Wakristo tukubalini tu kibao kimetugeukia tulikuwa tunawacheka sana ndugu zetu upande wa pili.

Wakristo tukubalini tu kibao kimetugeukia tulikuwa tunawacheka sana ndugu zetu upande wa pili.

Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Sio vita ya dini hiyo mkuu.
 
Hiki unachoniambia Inahusiana na nini na nilichomjibu mwenye comment hiyo!!?? Kuwa na akili timamu basi usijichetue kwanza crusade war ilitokea kuanzia 1095 mpk 1291 wakati ambapo uislamu ulikuwa umeshashamiri na mtume Mohammad(S.AW) ameshafariki miaka mia nyuma
Unalipwa pesa kiasi gani kwa kusema Uwongo??.
 
Unalipwa pesa kiasi gani kwa kusema Uwongo??.
Wajinga huwa hamkosekani popote pale!! Mkuu mimi sihusiki na ww kutokwenda shule ni bora ungewalaumu wazazi wako kwa kukufanya uoneshe ujinga mbele ya hadhara,wale ambao wamesoma nikizungumzia crusade wars wanaelewa nazungumzia nini....Rudi shule elimu ni bure mkuu
 
Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Usidanganye wala kudanganyika,si kila Mkristo ni Mkristo.
 
Wajinga huwa hamkosekani popote pale!! Mkuu mimi sihusiki na ww kutokwenda shule ni bora ungewalaumu wazazi wako kwa kukufanya uoneshe ujinga mbele ya hadhara,wale ambao wamesoma nikizungumzia crusade wars wanaelewa nazungumzia nini....Rudi shule elimu ni bure mkuu
Jf ya siku hizi imejaa wajinga wengi mno bora ulivyoamua kumpa darasa la bure afahamu kiwango cha ujinga alichofika ikiwezekana ajielimishe.
 
Jf ya siku hizi imejaa wajinga wengi mno bora ulivyoamua kumpa darasa la bure afahamu kiwango cha ujinga alichofika ikiwezekana ajielimishe.
Utakuta nae huyu eti kaajiriwa sehemu wakati watu competent wapo mitaani hawana ishu ya kufanya..Mtu anaweka argument bila reasoning kama si upuuzi ni nini!Jf ya zamani ilikuwa mtu hadi unaogopa kucomment kwanza kabla ya kuleta ubishi unaenda kugoogle kwanza hili kujilizisha na hicho unachosimamia,Free basics na smartphone imetuletea janga kubwa sana
 
Kwamba imezoeleka waafrika na Waarabu ndio wanapigana mara nyingi, ila sasa wazungu nao wanapigana
Lakini Sio jambo la kufurahia, vita yoyote ile sio ya kuchekelea
Yeah Brain wash ya Dunia, As of 2014 mpaka 2019 Azov Battalion (kundi la Kigaidi la Ukraine) lilikuwa limefanya Attacks 304 ndani ya Hio miaka 5,

Average kila siku 5 wanafanya Attack all over the World, ila sababu ni weupe hawasemwi sana, jamaa wanajulikana kama "White supremacist"

Sababu ya propaganda zinazoendelea sasa hawaongelewi sana ili kuficha Narrative ya Ukraine "Good guys" Russia "Bad guys" ila kuna Video za kutosha za miaka ya Nyuma, tena toka Vyombo vya Kimgharibi.

Mfano hii video toka Times.
 
Mzuka wanajamvi!

Wagalatia wenzangu kibao kimetugeukia. Wakati baadhi ya waumini wa madhehebu ya Shia na suni walivyokuwa wanachinjana tuliwadhihaki sana ndugu zetu Kobaaz humu jamvin. Licha ya wao kujaribu kutuelimisha imani yao hairuhusu umwagaji damu ugaidi na kadhalika hatukusikia.

Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
mkuu Mkristo ni Yule Anaye Yafuata na Kuyaishi Mafundisho ya Yesu! Ref!;
[emoji1370][emoji1370]
Mathayo 5
43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;

44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?

47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?

48 Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
[emoji1370][emoji1370]
Mathayo 7
1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.

2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.

3 Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?

4 Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?

5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.
[emoji1370][emoji1370]
Wagalatia 6
1 Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.

2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo SHERIA YA KRISTO.

3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.

1 Wakorintho 4
5 Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.

Usipo Yafuata na Kuyaishi Mafundisho yake ww sio Mfuasi wake![emoji777]

Labda Utuwekee Pale Yesu Alipo Fundisha Kugeuzana Kibla![emoji3538][emoji379]🪓[emoji380][emoji378]

Wanao yafuata na kuyaishi mafundisho ya kugeuzana kiibla mbona dhaaahir[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wajinga huwa hamkosekani popote pale!! Mkuu mimi sihusiki na ww kutokwenda shule ni bora ungewalaumu wazazi wako kwa kukufanya uoneshe ujinga mbele ya hadhara,wale ambao wamesoma nikizungumzia crusade wars wanaelewa nazungumzia nini....Rudi shule elimu ni bure mkuu
Una Digrii ngapi wee check bob??.
 
