Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
2 TIMOTHEO 3:16-17.Haiwezekani. Madhehebu ndo ukristo wenyewe.
Wewe mwenyewe unaongea tu ila huwa unajisifia unajivunia kuwa msabato.
Kila dhehebu ni dini ndogo ndogo mnajifanya wote wakristo ila nyuma ya picha mnasemana.
Unajua faida za kutafuna miwa kwa meno zikoje kiafya, au sababu ni Mzungu hata akifanya upumbavu basi hana kasoro maana yeye ni Malaika?ushawahi kuona mzungu anatafuna muwa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyu mnafiki pia. Maana hata wao wachina wanadini zao Confucianism, Taoism, and Buddhism.
na huo ubudha na wenyewe wamerithi kwa wahindi na wanepali.
Haya sio matatizo maana hata hivyo karibu 90% ya wakristo ni waaminifu kwa mila na desturi kisirisiri kuliko hata hizo dini wanazojitqmbulisha nazo hadharani.I. Umeiona tofauti hizi na wengine kote duniani?
1. View attachment 2846936
2. View attachment 2846938
3. View attachment 2846939
II. Hauoni tuna matatizo ya msingi?
III. Hudhani tuhitaji kujitafakari ndugu?
UJUMBE MZITO SANA HUU
NA UMEANZA NAO MWANZO.
UKWELI NI KWAMBA KUNA WATU WENGI WANAJIONA WAO NI WAKRISTO (WAFUASI WA YESU KRISTO)!
UKWELI NI KWAMBA WAO NI WAFUASI WA:
WA-MWAMPOSA
WA-GEODAVIE
WA-ZUMARIDI
WA-MALISA
NK NK
HAWA WANAHUBIRIWA INJILI YA MITUME NA MANABII WAO,SIO INJILI YA YESU KRISTO.
INJILI YA KULA KEKI, MAFUTA, KUPELEKA KUCHA, NYWELE, NK NK SIO MAANGIZO YA KRISTO.
Haya sio matatizo maana hata hivyo karibu 90% ya wakristo ni waaminifu kwa mila na desturi kisirisiri kuliko hata hizo dini wanazojitqmbulisha nazo hadharani.
Kwa mtazamo wangu waislam na wakristo hawakufanikiwa. Ndio maana sisi tunaendelea kusisitiza mahusia no kati ya mtu na mamlaka ya Uungu. Maana waru wengi walipokea dini kama mila tu.
Hutofautiani na wale wanaoamini ugali wa dona ni mchafu waking'ang'ania sembe pasipokujua faida za dona na hasara za sembe ilihali mahindi ya kuchomwa hutafuna vizuri sana bila ya kutoa maganda na viini vyake [emoji1].siwezikujitesa mkuu.nitatafuna nyama tuu inatosha
Yesu alianzisha Kanisa moja tu - Katoliki.Jipendekeze kwa Mwenye kanisa Yesu sio wanakanisa akiwemo na askofu wa Rumi.
Hii kauli siku sio nyingi itakusababishia frustration.
Mkuu toka usingizini, jiwe ameshatangulia mbele ya hakiTupate frustration kisa Pope?? We kuweza huo ujinga?
Before yeye walikuwapo, na after yeye watakuja wengine..
Imani ya mtu haiko kwa Pope,, tunaendelea kusoma biblia ile ile,, na vitabu vile vile,, wakileta vipya watasoma wao na mashoga wenzao babu…
Ni kama tu Tanzania tulikuwa na maraisi waliopita, mambo yalikuwa laini.
Since kaja jiwe mambo yamekuwa magumu siku hizi ni mwendo wa kuweka grisi kwenye vyuma.
Mbona unawahusudu sana Wazungu badala ya kujikita kwenye hoja thabiti, inamaana hata ujinga wao wa LGBTQIA unakubaliana nao sababu tu ni Wazungu? Erevuka wewe...mkuu ushawahi mfuma mzungu anakula dona/ugali?
Kanisa ni moja tu la Yesu kristo. Madhehebu ni vyama vya kidini. We mtazame Yesu, shika neno la Mungu.Kanisa ni moja, takatifu, Katoliki na la mitume.
Huyo Yesu... Alianzisha Kanisa Katoliki pekee.Kanisa ni moja tu la Yesu kristo. Madhehebu ni vyama vya kidini. We mtazame Yesu, shika neno la Mungu.
Ukiendelea kuangalia hayo madhehebu Utakuja kuwa frustrated
UongoHuyo Yesu... Alianzisha Kanisa Katoliki pekee.
Hupingi kwa sababu ya kanisa bali kwa sababu ya neno. Dini za kanisa zitawavuruga akili wafia kanisa.Mi najiuliza unasimamaje kupinga ushoga wakati kanisa limeshawabariki?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app