Wakristo wengi huhofia mali kugawanywa pasu kwa pasu ndio maana hawaachani hata wakifumania wake zao

Wakristo wengi huhofia mali kugawanywa pasu kwa pasu ndio maana hawaachani hata wakifumania wake zao

Kwa waislam wengi mambo ya kuvunja ndoa yanamalizwa kimya kimya bila hata mahakama kuhusika, wapo wanawake wanaoenda mahakamani kudai haki za mali lakini ni wachache.

Kwenye ukristo shughuli ipo tofauti, ndoa hadi inavunjika hapo ni kwamba mahakama imehusika na imeshatoa hati ya ndoa kuvunjika, baada ya hapa kinachobaki huwa ni zoezi la mali kugawanywa ..hata kama ulimfumania mkeo analiwa, ndoa ikivunjwa lazima mgawane mali.

Yani hapa wanasheria wakishajua ndoa yenu imevunjika wanamuona mke wako ni mgodi, watamsaka wamsaidie kwa namna yoyote ili mali wapewe mgao wao wa uhakika.

Sheria ni kwamba mali za kugawana ni zile ambazo zilianza kuwepo baada ya ndoa lakini kiuhalisia huko mahakamani kama huna connection nzito jihesabie tu kwamba pasu kwa pasu, tena haraka tu.

Hapa si ajabu kusikia mtu kaua mke wake ili ayamalize hayo maumivu, ndio hizi kesi tunaona mtu alieua na jinsi alivyo tunapata mshangao, unakuta mwanaume mstaarabu kaua mke wake yani tukio alilofanya na jinsi alivyo haviendani kabisa.
Hujui sheria, hata kwa waislamu, mmoja wapi akichagua kwenda mahakamani,sheria inachukua mkondo wake! 50% by 50%
 
si dhani kama ni sababu kwakua kama ni swala la kugawana mnagawana vile mlivyotafuta pamoja.
Nina mshikaji wangu toka tukiwa wadogo mpka tumekua aliachiwa nyumba ya urithi na yy qkajenga yake kabla hajaoa ila alipokuja kuoa akajenga nyingine ndogo wakhi na mkewe kwa muda kiasi wakapishana wakiwa na watoto wawili mke anaenda mahakamani mwishoe akaambulia patupu kwakua mwamba alioeleka maelezo ya jinsi alivyotafuta mali na zipi walichuma na mke wakaishia kuambiwa nyumba ni ya watoto mwanamke akaondoka patupu
 
Kwenye ndoa waislam wapo vizuri Sana. Shida wana ubinafsi sana, wabaguzi hawataki bint zao waolewe..

Huku kwa wakristo mambo ya ndoa Ni kifungoni.

et hadi kifo kiwatenganishe hapo mwanamke akilwa nje atajua anaenda kwa kushauriwa na viongozi badae mambo yanakaa sawa..happy lazima mauaji yatokee.

Hakuna mwanamke mwenye dharau na kiburi Kama msaliti.
skuhizi mambo yote mnamaliza mahakamani sio kama zamani mpka kifo skuhzi mahakama inatenganisha kila mtu anasepa na zake
 
Mh,

Mathayo 19:9"Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, anazini"

Ikumbukwe Mathayo alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili.
 
Kwa waislam wengi mambo ya kuvunja ndoa yanamalizwa kimya kimya bila hata mahakama kuhusika, wapo wanawake wanaoenda mahakamani kudai haki za mali lakini ni wachache.

Kwenye ukristo shughuli ipo tofauti, ndoa hadi inavunjika hapo ni kwamba mahakama imehusika na imeshatoa hati ya ndoa kuvunjika, baada ya hapa kinachobaki huwa ni zoezi la mali kugawanywa ..hata kama ulimfumania mkeo analiwa, ndoa ikivunjwa lazima mgawane mali.

Yani hapa wanasheria wakishajua ndoa yenu imevunjika wanamuona mke wako ni mgodi, watamsaka wamsaidie kwa namna yoyote ili mali wapewe mgao wao wa uhakika.

Sheria ni kwamba mali za kugawana ni zile ambazo zilianza kuwepo baada ya ndoa lakini kiuhalisia huko mahakamani kama huna connection nzito jihesabie tu kwamba pasu kwa pasu, tena haraka tu.

Hapa si ajabu kusikia mtu kaua mke wake ili ayamalize hayo maumivu, ndio hizi kesi tunaona mtu alieua na jinsi alivyo tunapata mshangao, unakuta mwanaume mstaarabu kaua mke wake yani tukio alilofanya na jinsi alivyo haviendani kabisa.
Sidhani kama ni kweli sana.Watu wengi(si wote) wakizidiwa na mazito ya kwenye ndoa huachana/kwenda mahakamani.Haijalishi dini yao/zao.
 
Ukiwa mjanja mwanamke mpumbavu usimpe talaka,unamkatia mirija halafu unaendelea na maisha yako,akiondoka yeye bila kufukuzwa inakuwa nzuri zaidi,maana hata akipenda mahakamani unamgeuzia kibao tu
 
sasa umeshaambiwa hakuna kitu kama hicho ktk bible umekomaa.bible ni ile ile shida ni akili mbovu kama za hao wanaof1rana hata huko uarabuni au zenj.
au Kama yule padri wenu aliyefffira watoto kumi ?
 
