NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Kwa waislam wengi mambo ya kuvunja ndoa yanamalizwa kimya kimya bila hata mahakama kuhusika, wapo wanawake wanaoenda mahakamani kudai haki za mali lakini ni wachache.
Kwenye ukristo shughuli ipo tofauti, ndoa hadi inavunjika hapo ni kwamba mahakama imehusika na imeshatoa hati ya ndoa kuvunjika, baada ya hapa kinachobaki huwa ni zoezi la mali kugawanywa ..hata kama ulimfumania mkeo analiwa, ndoa ikivunjwa lazima mgawane mali.
Yani hapa wanasheria wakishajua ndoa yenu imevunjika wanamuona mke wako ni mgodi, watamsaka wamsaidie kwa namna yoyote ili mali wapewe mgao wao wa uhakika.
Sheria ni kwamba mali za kugawana ni zile ambazo zilianza kuwepo baada ya ndoa lakini kiuhalisia huko mahakamani kama huna connection nzito jihesabie tu kwamba pasu kwa pasu, tena haraka tu.
Hapa si ajabu kusikia mtu kaua mke wake ili ayamalize hayo maumivu, ndio hizi kesi tunaona mtu alieua na jinsi alivyo tunapata mshangao, unakuta mwanaume mstaarabu kaua mke wake yani tukio alilofanya na jinsi alivyo haviendani kabisa.
Kwenye ukristo shughuli ipo tofauti, ndoa hadi inavunjika hapo ni kwamba mahakama imehusika na imeshatoa hati ya ndoa kuvunjika, baada ya hapa kinachobaki huwa ni zoezi la mali kugawanywa ..hata kama ulimfumania mkeo analiwa, ndoa ikivunjwa lazima mgawane mali.
Yani hapa wanasheria wakishajua ndoa yenu imevunjika wanamuona mke wako ni mgodi, watamsaka wamsaidie kwa namna yoyote ili mali wapewe mgao wao wa uhakika.
Sheria ni kwamba mali za kugawana ni zile ambazo zilianza kuwepo baada ya ndoa lakini kiuhalisia huko mahakamani kama huna connection nzito jihesabie tu kwamba pasu kwa pasu, tena haraka tu.
Hapa si ajabu kusikia mtu kaua mke wake ili ayamalize hayo maumivu, ndio hizi kesi tunaona mtu alieua na jinsi alivyo tunapata mshangao, unakuta mwanaume mstaarabu kaua mke wake yani tukio alilofanya na jinsi alivyo haviendani kabisa.