Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Ukifuatilia wakrsto wachache wanaoishi somalia ni kama wapo kifungoni hawana amani wameathirika kisaikolojia kutokana na uchache wao ambao ni chini ya asilimia 5 wengi wao wanasali nyumbani kuepusha kulipuliwa wakiwa kwenye nyumba za ibada wanalazimishwa kwa makusudi na dola na umma kuwa watumwa.

Ukirudi pia hapo Zanzibar kwa uchache wao wapo kwenye mtanziko mkubwa wakipitia dhuluma mbalimbali za kisaikolojia, wanabanwa kwa mambo mengi sana wasifurukute. Kauli km tuwafute kwa kuoa mabinti zao ni kawaida.

Kwa mtazamo wangu waamini wa kikristo kwenye hizi nchi wanaishi kwenye ulimwengu wa mateso makubwa pengine kuliko hata baadhi ya nchi za Kiarabu.

Tuwasihi watu wa imani kuheshimu kila imani ya mtu bila kujali uchache wao au kisingizio kingine chochote.
 
Serious kabisa, mi nipo unguja hapa tunapitia wakati mgumu kweli. Kwa mfano kama upo zako barabarani ukiwa umeshikilia biblia mkononi unaenda kanisani ukisimamisha daladala baadhi ya madereva wanakupita tu hata kama gari haijajaa
 
Ukifuatilia wakrsto wachache wanaoishi somalia ni kama wapo kifungoni hawana amani wameathirika kisaikolojia kutokana na uchache wao ambao ni chini ya asilimia 5 wengi wao wanasali nyumbani kuepusha kulipuliwa wakiwa kwenye nyumba za ibada wanalazimishwa kwa makusudi na dola na umma kuwa watumwa.

Ukirudi pia hapo Zanzibar kwa uchache wao wapo kwenye mtanziko mkubwa wakipitia dhuluma mbalimbali za kisaikolojia, wanabanwa kwa mambo mengi sana wasifurukute. Kauli km tuwafute kwa kuoa mabinti zao ni kawaida.

Kwa mtazamo wangu waamini wa kikristo kwenye hizi nchi wanaishi kwenye ulimwengu wa mateso makubwa pengine kuliko hata baadhi ya nchi za Kiarabu.

Tuwasihi watu wa imani kuheshimu kila imani ya mtu bila kujali uchache wao au kisingizio kingine chochote.
Popote pale wakristo ni wachache,minority hupata tabu sana,kwa Zenj,sheria huwa zinapitishwa bila kujari Hawa wachache,na muislam kuoa Binti wa kikristo na kumbadili dini,huwa ni msisitizo wanaopewa,inakuwa kama ambition Fulani,accomplishment,
Waislam ukioa Binti muislam,hata kama hawakuambii,hujisikia vibaya sana,
Hawa jamaa,wingi wao ndio siraha kubwa,mfano ukisema hapa bongo,wao ni wachache,hata kama ndio wengi,kisaikolojia hii huwatesa sana,kwenye nchi kama Lebanon,wakristo walikuwa ndio majority,lakini ndugu zetu Hawa walicheza figisu,vita,mauaji,nk mpaka sasa hv wao ndio majority,hapo mkristo lazima akione Cha moto.
 
Labda tujifunze kwa waislam wanaoishi Ulaya na Marikani.

Ingawa nao wanabaguliwa na kudharauliwa, wakati mwengine wakezao hunyanyaswa au hushambuliwa kwa kuvaa tu hijabu.

Hadi wazungu nao na wale wenyeji wenye siasa kali sikuhizi wanasilimu
 
Binadamu wanateseka sababu ya imani yao
Serious kabisa, mi nipo unguja hapa tunapitia wakati mgumu kweli. Kwa mfano kama upo zako barabarani ukiwa umeshikilia biblia mkononi unaenda kanisani ukisimamisha daladala baadhi ya madereva wanakupita tu hata kama gari haijajaa
 
Lebanon walihimizana kuwaoa wake wanne ilikuwa lazima
Popote pale wakristo ni wachache,minority hupata tabu sana,kwa Zenj,sheria huwa zinapitishwa bila kujari Hawa wachache,na muislam kuoa Binti wa kikristo na kumbadili dini,huwa ni msisitizo wanaopewa,inakuwa kama ambition Fulani,accomplishment,
Waislam ukioa Binti muislam,hata kama hawakuambii,hujisikia vibaya sana,
Hawa jamaa,wingi wao ndio siraha kubwa,mfano ukisema hapa bongo,wao ni wachache,hata kama ndio wengi,kisaikolojia hii huwatesa sana,kwenye nchi kama Lebanon,wakristo walikuwa ndio majority,lakini ndugu zetu Hawa walicheza figisu,vita,mauaji,nk mpaka sasa hv wao ndio majority,hapo mkristo lazima akione Cha moto.
 
Inawezekana ni kweli chuki ya Waislam kwa Wakristu ni kubwa zaidi lakini maranyingi huwa hatuoni kama shida hii Waislam wanaipata pia kwenye nchi nyingi sana, tumekuwa tukiwabeza za kuona wanapenda kulalamika kila walipodai haki yao ya kuabudu. Kuna matukio machafu sana wamefanyiwa Waislam na dunia imekuwa kimya sababu machungu yao hayatuhusu.

Kuna miaka Spain iliua Waislam kwa wingi ili kuwafuta kabisa na kuwalazimisha kubadilisha dini na juzi tu hapa Waislam wa Rohingya wametendewa hayo hayo lakini hatuna hata habari ya kujua haya sababu Waislam ndio wanaongoza kwa chuki dhidi ya wengine wanapaswa kutendewa haya!

*The universe is based on a fair exchange. What you give you will get. As long as karma exists, the world changes.

jurgen_augusteyns_zakia_belkhiri_5.jpg
download.jpg
 
Sio wote wenye ubaguzi ila kuna sehemu duniani wanajua dini yao tu ndio bora
Rohingya genocide tunaikumbuka vizuri
Hata kuna sehemu kama Scotland ukijichnaganya na kanzu unamwagiwa pombe (nimeshuhudia kwa macho)

Sio wote wabaya bali pia wapo pande zote
 
Back
Top Bottom