake wanachohitaji. Mteja ni mfalme.
Kwani mi ni mweusi. Au we kila unayemuona ni mweusi. Adjust macho yako plzHawataki watu weusi watakufukuza wewe unaota
Kwanini nimtafute yeye, Wewe je?Ni memba humu ila sijamtag wataniban...Hii ID yangu ya nne, tatu zote wameban nimebakiza hii tu.
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba duniaWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa lini?We huna uhakika kama alizaliwa majira haya ila wao wanauhakika hakuzaliwa majira haya ndio maana hawahangaiki na hayo yanayokuhangaisha zaidi ya hapo njoo na andiko kama ushahidi unaosimamia hayo.
Azam tuwekee mpira tuburudike, achana na hadithi za walimwengu
Hizo Dini za kigeni zime wapumbaza akili kama ningekua na uwezo basi hizi dini mbili ukiristo na uislamu ningezifutilia mbali, watu turudi kwenye dini zetu za asiliWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Ww ndio ulitakiwa kususwa. Kama umechoma moto king'amuzi cha Azam. Haytuhusu ujatushirikisha wakati wa manunuzi. Ni sawa umechoma moto pexa zako..Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
kuuliza imekuwa Shobo?Hivi nyie mashoga mna matatizo gani?Sasa kwanini unashobokea dundo mzee...
Analyst kama AnalystUnaangaika na Azama..Nini
Ntumie elfu kumi nikutumie Zawadi ya Xmass...Kadi, biscuits, cake na Chocolate.
Ukafurahie na Mama wototo..
Zitakuwa packaged to your satisfaction.
Shule mlienda lini nyie?Na waislam baraza la mawazili wapo wawili tu vp vp tusambaze chuki na sisi
Unamjua owner wa hiyo media na interests zake?Tena umenikumbusha,niende sasa hivi nikalipie kifurushi cha Azam cha elfu 28 ili nikahakikishe ni kweli usemayo.
Izi dini zilizoletwa kwenye majahazi zisituletee taabu mpaka kujazana chuki.
Show us that hate in our Bible and I'll show you your religion hate to Christianity from Koran!Daudi this has nothing to do with his/her age. It has everything to do with his/her hatred against Islam
Umeanza kuzeeka dogoMeko si mkristo?
Mwambieni aanzishe tv yake
Acha ujinga wakidini wewe. Ulitumwa kukinunuaWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.