Wakristo ni dini ya upendo haki na amani kwa wote.

#MaendeleoHayanaChama
Nimemkumbuka tu Kibwetere na wafuasi wake,kule Rwanda walichinjana kwa ubaguzi wa kikabila,ubaguzi ni ubaguzi tu,uwe ubaguzi wa kidini,rangi ya ngozi,races...

Hao walioenda kuvamia Iraq,Afghanistan,Libya,Somalia na wanao uwa wanawake na watoto huko Palestina wao ni dini gani? Huo ndio upendo unaouongelea?

Kuwakata viungo Albino wakiwa hai ndio upendo huo? Kuchoma moto vibaka wakiwa hai ndio upendo unaouongelea? Kuua vikongwe kwa imani za kishirikina ndio upendo huo?
 
Kwani wale wanavyopigana wanamtetea mungu yupi??

Wakristo hawana huo upuuzi,hayo si mafundisho ya kristo kamwe.
 
Jf ya siku hizi imejaa wajinga wengi mno bora ulivyoamua kumpa darasa la bure afahamu kiwango cha ujinga alichofika ikiwezekana ajielimishe.
Na wewe kenge umetokea wapi??. Kajitawaze kwanza unanuka mavi.
 
Utakuta nae huyu eti kaajiriwa sehemu wakati watu competent wapo mitaani hawana ishu ya kufanya..Mtu anaweka argument bila reasoning kama si upuuzi ni nini!Jf ya zamani ilikuwa mtu hadi unaogopa kucomment kwanza kabla ya kuleta ubishi unaenda kugoogle kwanza hili kujilizisha na hicho unachosimamia,Free basics na smartphone imetuletea janga kubwa sana
Wewe jamaa mavi sana, yaani mtu asipokubaliana na wewe basi amekuwa Mjinga sio?,Naweza kubisha kukataa kile unachokisema kwasababu siamini ktk ushahidi wako,sasa mimi kukupinga wewe hainifanyi mimi kuwa Mjinga wala Mimi kukubaliana na wewe hainifanyi mimi kuwa na akili.
 
Sasa ni zamu yetu sasa hivi huko Ukraine tunachinjana kama hatuna akili nzuri tena Wagalatia wa orthodox wenyewe kwa wenyewe.
Kule hawachinjani kwa sababu za kidini, isipokuwa kuna kichaa mmoja ameamua kuua raia wema kwa sababu za kutunga.
 
Nimemkumbuka tu Kibwetere na wafuasi wake,kule Rwanda walichinjana kwa ubaguzi wa kikabila,ubaguzi ni ubaguzi tu,uwe ubaguzi wa kidini,rangi ya ngozi,races...

Hao walioenda kuvamia Iraq,Afghanistan,Libya,Somalia na wanao uwa wanawake na watoto huko Palestina wao ni dini gani? Huo ndio upendo unaouongelea?

Kuwakata viungo Albino wakiwa hai ndio upendo huo? Kuchoma moto vibaka wakiwa hai ndio upendo unaouongelea? Kuua vikongwe kwa imani za kishirikina ndio upendo huo?
Kibwetere alikuwa wa Rwanda eeh???.kitu km hujui bora tu kujinyamazia kimya.
 
Wewe jamaa mavi sana, yaani mtu asipokubaliana na wewe basi amekuwa Mjinga sio?,Naweza kubisha kukataa kile unachokisema kwasababu siamini ktk ushahidi wako,sasa mimi kukupinga wewe hainifanyi mimi kuwa Mjinga wala Mimi kukubaliana na wewe hainifanyi mimi kuwa na akili.
Wewe ni mjinga tena zoba,waelevu hawabishi au hakatai kitu bila kufanya research,No research no right to speak..Upumbavu wako unaonekana pale ambapo hujakubaliana na mawazo yangu bila kuwa na ushahidi(reasoning with facts) ukaleta ufulambute wako kwa kunishutumu kuwa ni muongo kumbe ni tatizo lako la ujinga uliokujaa kichwani,mtu mwerevu kabla ya kucomment kwanza juu ya kitu kipya ambacho hajwahi kukisikia anafanya research nilitegemea ungekuja na information ya kuonyesha hakukutokea crusade war badala yake kama kawaida fact ya mjinga ni moja tu hajijui ukaja na blahblah!mara oh umetumwa na nani kudanganya mara upuuzi tu!! Sasa hapo kati ya wewe usiye na information na mimi niliyekupa information nani mjinga?
 
Back
Top Bottom