Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea christmas

Kuishi jirani na mfuasi wa allah ni hatari sana kukuchinja kama kuku ni sekunde.
 
Ndio ila ulevi ni dhambi! Tambua Kuna tofauti kati ya kunywa na kulewa,na kula na kivimbiwa
Heheeeeee acheni ujanja ujanja nyie watu ona mnavyoipa uhalali pombe
Pombe niharamu na uchafu hata kama utakunywa tone ama litakugusa tone
Pombe dhambi kuanzia mtengenezaji msambazaji muuzaji mnunuwaji mtumiaji mbebaji mtangazaji na kila anaeiunga mkono anapata dhambi
 
Hayo ni maneno yako na sio SHERIA,naifwata Biblia kama marejeo na sio mtazamo wa mtu binafsi,Mungu hajawai kataza kunywa pombe Bali ulevi, mbona amekataza ulafi pia lakini chakula tunakula? Kama wewe ni muislam sawa Baki na Imani yako na mm nabaki na Imani yangu
 
Sasa pombe ikiwa pombe na ikiwa ulevi ina tofauti gani mkuu
Twende taratibu hem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…