Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

Wakristo wengi watapata Frustration hivi karibuni kwa sababu ifuatayo...

Wengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.

Utachelewa usiponielewa utakapogundua

Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.

Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.

Sasa kazi kwako,

Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
Neno hili nalitoshe kuwafanya Wakristo wajitambue. Inasikitisha Leo viongozi wa Dini ndo wanaabudiwa
 
Okey,mie sio mzuri katika maandiko.
Tusifundishane dhehebu lipi ni zuri na lipi c zuri.
Kikubwa Iman uliyonayo juu ya uwepo WA Mungu.
Kama Kuna mahubiri ambayo utahubiriwa na kulazimishwa kufanya basi jiangalie.
Lakini unshubiriwa na unachambua ubebr lipi uache lipi hakuna haja ya kutangatanga.
Hakuna dhehebu ambalo mhubiri ni Malaika.
Yakuambiwa,changanya nazakwako.
Kwani wamebadirisha biblia🤔🤔.

Hakuna ambako ni salama 100%
Kote huko Kuna changamoto c uislam,ubudha,ukristo,ushaulingi n.k
Kikubwa ujitambue basi.
 
Tumia Muda mwingi kiwafundisha watoto kujisimamia kiroho. Wafubdishe biblia.

Waanzishie tutions za maandiko.
Watu wengi wamewekeza ktk kuwa peleka watoto holiday, kywanununukua TV games, cartoon etc. Vyote hivyo haviuishi roho Bali vingine vunaiua kabisaa.
Tukiwa omba wachangie Kwenda Easter conference wanaona uzushi, kumbe tunataka kuwa saidia kuwajengea kiroho. Siku itafika mtoto atalaani mzazi kwanini hakumfundisha Imani....

Mimi kwanza lazima kila jion ibada ya saa moja, neno ikiwa ndio sehemu kubwa... Tunajadiliana mpaka unaona limeshazama.

Wazazi nawasihi... Nyakati hizi ni hatari, wajenge wanao ktk kumjua Bwana kabla kisasi cha bwana hakijashuka... 🙏
 
Msimamo wa Papa sio wa wakristu wote.
Sote kwa Imani yetu tunapinga na kukemea tabia ovu ya kishoga na usagaji
 
Back
Top Bottom