Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha unakuwa tajiri kabla hujafa ndiyo itakuwa salama kwako kuzikwa na watumishi high profile.Naomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
HahahhaahhaHakikisha unakuwa tajiri kabla hujafa ndiyo itakuwa salama kwako kuzikwa na watumishi high profile.
Wanafanya kazi gani sasa? Kama hawapatikani kirahisi !. Si unajua Yesu alikua simple na kanzu moja na huko miguuni sandrozi. Lakini Maasikofu wa Leo mbona naona wamevaa manguo mazito huku wameshika machuma hata waumini wanaogopa kuwasogelea. Nauliza tena huwa wanafanya kazi gani hao maasikofu wa dunia ya Leo hapa duniani ?MBONA YULE TAJIRI MREMA WA HOTEL ZA NGURDOTO, IMPALA NA KIBO PALACE. HAKUZIKWA NA PADRI NA ALIKUA NA PESA ZAKE ZA KUTOSHA? HALAFI MNAPASWA MJUE RATIBA YA MAASKOFU NI NGUMU KIDOGO HAWAPATIKANI KIRAHISI.
HahahahaMm nilivyo muona ngwajima nikajua kaja kumfufua kama anavyo dai hufufua wafu lkn nkaxhanga badala ya kumfufua et kamuombea tuweni makini na maaxkofu waongo
Basi anayesema wakatoliki wana ubaguzi, aseme na TBC wana ubaguzi... maana kuna misiba mingi tu hawajawahi tangaza, achia mbali kuonyesha liveSasa askofu hata akiongoza misa ya kapuku we utajuaje mana misiba ya watu ambao si maarufu huwa haioneshwi live kwny TV so kwangu mimi hoja yako haijakaa sawa mana hakuna ushaidi usioacha shaka kuwa hakuna kapuku aliyesaliwa na askofu
.... na Papa?Padri ni Daraja ya Kanisa, ni sakramenti. Askofu ni cheo sio daraja.
Hivyo, wote ni mapadri lakini Askofu anacheo. Kivingine twaweza sema wote no wanafunzi lakini mmoja ni kiranja.
Mkuu jibu lako lipo katika ufunguzi wa hoja yako mmoja ni mtu wa "kawaida"mwingine ni mtu "maarufu"Naomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Huu ni Utaratibu wa wanaadamu tu; Ambao sidhani ka unashida yoyote, Infact, There is no concern to GODLakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada
Papa ni cheo sio daraja..... na Papa?
Ila gwajima Mungu anamuona anachowafanyia binadamu wenzake.Mm nilivyo muona ngwajima nikajua kaja kumfufua kama anavyo dai hufufua wafu lkn nkaxhanga badala ya kumfufua et kamuombea tuweni makini na maaxkofu waongo
Usiongee kitu ambacho hukijui ndugu, Juzi kuamkia jana tarehe 27-28 mwezi wa saba Katika wilaya ya kondoa Mhasham Baba askofu wa Jimbo Hilo aliomgoza ibada ya misa takatifu kwa muumini wa kawaida kabisa daraja la chini, Usichojua ni kuwa kanisa linahudumia waamini wote kwa usawa bila kujali hadhi zao.Sasa askofu hata akiongoza misa ya kapuku we utajuaje mana misiba ya watu ambao si maarufu huwa haioneshwi live kwny TV so kwangu mimi hoja yako haijakaa sawa mana hakuna ushaidi usioacha shaka kuwa hakuna kapuku aliyesaliwa na askofu
Naomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Naomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie