Wakristo tujirekebishe katika hizi nyimbo za maombolezo

Wakristo tujirekebishe katika hizi nyimbo za maombolezo

Una matatizo kwenye kufikiri.Usiuchukulie wimbo kwa namna unavyowaza.Kila neno linalowekwa huwa lina maana zaidi ya unavyoliona na kulitafsiri.Jifunze kuhusu fasihi kwa ufasaha.Kama unataka kwenda makanisa ya walokole weye nenda.Usitafute vijisababu.
Fasihi, theolojia etc.
Huyu akiambiwa Mwinyi amekula chumvi nyingi, basi ataanza kukaridia magunia ya chumvi yaliyoliwa na Mwinyi
 
Au anapoambiwa mkristo kuna mauti baada ya kuishi utasikia "pepo la mauti lishindwe,lishindwe ktk jina la yesu sasa najiuliza hivi hajui kama kufa ni lazima wakati ukifika,baba yetu adamu kafa itakuwa sie,Yesu ndie hakuinja kikombe hicho nae anasubiri arudi ili akionje,wakati mwingine naonelea kuwaacha tu wafu wazikane.
Pepo wa mauti anayefukuzwa hapo no yule anayekatika maisha inje ya kusudi la Mungu, huyo pepo anatumwa na wachawi, waganga wanaosababisha ajali ili wapate damu, pepo anatumwa kuua kwa kuleta magonjwa huyo lazima akemewe, lakini kifo kilicho katika mpango wa Mungu ni haki yetu maana ndio njia yetu na mwisho was maisha ya hapa duniani
 
Hainiingii akilini kwa nini wakristo wanaoamini kwamba Yesu ameshinda mauti lakini ikitokea mmoja wetu amefikia mwisho wa uhai wake tunakisujudia kifo badala ya kutangaza ushindi juu ya kifo. Nimekulia kwenye kanisa Katoliki na hizi nyimbo za maombolezo zinanitia kisirani kabisa. Fikiri wimbo wenye maneno kama haya za kuudhalilisha ushindi wetu dhidi ya kifo:

- SHUKA LANGU NA BLANKETI LANGU NI UDONGO MZITO, WANIELEMEA
Kweli kabisa? seriously? Maiti anaelemewa na udongo uliomfukia? Akili ya wapi hii ya kuongeza huzuni isiyokuwa na ukweli?

Kwa nini wakristo hatuimbi nyimbo za ushindi juu ya kifo kama tunavyoahidiwa katika imani yetu? Nawasihi sana hasa kanisa katoliki jirekebisheni kwenye hili. Nyimbo hizo zinaongeza huzuni badala ya kuleta faraja kwenye msiba.
Pengine hujafiwa ndio maana
 
Asante kwa msaada. Sikutaka kuhangaikia takwa lake maana sidhani humu kuna mtu ambaye hajahudhuria mazishi ya mkatoliki na huo wimbo huwa haukosekani.
  1. Nilitoka uchi tumboni mwa mamangu
    Narudia uchi, kati-ka tumbo la nchi
    (Sanda) sanda moja hilo ni vazi langu,
    Wameninyang'anya hata senti moja.

Huo wimbo wa udongo mbona umeambiwa uuweke haujauweka, ili tusikie na maneno mengine tuone kweli kwenye huo wimbo hakuna maneno ya kufariji? Lakini ukumbuke pia msiba haupo kwa ajili ya aliyekufa Bali wanaobaki tukikumbushana kutengeneza maisha yetu, msiba unapotokea mwanadamu ndio huwa anakumbuka kuwa kumbe na yeye anafuata njia hiyo hiyo
Wimbo umeshawekwa mara mbili angalia vizuri. Kwa hiyo siku zote huna unalojua au kujifunza kuhusu mwisho wako mpaka uone mwenzako kafa?? Then hujitambui wewe!! That is absolutely no excuse kulingana na hoja yako. Mbona Yesu amesema KESHENI?? Unaelewa maana yake?? Au unadhani ni yale maombi ya makelele ya usiku kucha ambayo Mungu hayataki kabisa?? KESHENI (ALWAYS BE ON YOUR WATCH!)
 
