Wakristo tukubalini tu kibao kimetugeukia tulikuwa tunawacheka sana ndugu zetu upande wa pili.

Wakristo tukubalini tu kibao kimetugeukia tulikuwa tunawacheka sana ndugu zetu upande wa pili.

Na wewe kenge umetokea wapi??. Kajitawaze kwanza unanuka mavi.
Hulka ya mjinga ni kutukana,siwezi kukujibu tena ilikuwa jukumu langu kukutoa ujinga ulionao ila mtu akifikia ujinga wa kiwango chako hastaili kujibiwa

Nakazia :Ukiwa mjinga wa kiwango chako haustaili kujibiwa ni wa kupuuzwa tu haya endelea na matusi yako #NIMEMALIZA
 
Utakuta nae huyu eti kaajiriwa sehemu wakati watu competent wapo mitaani hawana ishu ya kufanya..Mtu anaweka argument bila reasoning kama si upuuzi ni nini!Jf ya zamani ilikuwa mtu hadi unaogopa kucomment kwanza kabla ya kuleta ubishi unaenda kugoogle kwanza hili kujilizisha na hicho unachosimamia,Free basics na smartphone imetuletea janga kubwa sana
Kweli kabisa , mtu unatype huku unatetemeka kuhofia kuandika utopolo kama jamaa hapo juu na ilikuwa mtu japo unajua kitu lakini unajiridhisha mpk gugo na kuongezea nyama kuhofia kukosolewa .
 
Huujui ukristo!!,hujui chochote kuhusu crusade war that sponsored by pope!!,nenda kajifunze kuhusu crusade war halafu uje ufute comment yako hii
You must Get sense first before quoting me.
I knew you would come with this trash to justify your lies.
The crusade was a response to the killings of Christians that had been happening for many years and to defend the result, the catholics decided to retaliate.
Many Christians were killed and some of them fled away for their lives.
If was not your jihadists masters to invade Christian's territories in order to Islamise crusade wasn't fought.

Stop giving half info to bring up false narratives.


If you don't know history get proper education online and stop twisting truth.
 
Hulka ya mjinga ni kutukana,siwezi kukujibu tena ilikuwa jukumu langu kukutoa ujinga ulionao ila mtu akifikia ujinga wa kiwango chako hastaili kujibiwa

Nakazia :Ukiwa mjinga wa kiwango chako haustaili kujibiwa ni wa kupuuzwa tu haya endelea na matusi yako #NIMEMALIZA
Sasa Mbona umenijibu??. Kweli nyani haoni kundule.
 
Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Agwe maghayo kumbe mahala usina, alu kulonga chi aha? Wazukuru wa mudy wayago wakikodola kusoko ya dini yao, alu kwani na Ukraine nako ng'hani yo iyo ya dini? Kodo dyako, au ugalile mbitu zuwadi?😆😆
 
Kule hawachinjani kwa sababu za kidini, isipokuwa kuna kichaa mmoja ameamua kuua raia wema kwa sababu za kutunga.
Kichaa mwenyewe huyu hapa, ni muislam huyu maana waislam kwa maugomvi ndio wenyewe angalia kavaa na alama ya mwezi na nyota kifuani
514368548.jpg
 
Lakini kule awaambiani wataje vifungu vya bible na wala hawapigani panga za shingo
 
Wewe ni mjinga tena zoba,waelevu hawabishi au hakatai kitu bila kufanya research,No research no right to speak..Upumbavu wako unaonekana pale ambapo hujakubaliana na mawazo yangu bila kuwa na ushahidi(reasoning with facts) ukaleta ufulambute wako kwa kunishutumu kuwa ni muongo kumbe ni tatizo lako la ujinga uliokujaa kichwani,mtu mwerevu kabla ya kucomment kwanza juu ya kitu kipya ambacho hajwahi kukisikia anafanya research nilitegemea ungekuja na information ya kuonyesha hakukutokea crusade war badala yake kama kawaida fact ya mjinga ni moja tu hajijui ukaja na blahblah!mara oh umetumwa na nani kudanganya mara upuuzi tu!! Sasa hapo kati ya wewe usiye na information na mimi niliyekupa information nani mjinga?
Mjinga ni wewe,unayeiamini gugo kwa kila kitu.Yaani kwa akili yako ndogo ulivyogugo ukajiona una bonge la Elimu?!!.
 
Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
... kwani ile vita ni kwa ajili ya kila upande kutetea miungu yao? Au umesikia wakipigana kwa jina la miungu? Umechemka leo.
 
Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Daku ya mwisho ulivimbiwa ndio uharo wake unautoa leo upate nafasi ya pilau?
 
Wewe ni mjinga tena zoba,waelevu hawabishi au hakatai kitu bila kufanya research,No research no right to speak..Upumbavu wako unaonekana pale ambapo hujakubaliana na mawazo yangu bila kuwa na ushahidi(reasoning with facts) ukaleta ufulambute wako kwa kunishutumu kuwa ni muongo kumbe ni tatizo lako la ujinga uliokujaa kichwani,mtu mwerevu kabla ya kucomment kwanza juu ya kitu kipya ambacho hajwahi kukisikia anafanya research nilitegemea ungekuja na information ya kuonyesha hakukutokea crusade war badala yake kama kawaida fact ya mjinga ni moja tu hajijui ukaja na blahblah!mara oh umetumwa na nani kudanganya mara upuuzi tu!! Sasa hapo kati ya wewe usiye na information na mimi niliyekupa information nani mjinga?
Hakuna mnaswala hata mmoja anaweza kufanya argument mzee, kwanza dini yao yenyewe hawaijui...watajua kujenga hoja ? ...

Mzee achana nao...
 
Hawatakuelewaa! Watu huwa hawahitaji ukweli..
 
Back
Top Bottom