atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kwahiyo kila anachofanya mzungu ni sahihi hivyo lazima umuige,basi amekwambia amekuletea tena ushoga kanisani nenda nao ukapanuliwe kipenyoushawahi kuona mzungu anatafuna muwa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Walaka ndio nin wewe matadeIvi wale watu wa walaka wa kupinga mkataba wa bandari wanaweza kuja na walaka wa kupinga kubariki ushoga kweli?
Neno hili nalitoshe kuwafanya Wakristo wajitambue. Inasikitisha Leo viongozi wa Dini ndo wanaabudiwaWengi wameunganisha mioyo yao na Dini, madhehebu na viongozi wao badala ya Yesu waliompokea na Neno lake.
Utachelewa usiponielewa utakapogundua
Viongozi ni watu kuna wakati shetani atatumia vinywa vyao kusema lolote kama alivyomtumia Petro.
Dini au madhehebu ni vitu vizuri ila kuna wakati vitatumika kama mbeleko ya kubebea ajenda za kishetani.
Sasa kazi kwako,
Ushauri: Tumia Muda mwingi kumfahamu uliyemopokea na maneno yake kuliko waliokuunganisha na Yesu.
Watu wengi wamewekeza ktk kuwa peleka watoto holiday, kywanununukua TV games, cartoon etc. Vyote hivyo haviuishi roho Bali vingine vunaiua kabisaa.Tumia Muda mwingi kiwafundisha watoto kujisimamia kiroho. Wafubdishe biblia.
Waanzishie tutions za maandiko.
Mitume wenyewe ndo kina Delicious au?[emoji848]Kanisa ni moja, takatifu, Katoliki na la mitume.
papa mobimbaPapa amechafua hali ya hewa!
Kasome Injili kwenye Biblia, wameorodheshwa.Mitume wenyewe ndo kina Delicious au?[emoji848]
Nitajie Wewe mitume waliopakuliwa kisamvuKasome Injili kwenye Biblia, wameorodheshwa.
Unapinga vizur tuu, mbona yesu aliwapinga viongozi wa dini wa kipindi hicho "mafarisayo", kamwe usiruhusu kanisa libadilishe imani yako.Mi najiuliza unasimamaje kupinga ushoga wakati kanisa limeshawabariki?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Nilifikiri una hoja za msingi, kumbe viroja! Endelea mkuu.Nitajie Wewe mitume waliopakuliwa kisamvu
Shida wengi ndo wameshika hizo dini za kanisa yaaniHupingi kwa sababu ya kanisa bali kwa sababu ya neno. Dini za kanisa zitawavuruga akili wafia kanisa.