Au anapoambiwa mkristo kuna mauti baada ya kuishi utasikia "pepo la mauti lishindwe,lishindwe ktk jina la yesu sasa najiuliza hivi hajui kama kufa ni lazima wakati ukifika,baba yetu adamu kafa itakuwa sie,Yesu ndie hakuinja kikombe hicho nae anasubiri arudi ili akionje,wakati mwingine naonelea kuwaacha tu wafu wazikane.
Sijakuelewa vizuri hapo uliposema Yesu hakuonja mauti anasubiri aje ili aionje. Fafanua tafadhali
 
Hainiingii akilini kwa nini wakristo wanaoamini kwamba Yesu ameshinda mauti lakini ikitokea mmoja wetu amefikia mwisho wa uhai wake tunakisujudia kifo badala ya kutangaza ushindi juu ya kifo. Nimekulia kwenye kanisa Katoliki na hizi nyimbo za maombolezo zinanitia kisirani kabisa. Fikiri wimbo wenye maneno kama haya za kuudhalilisha ushindi wetu dhidi ya kifo:

- SHUKA LANGU NA BLANKETI LANGU NI UDONGO MZITO, WANIELEMEA
Kweli kabisa? seriously? Maiti anaelemewa na udongo uliomfukia? Akili ya wapi hii ya kuongeza huzuni isiyokuwa na ukweli?

Kwa nini wakristo hatuimbi nyimbo za ushindi juu ya kifo kama tunavyoahidiwa katika imani yetu? Nawasihi sana hasa kanisa katoliki jirekebisheni kwenye hili. Nyimbo hizo zinaongeza huzuni badala ya kuleta faraja kwenye msiba.
Hizo nyimbo ni za kukuonya wewe ulie hai na wala haimbiwi maiti.

Zitakutaka wewe ulie hai utafakari kuhusu mwisho wako na ujirekebishe
 
Pengine hujafiwa ndio maana
Nimefiwa na mama mzazi lakini waliokuja hawakuja kunifariji zaidi ya kuniongezea machungu: NIAGIENI WATOTO WANGU MIMI NAKWENDA KWA BABA YANGU SITORUDI TENA MILELE NIAGIENI, NIAGIENI!!! What a terrible song!
 
  1. Nilitoka uchi tumboni mwa mamangu
    Narudia uchi, kati-ka tumbo la nchi
    (Sanda) sanda moja hilo ni vazi langu,
    Wameninyang'anya hata senti moja.


Wimbo umeshawekwa mara mbili angalia vizuri. Kwa hiyo siku zote huna unalojua au kujifunza kuhusu mwisho wako mpaka uone mwenzako kafa?? Then hujitambui wewe!! That is absolutely no excuse kulingana na hoja yako. Mbona Yesu amesema KESHENI?? Unaelewa maana yake?? Au unadhani ni yale maombi ya makelele ya usiku kucha ambayo Mungu hayataki kabisa?? KESHENI (ALWAYS BE ON YOUR WATCH!)
Yesu alisema kesheni, wewe unakesha?? Hautendi dhambi?? Hofu ya kifo haiwezi kuacha kuwepo, so kutiana moyo lazima kuwepo na kuelekezena yatupayo kutenda kupitia hiyo misiba,
 
Hizo nyimbo ni za kukuonya wewe ulie hai na wala haimbiwi maiti.

Zitakutaka wewe ulie hai utafakari kuhusu mwisho wako na ujirekebishe
Ni vema ulivyosema but is this the message that is conveyed to the general audience?? Siyo kila mtu anaweza kufasiri kama wewe unavyofanya. Ni yalele ya kanisa katoliki kuruhus matumizi ya sanamu na kumbe waumini sasa wanazitumikia( wanaziabudu). Mambo yenye kukwaza ni vema yakaondolewa. Uelewa wetu unatofautiana sana. Wewe unauchukulia wimbo kama mafundisho kwa walio hai lakini mwingine anauchukulia LITERALLY ( kama ilivyo).
 
Yesu alisema kesheni, wewe unakesha?? Hautendi dhambi?? Hofu ya kifo haiwezi kuacha kuwepo, so kutiana moyo lazima kuwepo na kuelekezena yatupayo kutenda kupitia hiyo misiba,
Nimeuliza tena swali hili nadhani lingejibiwa vema maswali kama yako hayangeibuka. Tunaokolewa kwa neema au matendo?????
 
Yesu alisema kesheni, wewe unakesha?? Hautendi dhambi?? Hofu ya kifo haiwezi kuacha kuwepo, so kutiana moyo lazima kuwepo na kuelekezena yatupayo kutenda kupitia hiyo misiba,
Yesu amesema yeye amekishinda kifo. Wewe bado una hofu na kifo?? Unamwamini nani wewe??! Chagua moja, kuwa moto au baridi. Vinginevyo amesema ATAKUTAPIKA.
 
