Wakristo wanaoishi Zanzibar nawashauri kufanya hivi kipindi Ramadhan

Wakristo wanaoishi Zanzibar nawashauri kufanya hivi kipindi Ramadhan

Kukatwa kichwa hizo ni propaganda za wakiristo wenye msimamo mkali kama wewe. Hajawahi kukatwa kichwa mtu, hizo ni propaganda zako tu. Waislam watu wenye amani sana tofauti na wengine. Angalia Drc sasa huko akina M23
Vipi kuhusu kuchapwa bakora, yaani ukitaka kula mpaka ujifiche chimbo kali usionekane?
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Mfungo wa kweli ni ule wa kuruhusu majaribu na kuyashinda. Yani unatoa usiku, halafu unaanzaje kuushindanisha na mchana?
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Hivi Kuna uwezekano wa kufunga na kutamani kula ukiona chakula?
 
Kukatwa kichwa hizo ni propaganda za wakiristo wenye msimamo mkali kama wewe. Hajawahi kukatwa kichwa mtu, hizo ni propaganda zako tu. Waislam watu wenye amani sana tofauti na wengine. Angalia Drc sasa huko akina M23
propaganda??????? mbona hili linafahamika toka miaka ya Mohamed ni kuuua tu. Hao M23 wanapigania imani? suala la waisilamu kukata vichwa wasio waisilamu ni sunna.....hili linafahamika dunia nzima inafahamu dini ya machafuko ni uislamu .... unazungumzia m23? nenda Yemen, Syria, Sudan, Somalia, M23 haqajihusishi na Imani wanapigana kisiasa. na huko huko Congo kuna Wakiristo zaidi ya 20 walilatwa vichwa kanisani na Waisilamu . ni kawaida kwa hali hiyo kufanywa na waisilamu. nioneshe mstari katika Qurani ambao allah anasema anawapenda watu wake. so Wakristo huko Zanzibar wawe makini watachapwa viboko, kupigwa au kumwagiwa tindi kali kama yule padre. ni kawaida kwa DINI yetu ya KIIslamu haya majanga yapo sana ndo ilivyo imani yetu
 
Kukatwa kichwa hizo ni propaganda za wakiristo wenye msimamo mkali kama wewe. Hajawahi kukatwa kichwa mtu, hizo ni propaganda zako tu. Waislam watu wenye amani sana tofauti na wengine. Angalia Drc sasa huko akina M23
Uisilamu HAIJAWAHI KUWA DINI YA AMANI. NI YA MAUAJI TOKA INAANZISHWA NA MWANZILISHI WAKE. ALIUA, ALIPORA WANAWAKE, ALIPORA MALI, ALITEKA MALI. HAIJAWAHI NA HAITAWAHI KUWA DINI YA AMANI. HATA SIKU MOJA. MSOME TU MUDDY UTAMWONA. AMEUA SANA. AMEOA KITOTO CHA MIAKA 6. AMEPORA SANA.
 
Uisilamu HAIJAWAHI KUWA DINI YA AMANI. NI YA MAUAJI TOKA INAANZISHWA NA MWANZILISHI WAKE. ALIUA, ALIPORA WANAWAKE, ALIPORA MALI, ALITEKA MALI. HAIJAWAHI NA HAITAWAHI KUWA DINI YA AMANI. HATA SIKU MOJA. MSOME TU MUDDY UTAMWONA. AMEUA SANA. AMEOA KITOTO CHA MIAKA 6. AMEPORA SANA.
View attachment 3254951
Kwahyo tukusaidiaje ankoli?
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Kwa nini wapagani wa Kiarab wa Makkah walifunga kabla ya ujio wa Uislam?
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Wakumbushe vizuri, ànayetakiwa kujificha sana wakati wa kula mwezi huu Ramadan ni muislam asiyefunga. Maana ukifanikiwa kumuona mkristo anakula mchana ndani yà mwezi huu huwezi kuona ajabu. Ila ukifanikiwa kumuona muislam anakula mchana wa Ramadan utamshangaa sana.
Hivyo ànayetakiwa kujificha sana kulà mçhanà ni muislam.
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Na kwaresima inaanza, kama wana nia ya kufunga basi hakuna atakayemkwaza mwenzie.
 
Kuna wakati nina amini miungu wako wengi.
wakati mwingine mungu wako wewe ndio shetani wangu mimi.
Waumini wanachukizwa na wanao kula wakati wa mfungo,
waumini hawana shida kabisa na mashoga!!!
 
Yani Zanzibar kunachekesha sana, unakuta duka limefunguliwa, lakini ukiomba uuziwe soda wanakataa mpaka ifike jioni.
Bakora Zenji nizakufikia tu wakati wa Ramadhani,
 
Yani Zanzibar kunachekesha sana, unakuta duka limefunguliwa, lakini ukiomba uuziwe soda wanakataa mpaka ifike jioni.
Bakora Zenji nizakufikia tu wakati wa Ramadhani,
Wewe utakuwa unaumwa chekelea tu sioni cha kuchekesha hapo
 
Back
Top Bottom