Wakubwa wanaosimamia chaguzi wajue waliapa kwa Qur'an na Biblia- Mwenyezi Mungu hataniwi

Wakubwa wanaosimamia chaguzi wajue waliapa kwa Qur'an na Biblia- Mwenyezi Mungu hataniwi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
 
Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana
Niseme kwa ufupi tu, kwamba ingesaidia sana angalau siku moja moja, huyu Mwenyezi Mungu akawakumbusha tu yeye mwenyewe, moja kwa moja. Nadhani hapo ingesaidia kidogo, pamoja na udhaifu wa binaadam ulivyo. Lakini haya ya kukumbushana na kutishana sisi wenyewe kwa wenyewe, haisaidii kitu.
Binaadam ni mwigizaji tu, inapo kuja kwenye maswala ya kiimani. Mara nyingine inakuwa kama ni kujaribu hata kumdanganya Mwenyezi Mungu mwenyewe kwa unafiki mkubwa wanao ufanya binaadam hawa.

Hilo zoezi la kushika hivyo vitabu na kufanya maigizo natamani sana atokee kiongozi ayapige marufuku, ili tujue moja tu; ya kwamba, kiongozi akikiuka sheria zilizo tungwa na Bunge na Katiba awajibishwe kwa mujibu wa sheria hizo.
Tumwondoe Mwenyezi Mungu katika dharau hizi anazo fanyiwa kila mara na hawa waigizaji wakiapa huku wameinua misahafu mikononi mwao.
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!🥍🔨
 
Wenzio wanaua hadi watoto wao kwa kuwatoa kafara halafu wewe unataka waheshimu hizo novel kubwa ndo maana wanaendelea kudunda tu.
 
Dunia inatawaliwa na nguvu kuu mbili, Nuru na Giza...

Nguvu mojawapo ikiwahi kufanya utawala, inakuwa na uhalali na kibali hadi pale wanadamu wakikengeuka kwa kuikacha nguvu moja na kuhamia kwenye nguvu nyingineyo...

Dhulma ni sehemu ya nguvu ya Giza nayo itatawala kwa kuwa watu wanaotawala na wanaotawaliwa wameiacha ipate haki...
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
Hizo qurani na biblia unazijua wewe...hawa ni mashetani
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
Hakuna mwanasiasa anayeamini dini,ila wanaitumia dini kufanikisha mipango yao.
 
Dunia inatawaliwa na nguvu kuu mbili, Nuru na Giza...

Nguvu mojawapo ikiwahi kufanya utawala, inakuwa na uhalali na kibali hadi pale wanadamu wakikengeuka kwa kuikacha nguvu moja na kuhamia kwenye nguvu nyingineyo...

Dhulma ni sehemu ya nguvu ya Giza nayo itatawala kwa kuwa watu wanaotawala na wanaotawaliwa wameiacha ipate haki...
Hii ndiyo inatumika na CCM 100%
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
Huo ni ujunga mkubwa sana kutegemea vitabu vikuokoe
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
Qur an inahusikaje hapo?
 
Umezuka mchezo nchini wa watawala kutoheshimu haki za raia, kutoheshimu viapo vyao. Na hii yote ni kwa sababu ya Kibri cha madaraka. Kibri cha kujiona "wakubwa" na kwamba ni untouchable.

Kwa kiburi hicho, hawa wenye dhamana huvunja viapo vyao walivyoapa kwa kushika Qur'an na Biblia halafu wakamalizia maneo ya "Ee Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mafundisho ya Mwenyezi Mungu ni kutaka wale wenye mamlaka miongoni mwa watu wawe waadilifu. Ila nchini mwetu hilo jambo la uadilifu sasa limegeuka historia. Wanadhulumu chaguzi za wananchi kwa hila, na kibri kikubwa mno.

Sasa mimi niwakumbushe tu, Mungu amesema katiks vitabu wanavyoapa navyo kuwa "Hawapendi Madhalimu".

Nawakumbusha pamoja na kuikumbusha nafsi yangu kuwa ADHABU YA MWENYEZI MUNGU NI KALI, KIBOKO CHAKE NI KIKALI. Pale wanapokuwa wanajidhani wamemaliza kila kitu na ni invincible ndipo Fimbo ya Mungu inaporindima.

Kuapa kwa jina la Mwenyezi Mungu halafu ukavunja kiapo kwa ushabiki tu, uroho wa madaraka na kibri ni kujitafutia matatizo makubwa sana.

Wapeni Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka, nsifanye dhulma!

Mkikaidi Shauri yenu, Umri wa mwanadamu ni mfupi, mtakuja kuwa accountable kwa dhulma ya kuvunja viapo vyenu mbele ya Mola

C.C. Samia
C.C Mchengerwa
C.C Majaliwa
They have been doing that and may be more than that and Those Holy documented things did not do anything onto them
 
Huo ni ujunga mkubwa sana kutegemea vitabu vikuokoe
Vitabu ambavyo vyewewe haviwezi kujiokoa, ukitaka uvimwagie maji vinalowa mpaka vinachanika na ukivitia moto ndio kabisa.

Hakuna tofauti na Mwafrika aliyeabudu sanamu alilochonga mwenyewe.

Sanamu linaitwa mungu wakati huo huo haliwezi kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyjngine lazima libebwe.
 
Back
Top Bottom