Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

Haiwezekani. Madhehebu ndo ukristo wenyewe.

Wewe mwenyewe unaongea tu ila huwa unajisifia unajivunia kuwa msabato.

Kila dhehebu ni dini ndogo ndogo mnajifanya wote wakristo ila nyuma ya picha mnasemana.
2 TIMOTHEO 3:16-17.

Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
 
Tupate frustration kisa Pope?? We kuweza huo ujinga?

Before yeye walikuwapo, na after yeye watakuja wengine..
Imani ya mtu haiko kwa Pope,, tunaendelea kusoma biblia ile ile,, na vitabu vile vile,, wakileta vipya watasoma wao na mashoga wenzao babu…

Ni kama tu Tanzania tulikuwa na maraisi waliopita, mambo yalikuwa laini.
Since kaja jiwe mambo yamekuwa magumu siku hizi ni mwendo wa kuweka grisi kwenye vyuma.
 
Huyu mnafiki pia. Maana hata wao wachina wanadini zao Confucianism, Taoism, and Buddhism.

na huo ubudha na wenyewe wamerithi kwa wahindi na wanepali.

I. Umeiona tofauti hizi na wengine kote duniani?

1.
IMG_20231219_120328.jpg


2.
IMG_20231219_120425.jpg


3.
IMG_20231219_120507.jpg


II. Hauoni tuna matatizo ya msingi?

III. Hudhani tunauhitaji kujitafakari ndugu?
 
I. Umeiona tofauti hizi na wengine kote duniani?

1. View attachment 2846936

2. View attachment 2846938

3. View attachment 2846939

II. Hauoni tuna matatizo ya msingi?

III. Hudhani tuhitaji kujitafakari ndugu?
Haya sio matatizo maana hata hivyo karibu 90% ya wakristo ni waaminifu kwa mila na desturi kisirisiri kuliko hata hizo dini wanazojitqmbulisha nazo hadharani.

Kwa mtazamo wangu waislam na wakristo hawakufanikiwa. Ndio maana sisi tunaendelea kusisitiza mahusia no kati ya mtu na mamlaka ya Uungu. Maana waru wengi walipokea dini kama mila tu.
 
UJUMBE MZITO SANA HUU
NA UMEANZA NAO MWANZO.
UKWELI NI KWAMBA KUNA WATU WENGI WANAJIONA WAO NI WAKRISTO (WAFUASI WA YESU KRISTO)!
UKWELI NI KWAMBA WAO NI WAFUASI WA:
WA-MWAMPOSA
WA-GEODAVIE
WA-ZUMARIDI
WA-MALISA
NK NK
HAWA WANAHUBIRIWA INJILI YA MITUME NA MANABII WAO,SIO INJILI YA YESU KRISTO.
INJILI YA KULA KEKI, MAFUTA, KUPELEKA KUCHA, NYWELE, NK NK SIO MAANGIZO YA KRISTO.

1. Mkuu ukiambiwa uthibitisho kuwa kuwa hawa si wa Kristo ni wa hao utakuwa nao?

2. Si imeandikwa: "usihukumu ili nawe usije ukahukumiwa."

3. Kulikoni wewe kujihesabia utakatifu dhidi ya wengine?
 
Wale wakristo wa madhehebu itabidi neema ya Yesu iwaangazie watoke huko kwenye madhehebu yao yameharibika Mungu hayupo huko wanajiongoza kwa akili zao tu ndio maana wameingiza mafundisho ya ajabu
 
Haya sio matatizo maana hata hivyo karibu 90% ya wakristo ni waaminifu kwa mila na desturi kisirisiri kuliko hata hizo dini wanazojitqmbulisha nazo hadharani.

Kwa mtazamo wangu waislam na wakristo hawakufanikiwa. Ndio maana sisi tunaendelea kusisitiza mahusia no kati ya mtu na mamlaka ya Uungu. Maana waru wengi walipokea dini kama mila tu.

1. Huoni pana tatizo kwetu kujifanya machampioni wa dini tulizoletewa kuliko waliozileta?

2. Inakuingia je akilini mkatoliki mtu yeyote kutaka kujifanya mkatoliki zaidi kuliko Papa?

3. Huoni mambo ya watu kutaka kumpenda mtoto kuliko mama yake?

4. #3 hapo, tukisema labda ni mafataki tutakuwa tumekosea?
 
siwezikujitesa mkuu.nitatafuna nyama tuu inatosha
Hutofautiani na wale wanaoamini ugali wa dona ni mchafu waking'ang'ania sembe pasipokujua faida za dona na hasara za sembe ilihali mahindi ya kuchomwa hutafuna vizuri sana bila ya kutoa maganda na viini vyake [emoji1].
 
Ivi wale watu wa walaka wa kupinga mkataba wa bandari wanaweza kuja na walaka wa kupinga kubariki ushoga kweli?
 
Dawa ni kusilimu kwa wingi na kwa maandamo
 
Tutabanana umo umo hatuami na atuwezi badili dini kwan izo sio nguo

Kila dini inamapungufu yake na ayo ndo mapungufu ya dini yetu pendwa so atuhami na atutahama

Magaidi wote dunian ni waislamu na wanafanya ugaidi wao kwa kutumia jina l dini ya islam wanauwa watoto wamama na watu waso na hatia na bado islam ni dini ya pili kwa ukubwa dunian
 
Tupate frustration kisa Pope?? We kuweza huo ujinga?

Before yeye walikuwapo, na after yeye watakuja wengine..
Imani ya mtu haiko kwa Pope,, tunaendelea kusoma biblia ile ile,, na vitabu vile vile,, wakileta vipya watasoma wao na mashoga wenzao babu…

Ni kama tu Tanzania tulikuwa na maraisi waliopita, mambo yalikuwa laini.
Since kaja jiwe mambo yamekuwa magumu siku hizi ni mwendo wa kuweka grisi kwenye vyuma.
Mkuu toka usingizini, jiwe ameshatangulia mbele ya haki
 
Kanisa ni moja, takatifu, Katoliki na la mitume.
Kanisa ni moja tu la Yesu kristo. Madhehebu ni vyama vya kidini. We mtazame Yesu, shika neno la Mungu.
Ukiendelea kuangalia hayo madhehebu Utakuja kuwa frustrated
 
Kanisa ni moja tu la Yesu kristo. Madhehebu ni vyama vya kidini. We mtazame Yesu, shika neno la Mungu.
Ukiendelea kuangalia hayo madhehebu Utakuja kuwa frustrated
Huyo Yesu... Alianzisha Kanisa Katoliki pekee.
 
Back
Top Bottom