Wakristo wanaoishi Zanzibar nawashauri kufanya hivi kipindi Ramadhan

Wakristo wanaoishi Zanzibar nawashauri kufanya hivi kipindi Ramadhan

Wewe utakuwa unaumwa chekelea tu sioni cha kuchekesha hapo
Kama siyo comedy ni nini? Kwanini ufungue duka asubuhi halafu bidhaa uuze jioni? Cha kushangaza, ukinunua soda zaidi ya tano wanakubali kuuza. Kisingizio eti wanaamini ni za kunywa jioni wakati wa futari. Akili za hawa wazee wa kizanzibar wanatoa maskani
 
Vipi kuhusu watalii?

mbona huwa wanatii sheria, mabeberu sio wasumbufu, na ndio mana utalii mwezi wa mfungo huwa unashuka sana wengi huwa hawaji, hata kuna baadhi ya mahoteli huwa yanafungwa kaisa
 
Ingekuwa uwezo wangu, iwe kwa vita au amani, Unguja na Pemba zingekuwa mikoa ya Tanganyika.
 
Dini ya kulazimishana halafu eti wanajiita wafuasi wa dini ya haki, dini ya mnyaazi mungu.
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Huko ni kuingilia mipaka ya mtu , kama yeye kaamua kula na hausiki na dini hiyo ni uamuzi wake tu,

Tusipangiane maisha BWANA
 
Wajue kabisa huko kumejaa Waisilamu na huwa hawapendi kutamanishwa chakula wao wakiwa na njaa. So wasidhani watabaki salama. Waisilamu huwa wanatandika bakora,mawe au kuwakata vichwa watu ambao si wa imani yao wanapotaka ishi maisha yao. Waelewe hayo hatutaki lawama wameshaonywa tayari. Wasidhani zanzibar ni bara.
Useless 🚮🚮🚮
 
Nawashauri wasile mchana sehemu za wazi, wajifungie ndani wakitaka kula au kunywa. Asieweza kufanya hivyo aje Tanganyika ale atakavyo.

Zanzibar kuna bakora isio rasmi na kuna mahabusu kwa makosa haya, jiepushe nayo.

Huwezi kwenda marekani ukataka kuharibu mila zao.

Kuna msemo kwamba Ikulu ya wananchi lkn sio kila mwananchi ni ikulu.

Ukumbosho.

Petro 1:12-13
"Kwa hiyo, hata mimi nikiishi miongoni mwenu, nitatamani kuwakumbusha mambo haya mara kwa mara, ingawa mkiwa mmeyajua na imara katika kweli iliyo kwenu."
Petro anasisitiza umuhimu wa kumkumbusha muumini kuhusu ukweli wa imani, hata kama wanajua hayo tayari, ili wasisahau.

Ramadhani njema kesho inshallah
Ile ya Zanzibar ni ujinga tena wa kujitakia. Unakataza watu wasile hapo hapo unalilia watalii kuja kwenu kushuhudia ujinga wenu. mambo haya ya kijinga waachieni wenyewe waarab nyie wabantu hayawahusu.
 
mbona huwa wanatii sheria, mabeberu sio wasumbufu, na ndio mana utalii mwezi wa mfungo huwa unashuka sana wengi huwa hawaji, hata kuna baadhi ya mahoteli huwa yanafungwa kaisa
huo ni wendawazimu, kwa hali hiyo umasikini utatokaje? Unafunga hotel eti ili upate thawabu unaacha kuuzia watu bidhaa upate fedha unasubiri jioni
 
Zanzibar ukipuliza filimbi watu wote wanasikia,Zanzibar naweza kuimaliza kwa baiskeli kwa dakika 20- Ally Kessy.Hako Katarafa kasitusumbue .
 
Huku Moshi ndio tunatoka kanisani na kuwapa watoto vitabu vya nyinbo na biblia na nyama buchani sisi tunabaki tunastua mbege bia na konyagi kabla ya kwenda nyumbani kumshushia chalari nyama mchana...
 
Kwa kuwa zanzibar si nchi, ni sehemu ya Tanzania huo utamaduni wa kunyanyasa wakristo haukubaliki na italazimishwa iwe kama bara watu wanakula mchana peupe bila kificho tena kwenye viunga vya misikiti. Wabara waingie zanzibara kwa wingi ongeza na watalii wa nje ili tu kuuvuruga na kutfutilia mbali utamaduni huo wa kishenzi kunyanyasa raia wasioamini imani hiyo kulazimishwa kufuata utamaduni huo wa kufunga kula mchana
 
Wewe tahira kipi kiheshimiwe kati ya mila na katiba?
Kuna sehemu ndani ya katiba imekataza mtu kula mchana mbele ya umma?
 
Back
Top Bottom