Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Wakristo wa Somalia na Zanzibar hupata changamoto kubwa ya kisaikolojia ukanda huu wa Afrika Mashariki

Serious kabisa, mi nipo unguja hapa tunapitia wakati mgumu kweli. Kwa mfano kama upo zako barabarani ukiwa umeshikilia biblia mkononi unaenda kanisani ukisimamisha daladala baadhi ya madereva wanakupita tu hata kama gari haijajaa

acha kuwa na inferior complex mkuu.
 
Yni m kila siku zikienda nazidi kuwashusha hawa wanocomment kuhusu Uislamu

Inshort we hata uchukie,unune mpk uvimbe UISLAMU utafuatwa popote pale tena jiangalieni vizuri huenda kwenye familia zenu wapo waloslimu ila hawataki kuwaambia.

Yni hili jukwaa la JF full dhihaka kwa Uislamu lkn bdo unapeta tu na kukua kadri siku zinavokwenda
 
Yni m kila siku zikienda nazidi kuwashusha hawa wanocomment kuhusu Uislamu

Inshort we hata uchukie,unune mpk uvimbe UISLAMU utafuatwa popote pale tena jiangalieni vizuri huenda kwenye familia zenu wapo waloslimu ila hawataki kuwaambia.

Yni hili jukwaa la JF full dhihaka kwa Uislamu lkn bdo unapeta tu na kukua kadri siku zinavokwenda
Jipe moyo..ni haki yako kujifariji...watu wameanza kufunguka na wengi wanaukimbia uislamu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mmefika kwenye nchi ya watu fuateni utamaduni wa wenyeji mliowakuta mmekaribishwa kuishi mnataka mfuge mpaka nguruwe mtembee uchi ndio mnaita uhuru mnaonyimwa mkimisi kutembea uchi rudini huku dsm mtembee uchi kutwa nzima hakuna atakae wauliza
 
Labda tujifunze kwa waislam wanaoishi Ulaya na Marikani.

Ingawa nao wanabaguliwa na kudharauliwa, wakati mwengine wakezao hunyanyaswa au hushambuliwa kwa kuvaa tu hijabu.

Hadi wazungu nao na wale wenyeji wenye siasa kali sikuhizi wanasilimu
acha kutunga story lete ushahid
 
Inawezekana ni kweli chuki ya Waislam kwa Wakristu ni kubwa zaidi lakini maranyingi huwa hatuoni kama shida hii Waislam wanaipata pia kwenye nchi nyingi sana, tumekuwa tukiwabeza za kuona wanapenda kulalamika kila walipodai haki yao ya kuabudu. Kuna matukio machafu sana wamefanyiwa Waislam na dunia imekuwa kimya sababu machungu yao hayatuhusu.

Kuna miaka Spain iliua Waislam kwa wingi ili kuwafuta kabisa na kuwalazimisha kubadilisha dini na juzi tu hapa Waislam wa Rohingya wametendewa hayo hayo lakini hatuna hata habari ya kujua haya sababu Waislam ndio wanaongoza kwa chuki dhidi ya wengine wanapaswa kutendewa haya!

*The universe is based on a fair exchange. What you give you will get. As long as karma exists, the world changes.

View attachment 2329101View attachment 2329102
huwa mnalalamika bila ushahid , mara mfumo kristo wakat kiongiz ni muislam
 
Sio wote wenye ubaguzi ila kuna sehemu duniani wanajua dini yao tu ndio bora
Rohingya genocide tunaikumbuka vizuri
Hata kuna sehemu kama Scotland ukijichnaganya na kanzu unamwagiwa pombe (nimeshuhudia kwa macho)

Sio wote wabaya bali pia wapo pande zote
jiulize kwann waliuawa ? wao walikuwa wanaua wengine eti wanapigania sharia , ulitaka waachwe ? the same huko india mliigawanya India mkidai mnataka kubakia wa dini moja mlipewa Pakistan bado hamkuridhika mmeanza kwenda kujazana huko India ili next time mdai sehem nyingne ya India
 
Mmefika kwenye nchi ya watu fuateni utamaduni wa wenyeji mliowakuta mmekaribishwa kuishi mnataka mfuge mpaka nguruwe mtembee uchi ndio mnaita uhuru mnaonyimwa mkimisi kutembea uchi rudini huku dsm mtembee uchi kutwa nzima hakuna atakae wauliza
duh akili kisoda
 
Je Hindus, na wale ambao hawana Imani au ni Minority hapa Tanzania nao waseme nini ?

To each his/her own imani yako ni yako mimi wala yule haimuhusu wala haitaji kuifahamu kwahio busara ni asikunyanyase wala wewe usimyanyase / bughudhi na imani yako wewe
 
jiulize kwann waliuawa ? wao walikuwa wanaua wengine eti wanapigania sharia , ulitaka waachwe ? the same huko india mliigawanya India mkidai mnataka kubakia wa dini moja mlipewa Pakistan bado hamkuridhika mmeanza kwenda kujazana huko India ili next time mdai sehem nyingne ya India

Mbona povu linakutoka hivyo
Unajua historia ya Myanmar au umeanza kuijua jana
Matatizo haya yalianza 1947 kasome historia zaidi
Waingereza ndio walianza hili bifu
Kajifunze
Unaonekana dini imekuvuruga
 
wanayofanya ayo wako mbali na uislamu na mafundisho aliyotuletea mtume muhamad s.a.w enzi za uhai wa mtume muhamad s.a.w alikuwa anaishi nao watu wa dini tofauti bila ya kuwafanyia vitimbi vya aina yoyote ni haramu muislamu kumpiga vita mtu wa dini nyingine ikiwa yeye akupigi vita na anaishi na wewe kwa amani.
 
