road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Mengi tuuu hayapo sawaNaomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada. Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu? Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Rekebisha mkuu, hakuna Askofu mkuu mwandamiziJimbo katoliki la Dsm lipo chini ya Askofu mkuu mwandamizi Baba askofu Ruwaichi Yuda Thadei
Mkuu Kwanza nikufahamishe kwamba Pengo sio Askofu wa DSM kwa Sasa,Askofu wa DSM ni Ruwaichi na kwa sasa hana msaidizi kwasababu msaidizi wake ameteuliwa kuwa Askofu wa mpanda.Waongoza Misa leo walikuwa maaskofu wa Iringa na sijui wapi kule kusini, hivi Dar hakuna askofu au Pengo hana msaidizi? sijui hili limekaaje, hebu tufafanulieni mnaojua ni utaratibu gani ulitumika maaskofu wa mbali hivyo kuja Dar kuongoza ibada ili hali wa Dar au Morogoro wapo
Asante kwa kunielimisha... kwa hiyo Jumanne tutawaona Maaskofu wa Dar mahala pao stahiki ?Mkuu Kwanza nikufahamishe kwamba Pengo sio Askofu wa DSM kwa Sasa,Askofu wa DSM ni Ruwaichi na kwa sasa hana msaidizi kwasababu msaidizi wake ameteuliwa kuwa Askofu wa mpanda.
Lakini pia Hao maaskofu uliowaona Leo kwa mtazamo wangu hawakuja mahsusi kwa ajili ya huo Msiba,bali Walikuja kwaajili ya ibada ya kumuaga Askofu msaidizi wa DSM iliyofanyika jmosi Kwasababu ni maaskofu wa ukanda wa Mashariki.
Maaskofu waliokuja Kwasababu maalum ni Maluma ambaye ni mwenyekiti wa baraza la RUCU na Ngalalekumtwa ambaye ndiye chuo kipo kwake Kwasababu marehemu alitoa Mchango mkubwa ktk uwepo wa chuo hicho.
Ngalalekumtwa alishamaliza muda wake, kwa sasa raisi wa TEC ni Askofu Gervas NyaisongaYule Ngalekumtwa wa Iringa ndo mkuu wa Baraza la maaskofu TEC( Sijui anaitwa Rais wa TEC/mwenyekiti)
Kwa maana hiyo ndio kiongozi wa Maaskofu wote wa Katoliki Tanzania
Bro fuatilia ataona.Sasa askofu hata akiongoza misa ya kapuku we utajuaje mana misiba ya watu ambao si maarufu huwa haioneshwi live kwny TV so kwangu mimi hoja yako haijakaa sawa mana hakuna ushaidi usioacha shaka kuwa hakuna kapuku aliyesaliwa na askofu
KweliWakristo wanaishi kimatabaka sanaa,hata ukiwa kapuku usitarajie kama utapata cheo kanisani,hawana tofauti na CCM
Sidhani Kama j4 kutakuwa na ibada nyingine,kwa utaratibu ibada ya pili itakuwa huko anakozikwa.Asante kwa kunielimisha... kwa hiyo Jumanne tutawaona Maaskofu wa Dar mahala pao stahiki ?
Haijalishi nani anakuzika au kinachotakiwa ni kujua wapi unakwenda baada ya kifo maana maandalizi yako ni ukiwa hai sio kusubiri sala za marehemuNaomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada. Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu? Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Padri ni Daraja ya Kanisa, ni sakramenti. Askofu ni cheo sio daraja.Hivi kuna utofauti gani kati ya Askofu na Padre/Padri ? Itakuwa vyema zaidi kama mtanioa maana ya wawili hawa.
Ahsanteni.
Ahsante. Mtu anakuwaje Padri ?Padri ni Daraja ya Kanisa, ni sakramenti. Askofu ni cheo sio daraja.
Hivyo, wote ni mapadri lakini Askofu anacheo. Kivingine twaweza sema wote no wanafunzi lakini mmoja ni kiranja.
Inategemea kuna Padri wa shirika au Jimbo. Utaratibu kwa ufupi ni Kama hivi;Ahsante. Mtu anakuwaje Padri ?
Hapa kwenye Utume sijalewa, ukinipa ufafanuzi itakuwa vyema zaidi.Inategemea kuna Padri wa shirika au Jimbo. Utaratibu kwa ufupi ni Kama hivi;
1. Malezi
2. Seminary kusoma Theology na Philosophy.
3. Utume
4. Padri
Utume ndiyo kwenda Field Sasa, yaani utaskia hasa kwa Kanisa Katoliki mtu anaitwa shemasi ujue ndio utume huo akimaliza Basi anapata daraja ya upadri.Hapa kwenye Utume sijalewa, ukinipa ufafanuzi itakuwa vyema zaidi.
Poa.Utume ndiyo kwenda Field Sasa, yaani utaskia hasa kwa Kanisa Katoliki mtu anaitwa shemasi ujue ndo utume huo akimaliza Basi anapata daraja ya upadri.