Ukweli ni kuwa chanzo kikubwa cha wana ndoa kutokuachana ni Kanisa
Catholic case ya ndoa mpaka maamuzi inaweza chukua miaka 5
 
Kwenye ndoa waislam wapo vizuri Sana. Shida wana ubinafsi sana, wabaguzi hawataki bint zao waolewe..

Huku kwa wakristo mambo ya ndoa Ni kifungoni.

et hadi kifo kiwatenganishe hapo mwanamke akilwa nje atajua anaenda kwa kushauriwa na viongozi badae mambo yanakaa sawa..happy lazima mauaji yatokee.

Hakuna mwanamke mwenye dharau na kiburi Kama msaliti.
Ubinafsi lazima kwasababu ukimuoa muislamu anakuwa chini ya Sheria ya mume mkristo hapo unakuwa umepoteza muislamu
 
Ndoa ni suala la dini, wala sio mila kama watu wanavosema kwasbb ndoa hufungwa kanisani au msikitini, na hufungwa kwa sheria za dini (kwa waislam), upande wa wakristo sijui ila kwa vile inafungwa kanisani basi naamini hufungw kwa sheria z kikristo pia.

Linapokuja suala la kuvunja hii ndoa, inabidi ivunjwe kidini kama ambavyo ilifungwa.
Kwa waislam kuna process zake kama vikao vya wazazi pande zote mbili, talaka moja, talaka ya pili na ikishindikana kabosa, viongoz wa dini watashirikishwa(kumbuk ilofungw kidini) na wakishindwa kusuluhisha basi TALAKA INAPITA.(kuachana mazima)

Hata baada ya kuachana, sheria bado inaendelea kuongelea majukumu ya kila mmoja juu ya watoto waliopatikana na haki za mwanamke, mfano, m'ke ataondoka na mahari yake. Watoto kama ni chini ya balegh bas watakua chin ya uangaliz wa mama yao na baba yao atahusika 100% kuwahudumia, na watakapofika balegh kiakili bas watakua chini ya uangalizi wa baba mpk pale watakapotoka mikonon mwake kama ni m'ke, bas mpk pale atakapoolewa, hapo nd anatoka chin ya uangalizi wake.

Kama ndoa ni suala la dini basi kila kitu inabidi kimalizwe kidini, unless kama haikufungwa kwa misingi ya dini.

Kuishirikisha mahakama katika suala la kidini ni udhaifu (staki kusema udhaifu wa nini).
 
Ndoa ni suala la dini, wala sio mila kama watu wanavosema kwasbb ndoa hufungwa kanisani au msikitini, na hufungwa kwa sheria za dini (kwa waislam), upande wa wakristo sijui ila kwa vile inafungwa kanisani basi naamini hufungw kwa sheria z kikristo pia.

Linapokuja suala la kuvunja hii ndoa, inabidi ivunjwe kidini kama ambavyo ilifungwa.
Kwa waislam kuna process zake kama vikao vya wazazi pande zote mbili, talaka moja, talaka ya pili na ikishindikana kabosa, viongoz wa dini watashirikishwa(kumbuk ilofungw kidini) na wakishindwa kusuluhisha basi TALAKA INAPITA.(kuachana mazima)

Hata baada ya kuachana, sheria bado inaendelea kuongelea majukumu ya kila mmoja juu ya watoto waliopatikana na haki za mwanamke, mfano, m'ke ataondoka na mahari yake. Watoto kama ni chini ya balegh bas watakua chin ya uangaliz wa mama yao na baba yao atahusika 100% kuwahudumia, na watakapofika balegh kiakili bas watakua chini ya uangalizi wa baba mpk pale watakapotoka mikonon mwake kama ni m'ke, bas mpk pale atakapoolewa, hapo nd anatoka chin ya uangalizi wake.

Kama ndoa ni suala la dini basi kila kitu inabidi kimalizwe kidini, unless kama haikufungwa kwa misingi ya dini.

Kuishirikisha mahakama katika suala la kidini ni udhaifu (staki kusema udhaifu wa nini).
Ndoa za kimila zipo hata hapa Tanzania.
 
Ndoa za kimila zipo hata hapa Tanzania.
Sijakataa.

Na kama ndoa itafungwa kimila basi katika kutengana warudi katika mila zao zitengue ndoa yao. Unfortunatrly mila hazina written law. Kwaio watkavoamua kwa maneno ya mdomo watavunja hivo.

Lkn mkifunga kidini muivuje kidini,

Mkifunga kiserikali basi ivunjwe kiserikali ambapo nd mahakama inaingia hapo.
 
Sijakataa.

Na kama ndoa itafungwa kimila basi katika kutengana warudi katika mila zao zitengue ndoa yao. Unfortunatrly mila hazina written law. Kwaio watkavoamua kwa maneno ya mdomo watavunja hivo.

Lkn mkifunga kidini muivuje kidini,

Mkifunga kiserikali basi ivunjwe kiserikali ambapo nd mahakama inaingia hapo.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom