Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa

Mengi tuuu hayapo sawa

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Kwanza nikufahamishe kwamba Pengo sio Askofu wa DSM kwa Sasa,Askofu wa DSM ni Ruwaichi na kwa sasa hana msaidizi kwasababu msaidizi wake ameteuliwa kuwa Askofu wa mpanda.

Lakini pia Hao maaskofu uliowaona Leo kwa mtazamo wangu hawakuja mahsusi kwa ajili ya huo Msiba,bali Walikuja kwaajili ya ibada ya kumuaga Askofu msaidizi wa DSM iliyofanyika jmosi Kwasababu ni maaskofu wa ukanda wa Mashariki.

Maaskofu waliokuja Kwasababu maalum ni Maluma ambaye ni mwenyekiti wa baraza la RUCU na Ngalalekumtwa ambaye ndiye chuo kipo kwake Kwasababu marehemu alitoa Mchango mkubwa ktk uwepo wa chuo hicho.
 
Asante kwa kunielimisha... kwa hiyo Jumanne tutawaona Maaskofu wa Dar mahala pao stahiki ?
 
Sasa askofu hata akiongoza misa ya kapuku we utajuaje mana misiba ya watu ambao si maarufu huwa haioneshwi live kwny TV so kwangu mimi hoja yako haijakaa sawa mana hakuna ushaidi usioacha shaka kuwa hakuna kapuku aliyesaliwa na askofu
 
Yule Ngalekumtwa wa Iringa ndo mkuu wa Baraza la maaskofu TEC( Sijui anaitwa Rais wa TEC/mwenyekiti)

Kwa maana hiyo ndio kiongozi wa Maaskofu wote wa Katoliki Tanzania
Ngalalekumtwa alishamaliza muda wake, kwa sasa raisi wa TEC ni Askofu Gervas Nyaisonga
 
Sasa askofu hata akiongoza misa ya kapuku we utajuaje mana misiba ya watu ambao si maarufu huwa haioneshwi live kwny TV so kwangu mimi hoja yako haijakaa sawa mana hakuna ushaidi usioacha shaka kuwa hakuna kapuku aliyesaliwa na askofu
Bro fuatilia ataona.
 
Asante kwa kunielimisha... kwa hiyo Jumanne tutawaona Maaskofu wa Dar mahala pao stahiki ?
Sidhani Kama j4 kutakuwa na ibada nyingine,kwa utaratibu ibada ya pili itakuwa huko anakozikwa.

Kutokuwepo kwa askofu Ruwaichi haimaanishi kuwa amepokwa mamlaka yake laa hasha,askofu wa Jimbo ana uwezo wa kutoa ruksa au kumuomba Askofu wa Jimbo jingine kuendesha ibada jimboni kwake.
Vile vile Ruwaichi angeweza kuwepo lakini asiwe mkuu wa ibada(main celebrant)
 
Haijalishi nani anakuzika au kinachotakiwa ni kujua wapi unakwenda baada ya kifo maana maandalizi yako ni ukiwa hai sio kusubiri sala za marehemu

Bibilia inasema ya kwamba imetupasa kufa mara moja na baada ya kifo hukumu (Waebrania 9:27). Wale waliotakaswa wataenda kwa uzima wa milele mbinguni, lakini wasioamini watapelekwa kwa hukumu ya milele ama jehanamu (Mathayo 25:46)
 
Hivi kuna utofauti gani kati ya Askofu na Padre/Padri ? Itakuwa vyema zaidi kama mtanioa maana ya wawili hawa.

Ahsanteni.
Padri ni Daraja ya Kanisa, ni sakramenti. Askofu ni cheo sio daraja.

Hivyo, wote ni mapadri lakini Askofu anacheo. Kivingine twaweza sema wote no wanafunzi lakini mmoja ni kiranja.
 
Padri ni Daraja ya Kanisa, ni sakramenti. Askofu ni cheo sio daraja.

Hivyo, wote ni mapadri lakini Askofu anacheo. Kivingine twaweza sema wote no wanafunzi lakini mmoja ni kiranja.
Ahsante. Mtu anakuwaje Padri ?
 
Reactions: dtj
Inategemea kuna Padri wa shirika au Jimbo. Utaratibu kwa ufupi ni Kama hivi;

1. Malezi
2. Seminary kusoma Theology na Philosophy.
3. Utume
4. Padri
Hapa kwenye Utume sijalewa, ukinipa ufafanuzi itakuwa vyema zaidi.
 
Yaani unataka wewe kapuku mchango wako kanisani hakuna, sadaka elfu 1 halafu unafariki waje maaskofu na mapadre kibao kufanya nini? kwanza unajua kuja hapo ni gharama kubwa pia.
 
Utume ndiyo kwenda Field Sasa, yaani utaskia hasa kwa Kanisa Katoliki mtu anaitwa shemasi ujue ndo utume huo akimaliza Basi anapata daraja ya upadri.
Poa.
 
Levels baby...ipo world wide hiyo sio kwenye dini peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…