Ni vema ulivyosema but is this the message that is conveyed to the general audience?? Siyo kila mtu anaweza kufasiri kama wewe unavyofanya. Ni yalele ya kanisa katoliki kuruhus matumizi ya sanamu na kumbe waumini sasa wanazitumikia( wanaziabudu). Mambo yenye kukwaza ni vema yakaondolewa. Uelewa wetu unatofautiana sana. Wewe unauchukulia wimbo kama mafundisho kwa walio hai lakini mwingine anauchukulia LITERALLY ( kama ilivyo).
kwa hiyo theology uliyosoma inakwambia maiti anasikia?

Naona unahamisha magoli sasa unaleta habari za sanamu. Anzisha uzi nitakujibu kuhusu sanamu.

Na usipende kuwasemea wengine. Kwa nini ufikiri kuwa wengine wanaelewa hiyo nyimbo kama ulivyoelewa wewe na siyo nilivyoelewa mimi? Wewe ni nani uwasemee?
 
Yesu amesema yeye amekishinda kifo. Wewe bado una hofu na kifo?? Unamwamini nani wewe??! Chagua moja, kuwa moto au baridi. Vinginevyo amesema ATAKUTAPIKA.
Hahahaha haujawah fiwa inavyoonyesha, ukifiwa utakuja kufuta hapa, Yesu alisema amekishinda kifo sio kwamba hautakufa, ila kifo cha milele hakitakuwepo hicho ndicho alichokishinda ndio maana Kuna ufufuo, ila kufa lazima ufe, Ile tu unawaza kuwa kufa lazima ufe unawaza kaburi na udongo, unawaza mali ulizochuma, unawaza familia unayoiacha lazima hofu iwepo uwe umeokoka kumpita hata Yesu,
 
Maudhui? Ukipiga sauti inayoashiria kelele masikioni kwa mtu unataka mtu asikie kama muziki mororo?? What are you talking about? Wote wanaokwenda msibani wanajua fasihi?? Wanaweza kujua maudhui ya nyimbo? Ndio hili nalichukia kusomea upadri kanisa katoliki unasoma kwanza Falsafa ((Philosophy) kabla ya Teolojia (Theology) na mwisho wa yote ndiyo kuja kuleta hoja za hovyo kama hiyo yako.
Una hasira sana.Kunywa maji ya baridi moyo utulie.😂😂😂😂
 
Hainiingii akilini kwa nini wakristo wanaoamini kwamba Yesu ameshinda mauti lakini ikitokea mmoja wetu amefikia mwisho wa uhai wake tunakisujudia kifo badala ya kutangaza ushindi juu ya kifo. Nimekulia kwenye kanisa Katoliki na hizi nyimbo za maombolezo zinanitia kisirani kabisa. Fikiri wimbo wenye maneno kama haya za kuudhalilisha ushindi wetu dhidi ya kifo:

- SHUKA LANGU NA BLANKETI LANGU NI UDONGO MZITO, WANIELEMEA
Kweli kabisa? seriously? Maiti anaelemewa na udongo uliomfukia? Akili ya wapi hii ya kuongeza huzuni isiyokuwa na ukweli?

Kwa nini wakristo hatuimbi nyimbo za ushindi juu ya kifo kama tunavyoahidiwa katika imani yetu? Nawasihi sana hasa kanisa katoliki jirekebisheni kwenye hili. Nyimbo hizo zinaongeza huzuni badala ya kuleta faraja kwenye msiba.
Kanisa Katoliki na makanisa mengine yote yaliyotokana na kanisa katoliki hayafundishi UKRISTO bali yanafundisha UPAGANI MPYA.
 
Ni vema ulivyosema but is this the message that is conveyed to the general audience?? Siyo kila mtu anaweza kufasiri kama wewe unavyofanya. Ni yalele ya kanisa katoliki kuruhus matumizi ya sanamu na kumbe waumini sasa wanazitumikia( wanaziabudu). Mambo yenye kukwaza ni vema yakaondolewa. Uelewa wetu unatofautiana sana. Wewe unauchukulia wimbo kama mafundisho kwa walio hai lakini mwingine anauchukulia LITERALLY ( kama ilivyo).
Uliambiwa na nani kwamba wakatoliki wanaabudu sanamu?
 
Back
Top Bottom