Wakristo hupenda kuwasakisia waislamu kwa matendo haya. Bila kujiangalia wao katika Nchi za wakristo wengi. Waislam wakiwa wachache. Nchi kama Ufaransa, Austria, poland, spain, italy, usa, mexico, Brazil, denmark, na Ureno. Waislam ambao wako kwenye hizi. Nchi wanaishi kwenye hali isiyo na uhuru.
 
Wakristo hupenda kuwasakisia waislamu kwa matendo haya. Bila kujiangalia wao katika Nchi za wakristo wengi. Waislam wakiwa wachache. Nchi kama Ufaransa, Austria, poland, spain, italy, usa, mexico, Brazil, denmark, na Ureno. Waislam ambao wako kwenye hizi. Nchi wanaishi kwenye hali isiyo na uhuru.
Samahani mkuu unamaanisha uhuru wa aina gani? Ukiwa Mwislamu wa madhehebu yanayochuukiwa una uhuru zaidi katika nchi hizo kuliko nyumbani kwako. Mjini Tehran (Iran, dini rasmi ni Islam ya Kishia) hakuna msikiti ya Wasunni. Wasunni Wairani wanaweza kujenga msikiti Uingereza, Marekani na kadhalika.
Ukiwa Shia uko hatarini kwenye nchi kama Afghanistan na Pakistan, mabomu yanategwa katika misikiti yao mara kwa mara. Washia kutoka huko huwa na msikiti yao wakihama Ulaya, wakiishi salama.
Nchini Austria Uislamu ni dini inayotambuliwa na serikali tangu zaidi ya miaka 100. Raia waislamu wa Austria wakiingia jeshini wana haki kupata chakula halal , jeshi linamwajiri imamu 1 kwa wanajeshi Waislamu.
Nimekuta Jeshi la Ufaransa lina maimamu 8 kwa wanajeshi Waislamu.
Nchini Ujerumani Waislamu Waalawi wana haki ya kuwafundiiha watoto dini shuleni ilhali walimu wanalipwa na serikali (kama wako wanafunzi Waalawi wa kutosha). Pale Uturuki ambako familia zao walitoka kiasili, haiwezekani kuwafundisha watoto mafundisho ya dhehebu lao.
 
Inawezekana ni kweli chuki ya Waislam kwa Wakristu ni kubwa zaidi lakini maranyingi huwa hatuoni kama shida hii Waislam wanaipata pia kwenye nchi nyingi sana, tumekuwa tukiwabeza za kuona wanapenda kulalamika kila walipodai haki yao ya kuabudu. Kuna matukio machafu sana wamefanyiwa Waislam na dunia imekuwa kimya sababu machungu yao hayatuhusu.

Kuna miaka Spain iliua Waislam kwa wingi ili kuwafuta kabisa na kuwalazimisha kubadilisha dini na juzi tu hapa Waislam wa Rohingya wametendewa hayo hayo lakini hatuna hata habari ya kujua haya sababu Waislam ndio wanaongoza kwa chuki dhidi ya wengine wanapaswa kutendewa haya!

*The universe is based on a fair exchange. What you give you will get. As long as karma exists, the world changes.

View attachment 2329101View attachment 2329102
Wenye chuki ya kikweli kweli dhidi ya Imani ya wenzako watapita kimya kimya kama vile hajaiona hii post yako.
 
Samahani mkuu unamaanisha uhuru wa aina gani? Ukiwa Mwislamu wa madhehebu yanayochuukiwa una uhuru zaidi katika nchi hizo kuliko nyumbani kwako. Mjini Tehran (Iran, dini rasmi ni Islam ya Kishia) hakuna msikiti ya Wasunni. Wasunni Wairani wanaweza kujenga msikiti Uingereza, Marekani na kadhalika.
Ukiwa Shia uko hatarini kwenye nchi kama Afghanistan na Pakistan, mabomu yanategwa katika misikiti yao mara kwa mara. Washia kutoka huko huwa na msikiti yao wakihama Ulaya, wakiishi salama.
Nchini Austria Uislamu ni dini inayotambuliwa na serikali tangu zaidi ya miaka 100. Raia waislamu wa Austria wakiingia jeshini wana haki kupata chakula halal , jeshi linamwajiri imamu 1 kwa wanajeshi Waislamu.
Nimekuta Jeshi la Ufaransa lina maimamu 8 kwa wanajeshi Waislamu.
Nchini Ujerumani Waislamu Waalawi wana haki ya kuwafundiiha watoto dini shuleni ilhali walimu wanalipwa na serikali (kama wako wanafunzi Waalawi wa kutosha). Pale Uturuki ambako familia zao walitoka kiasili, haiwezekani kuwafundisha watoto mafundisho ya dhehebu lao.
nimekuta pia Military chaplain Mwislamu katika jeshi la Uingereza ana itwa Flight Lieutenant Ali Omar, kiasili mwenyeji wa Mombasa aliyehamia Uingereza.
 
Back
Top Bottom