Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
umenena vyema mkuu
ubarikiwe
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.

Mtamaliza bucha zote, nyama ni ile ile.

images.jpeg


Jinping asikilizwe!
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
UJUMBE MZITO SANA HUU
NA UMEANZA NAO MWANZO.
UKWELI NI KWAMBA KUNA WATU WENGI WANAJIONA WAO NI WAKRISTO (WAFUASI WA YESU KRISTO)!
UKWELI NI KWAMBA WAO NI WAFUASI WA:
WA-MWAMPOSA
WA-GEODAVIE
WA-ZUMARIDI
WA-MALISA
NK NK
HAWA WANAHUBIRIWA INJILI YA MITUME NA MANABII WAO,SIO INJILI YA YESU KRISTO.
INJILI YA KULA KEKI, MAFUTA, KUPELEKA KUCHA, NYWELE, NK NK SIO MAANGIZO YA KRISTO.
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
Dini au dhehebu sio vitu vizuri!

Waliovianzisha ni watu na walikua na malengo yao!mtu hapaswi kuwa na imani Kwa upande fulani au fulani anapaswa asome ajifunze na asikilize sauti ya ndani ya aliemuumba iamwambia Nini juu ya like alichojifunza na atapata muongozo!!

Madhehebu yote yana kasoro na hayapaswi kuaminiwa hasta kidogo bali tunapaswa kukusanyika ili kubadilishana mawazi tu kumhusu mungu na sio kuyaamini!!

Hivyo TU!
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
Mkuu hongera na kongole kwa hili utafika mbali na Mungu aendelee kukutunza na kutunza unachokielewa, umenipa mwanga wa kile nakisema kila siku kanisani kwangu kuwa inafika mahali tunamwabudu sana mchungaji wetu na huku Mungu hatumheshimu
 
Mkuu maneno yako ni sahihi, aliyekufa kwa ajili ya dhambi zako ni Bwana Yesu, huyo ndiye wa kumsikiliza anasemaje.

Kama Papa, Askofu, Padre, Mchungaji, Nabii, Mwinjilisti, au awaye yoyote, akikwambia kitu kilicho kinyume na maneno ya Mungu huyo mkimbie haraka.
 
Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
Kikazi cha uvivu uvivu kinachosubiri kutafuniwa na kumezewa kila kitu kama Me wa Dar walioshindwa kutafuna hata miwa hadi watengenezewe juisi za miwa....[emoji851]
 
Binafsi dini naichukulia kama mila au tamaduni tu, I was born christian, nimeikutakwa sababu hiyo nikaifuata kama ambavyo kuna tamaduni nimezikuta na kuzifuata.

Dini/dhehebu halijawahi kunipa stress coz najua ni issue imeletwa na waliokuwa very smart back in the days.
 
Sisi tunaomuamini Yesu Wala hatuna presha...

Kanisa ni miili yetu wenyewe na Yesu ndo anakaa ndani yetu...
MITHALI 27:1-2.

Usijisifu kwa ajili ya kesho;
Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.
Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe;
Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.

MATENDO YA MITUME 17:11.

Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo.
 
Back
Top Bottom