Yes ,ndio kama wewe ulitakiwa unyamaze kwa sababu hujui kitu kuhusu crusade war uliyonipinga kwenye comment yanguKibwetere alikuwa wa Rwanda eeh???.kitu km hujui bora tu kujinyamazia kimya.
Hulka ya mjinga ni kutukana,siwezi kukujibu tena ilikuwa jukumu langu kukutoa ujinga ulionao ila mtu akifikia ujinga wa kiwango chako hastaili kujibiwaNa wewe kenge umetokea wapi??. Kajitawaze kwanza unanuka mavi.
Kweli kabisa , mtu unatype huku unatetemeka kuhofia kuandika utopolo kama jamaa hapo juu na ilikuwa mtu japo unajua kitu lakini unajiridhisha mpk gugo na kuongezea nyama kuhofia kukosolewa .Utakuta nae huyu eti kaajiriwa sehemu wakati watu competent wapo mitaani hawana ishu ya kufanya..Mtu anaweka argument bila reasoning kama si upuuzi ni nini!Jf ya zamani ilikuwa mtu hadi unaogopa kucomment kwanza kabla ya kuleta ubishi unaenda kugoogle kwanza hili kujilizisha na hicho unachosimamia,Free basics na smartphone imetuletea janga kubwa sana
You must Get sense first before quoting me.Huujui ukristo!!,hujui chochote kuhusu crusade war that sponsored by pope!!,nenda kajifunze kuhusu crusade war halafu uje ufute comment yako hii
Na kibwetere je?Cruder ilikuwa reaction ya Wakritu dhidi ya Waislam baada ya wao kuteka maeneo ya nchi takatifu. Nothing else
Sasa Mbona umenijibu??. Kweli nyani haoni kundule.Hulka ya mjinga ni kutukana,siwezi kukujibu tena ilikuwa jukumu langu kukutoa ujinga ulionao ila mtu akifikia ujinga wa kiwango chako hastaili kujibiwa
Nakazia :Ukiwa mjinga wa kiwango chako haustaili kujibiwa ni wa kupuuzwa tu haya endelea na matusi yako #NIMEMALIZA
Huna jeuri ya kuninyamazisha,changanya kwato zako.Yes ,ndio kama wewe ulitakiwa unyamaze kwa sababu hujui kitu kuhusu crusade war uliyonipinga kwenye comment yangu
Mzee unajua kusoma kweli? Wapi kaandika kibwetere ni kutoka uganda? Huoni alama ya mkato hapo?Kibwetere alikuwa wa Rwanda eeh???.kitu km hujui bora tu kujinyamazia kimya.
Agwe maghayo kumbe mahala usina, alu kulonga chi aha? Wazukuru wa mudy wayago wakikodola kusoko ya dini yao, alu kwani na Ukraine nako ng'hani yo iyo ya dini? Kodo dyako, au ugalile mbitu zuwadi?😆😆Mzuka wanajamvi!
Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Kichaa mwenyewe huyu hapa, ni muislam huyu maana waislam kwa maugomvi ndio wenyewe angalia kavaa na alama ya mwezi na nyota kifuaniKule hawachinjani kwa sababu za kidini, isipokuwa kuna kichaa mmoja ameamua kuua raia wema kwa sababu za kutunga.
Wewe ni mkongwe humu JF (miaka 9 kama mwanachama) ila una akili fupi mno.Kichaa mwenyewe huyu hapa, ni muislam huyu maana waislam kwa maugomvi ndio wenyewe angalia kavaa na alama ya mwezi na nyota kifuaniView attachment 2209660
Mjinga ni wewe,unayeiamini gugo kwa kila kitu.Yaani kwa akili yako ndogo ulivyogugo ukajiona una bonge la Elimu?!!.Wewe ni mjinga tena zoba,waelevu hawabishi au hakatai kitu bila kufanya research,No research no right to speak..Upumbavu wako unaonekana pale ambapo hujakubaliana na mawazo yangu bila kuwa na ushahidi(reasoning with facts) ukaleta ufulambute wako kwa kunishutumu kuwa ni muongo kumbe ni tatizo lako la ujinga uliokujaa kichwani,mtu mwerevu kabla ya kucomment kwanza juu ya kitu kipya ambacho hajwahi kukisikia anafanya research nilitegemea ungekuja na information ya kuonyesha hakukutokea crusade war badala yake kama kawaida fact ya mjinga ni moja tu hajijui ukaja na blahblah!mara oh umetumwa na nani kudanganya mara upuuzi tu!! Sasa hapo kati ya wewe usiye na information na mimi niliyekupa information nani mjinga?
Acha dharau pimbi weweWewe ni mkongwe humu JF (miaka 9 kama mwanachama) ila una akili fupi mno.
... kwani ile vita ni kwa ajili ya kila upande kutetea miungu yao? Au umesikia wakipigana kwa jina la miungu? Umechemka leo.Mzuka wanajamvi!
Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Daku ya mwisho ulivimbiwa ndio uharo wake unautoa leo upate nafasi ya pilau?Mzuka wanajamvi!
Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Hakuna mnaswala hata mmoja anaweza kufanya argument mzee, kwanza dini yao yenyewe hawaijui...watajua kujenga hoja ? ...Wewe ni mjinga tena zoba,waelevu hawabishi au hakatai kitu bila kufanya research,No research no right to speak..Upumbavu wako unaonekana pale ambapo hujakubaliana na mawazo yangu bila kuwa na ushahidi(reasoning with facts) ukaleta ufulambute wako kwa kunishutumu kuwa ni muongo kumbe ni tatizo lako la ujinga uliokujaa kichwani,mtu mwerevu kabla ya kucomment kwanza juu ya kitu kipya ambacho hajwahi kukisikia anafanya research nilitegemea ungekuja na information ya kuonyesha hakukutokea crusade war badala yake kama kawaida fact ya mjinga ni moja tu hajijui ukaja na blahblah!mara oh umetumwa na nani kudanganya mara upuuzi tu!! Sasa hapo kati ya wewe usiye na information na mimi niliyekupa information nani mjinga?
Umeelewa nilichokuuliza lakini ama una jibu tu kwasababu kichwani umejaza links?.Utakuwa umezaliwa juzi. Nimekuwekea chanzo kabisa cha BBC swahili.
Ni miaka ishirini tangu waumini 700 kujiteketeza Uganda kwa kuamini ni mwisho wa dunia - BBC News Swahili
Waumini wa kanisa la Amri za Mungu nchini Uganda, walioamini kuwa mwaka 2000 ndio mwisho wa dunia hivyo wakaamua kujiteketeza kwa moto.www.bbc.com