bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
"Ni kweli. Tunamshukuru sana Samia hata kwa hizi mvua nyingi zinazoendelea kunyesha". Alisikika chawa mmoja
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ni kweli. Tunamshukuru sana Samia hata kwa hizi mvua nyingi zinazoendelea kunyesha". Alisikika chawa mmoja
• OK, ingawa bado najiuliza, hawa wakulima wamempongeza mda gani 🤔,sure heading ndio kila kitu,
I thanks mods wanerekebisha chap maramoja
Nilitoa kwa njia ya maandishi mkuu, tayari nimeshawatumia na siamini kama yatafanyiwa kazihalafu Bejamini Netanyahu sijakuona juzi kwenye kutoa maoni juu ya mabadiliko sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi kulikoni aise ndrugu mdau au tulipishana 🐒
Eti na matokeo hakuna kupingwa mahakamani, ni mambo ya kijinga snUchaguzi gani Mwenyekiti na Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi wanachaguliwa na Samia. Uchaguzi ama ujinga.
Hakuna anayempiga isipokuwa ni ukweli tupummebaki wawili unaompinga mama 🐒
Ni mpuuzi tu ndo ataona kila kitu kitu kiko sawa sawa.Hakuna anayempiga isipokuwa ni ukweli tupu
Yote yameachwa, Mwenyekiti na Mkurugenzi wanateuliwa na Rais, matokeo hakuna kupingwa mahakamani, DEDs wataendelea kusimamia ni makada wa CCM, hapo bado kuna sheria au maigizo tupu?Naamini ya Muhimu hayawezi kuachwa
Maza hawezi kitu nchi inaenda kwa Neema za Mungu pekeeNi mpuuzi tu ndo ataona kila kitu kitu kiko sawa sawa.
Ningeshangaa kama wasingemuunga mkono Kwa sababu bila Samia saizi wangeshaacha KilimoAnapendwa na anakukubalika na wengi, bara na visiwani.
Anaahidi anatekeleza.
Anasema na anatenda, matokeo yanaonekana kwa uwazi.
Mbegu bora za mazao na mifugo, mbolea na madawa ya wadudu vinapatikana kwa urahisi na kwa wingi wa kutosha. Mwaka huu wa kilimo ni kutoboa bila mbambamba, ashindwe mvivu tu..
Mavuno ya Mwaka 2024 yatawezesha kumlipia fomu ya urais 2025.
Tunasonga mbele kwa uhakika, Amani na utulivu.
Asanti sana Dr. Samia Suluhu Hassan...
we uko bize sana mkuu,• OK, ingawa bado najiuliza, hawa wakulima wamempongeza mda gani 🤔,
• maana nikiangalia Trip nyingi za mama kwa mwaka 2023 ilikuwa ni uarabuni tu.
Sure,Ningeshangaa kama wasingemuunga mkono Kwa sababu bila Samia saizi wangeshaacha Kilimo
kwa huku niliko hata ingeuzwa 20k hamna mtu angebabaika ingenuniliwa tu.mbegu kutoka 10~12k hadi 16k aise tatizo machawa wengi wanasifia wasichokifanya.
aise hii ni nini bana unaniunganisha na kunilinganisha na makundi ya majangili ya siasa,Kumbe una akili, nilikuwekaga group moja na kina kimsboy, jilala, erithrytone, ritz na wanaofanana nao. Hayo majinga wasiwasi wangu siyi waTZ. Tz ni nchi kubwa yenye utajiri wa kila aina, ni budi tujisikie fahari kubwa sana. Tuna ukanda wa bahari zaidi ya KM 1400, ziwa la pili kwa ukubwa duniani liko kwetu, ziwa refu kuliko yote duniani liko kwetu, madini 6a Tanzanite yako Tanzania tu hapa duniani, mbuga wa kwanza kwa uzuri Africa liko kwetu. Mlima mrefu kuliko yote Africa uko kwetu, binadamu wa kwanza duniani alikuwa kwetu, visiwa vizuri sana duniani viko kwetu. Ndg mtanzania ulikuwa unataka nini, kuna majinga ya Kenya humu JF yakijifanya hayajui Kiswahili, Kiingereza chenyewe cha hovyo. Waulize lugha yao ni ipi. Mombasa ni sehemu ya nchi yetu wasipokaa vizuri tutaichukua na ndio mlango wa bahari wanaringa nao. Mombasa ni sehemu ya mkoa wa Tanga.
I can confirm to you without fear of contradictions, kwamba hayupo mkulima nchi hii atachagua kitu ingine wakati wa uchaguzi zaidi ya CCM na Dr.Samia Suluhu Hassan....Wafugaji wa wapi maana sio wa ngorongoro waliotaifishwa mifugo yao.