Wakristo wanaoishi Zanzibar nawashauri kufanya hivi kipindi Ramadhan

Halafu bado mnasema kuna muunganiko.. bulsht
 
Hehehe 😂 makafiri bana hemu jaribu siku moja njoo kwenye hivi visiwa vitukufu afu kula mchana uone mvua ya viboko itakayo kuangukia naamini utakwenda kuwahadisia makafiri wenzako
 
huo ni wendawazimu, kwa hali hiyo umasikini utatokaje? Unafunga hotel eti ili upate thawabu unaacha kuuzia watu bidhaa upate fedha unasubiri jioni

hizo hoteli zinazofungwa wenyewe ni wazungu mkuu. Infact wazungu huwa wanaungua sana kipindi cha mfungo amoja na misimu ya mvua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…